< Luuka 3 >

1 Nüüdseks oli Tibeerius olnud keiser viisteist aastat. Pontius Pilaatus oli Juuda maavalitseja. Heroodes oli Galilea valitseja, tema vend Filippus oli Iturea ja Trahhoniitise valitseja ning Lüsaanias Abileene valitseja.
Sasa, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberia, wakati Pontio Pilato alikuwa gavana wa Uyahudi, Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo ndugu yake alikuwa mkuu wa mkoa wa Iturea na Trakoniti, na Lisania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,
2 Hannas ja Kaifas olid hetkel ülempreestrid. See oli aeg, mil Jumala sõna tuli Johannesele, Sakariase pojale, kes elas kõrbes.
na wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, Neno la Mungu lilimjia Yohana mwana wa Zakaria, jangwani.
3 Ta käis läbi kogu Jordani piirkonna ja kuulutas kõigile, et nad peaksid laskma end ristida, näitamaks, et nad on kahetsenud ja nende patud on andestatud.
Alisafiri katika mkoa wote kuzunguka Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi
4 Nagu prohvet Jesaja kirjutas: „Kõrbes kuuldakse häält hüüdvat: „Valmistage Issandale teed, tehke tasaseks tema teerajad.
Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya Isaya nabii, “sauti ya mtu aliaye nyikani, “Itengenezeni tayari njia ya Bwana, yatengenezeni mapito yake yaliyoonyoka.
5 Täitke kõik orud ja tasandage kõik mäed ja künkad. Tehke kõver sirgeks ja konarlik tee siledaks.
Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa, barabara zilizopinda zitanyoshwa, na njia zilizoparaza zitalainishwa.
6 Iga inimene näeb Jumala päästet.““
Watu wote watauona wokovu wa Mungu.”
7 Johannes pöördus rahvahulga poole, kes oli tulnud tema juurde, et ristitud saada. „Te rästikute sigitised! Kes hoiatas teid, et te põgeneksite tulevase kohtu eest?“küsis ta.
Hivyo, Yohana akawaambia makutano makubwa ya watu waliomjia wapate kubatizwa na yeye, “Ninyi uzao wa nyoka wenye sumu, nani aliwaonya kuikimbia gadhabu inayokuja?
8 „Tõestage, et olete tõeliselt meelt parandanud. Kas te ei ürita ennast õigustada, öeldes: „Me oleme Aabrahami järeltulijad.“Ma ütlen teile, Jumal võib luua Aabrahamile lapsi neist kividest.
Zaeni matunda yanayoedana na toba, na msianze kusema ndani yenu, “Tunaye Ibarahimu ambaye ni baba yetu; kwa sababu nawaambia ya kwamba, Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutokana na mawe haya.
9 Kirves on valmis, et alustada juurte juurest puu raiumist. Iga puu, mis ei kanna head vilja, raiutakse maha ja visatakse tulle.“
Tayari shoka limeshawekwa kwenye mzizi wa miti. Hivyo, kila mti usiozaa matunda mema, hukatwa na kutupwa motoni.
10 „Mida me peame siis tegema?“küsis rahvas temalt.
Kisha watu katika makutano walimuuliza wakisema, “Sasa tunatakiwa tufanyeje?”
11 „Kui sul on kaks kuube, siis jaga seda kellegagi, kellel pole ühtegi. Kui sul on toitu, jaga seda nendega, kellel ei ole, “rääkis ta neile.
Alijibu na kuwaambia, “kama mtu ana kanzu mbili anatakiwa atoe kanzu moja kwa mwingine ambaye hana kabisa, na ambaye ana chakula na afanye vivyo hivyo.”
12 Mõned maksukogujad tulid, et end ristida lasta. „Õpetaja, mida me peame tegema?“küsisid ka nemad.
Kisha baadhi ya watoza ushuru walikuja pia kubatizwa, na wakamwambia, “Mwalimu, tunatakiwa kufanya nini?
13 „Ärge koguge rohkem maksu, kui on ette nähtud, “vastas ta.
Akawaambia, “Msikusanye fedha zaidi kuliko mnachotakiwa kukusanya.”
14 „Aga meie?“küsisid mõned sõdurid. „Mida meie peame tegema?“„Ärge nõudke raha vägivallaga ähvardades. Ärge esitage süüdistusi, mis pole tõsi. Olge rahul oma palgaga, “vastas ta.
Baadhi ya maaskari pia wakamuuliza wakisema, “Na sisi je? Tunatakiwa tufanye nini?” Akawambia, “Msichukue fedha kwa mtu yeyote kwa nguvu, na msimtuhumu mtu yeyote kwa uongo. Ridhikeni na mishahara yenu.”
15 Rahvas oli lootusrikas ja juurdles, kas Johannes ise võiks Messias olla.
Sasa, kwa kuwa watu walikuwa na shauku ya kumngojea Kristo atakaye kuja, kila mmoja alikuwa anawaza moyoni mwake kuhusu Yohana kama yeye ndiye Kristo.
16 Johannes vastas ja selgitas kõigile: „Jah, mina ristin teid vees. Aga see, kes tuleb, on palju tähtsam kui mina, ja mina pole väärt, et tema sandaale lahti päästa. Tema ristib teid Püha Vaimu ja tulega.
Yohana akajibu kwa kuwaambia wote, “Mimi nawabatiza ninyi kwa maji, lakini kuna mmoja ajaye ambaye ana nguvu kuliko mimi, na sisitahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
17 Tuulamishark on tal käes ja ta on valmis oma rehealuses nisu aganatest eraldama. Ta kogub nisu aita, kuid aganad põletab ära tulega, mida ei saa kustutada.“
Pepeto lake liko mkononi mwake ili kusafisha vizuri uwanda wake wa kupepetea ngano na kuikusanya ngano ghalani mwake. Lakini, atayateketeza makapi kwa moto ambao hauwezi kuzimika.
18 Johannes esitas veel palju selliseid hoiatusi, kui ta rahvale head sõnumit kuulutas.
Kwa maonyo mengine mengi pia, alihubiri habari njema kwa watu.
19 Aga kui Johannes noomis valitseja Heroodest sellepärast, et ta abiellus oma vennanaise Heroodiasega, ja kõigi halbade asjade pärast, mida ta teinud oli,
Yohana alimkemea pia Herode mkuu wa mkoa kwa kumuoa Herodia, mke wa ndugu yake na kwa maovu mengine mengi ambayo Herode alikuwa ameyatenda.
20 lisas Heroodes oma kuritegude hulka veel selle, et lasi Johannese vanglasse heita.
Lakini baadaye Herode alifanya uovu mwingine mbaya sana. Alimfunga Yohana gerezani.
21 Kui nüüd kõik olid saanud ristitud, ristiti ka Jeesus. Kui ta palvetas, avanes taevas
Kisha ilitokea kwamba, wakati watu wote walipokuwa wakibatizwa na Yohana, naye Yesu alibatizwa pia. Wakati alipokuwa akiomba, mbingu zikafunguka.
22 ja Püha Vaim laskus tuvi kujul tema peale. Taevast kostis hääl, mis ütles: „Sina oled mu poeg, keda ma armastan. Olen sinu üle väga rõõmus.“
Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama njiwa, wakati huo huo sauti ikaja kutoka mbinguni ikisema, “Wewe ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa sana na wewe.”
23 Jeesus oli umbes kolmekümneaastane, kui ta oma avalikku teenimistööd alustas. Inimesed oletasid, et ta oli Joosepi poeg. Joosep oli Eeli poeg,
Sasa Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri upatao miaka thelathini. Alikuwa ni mwana (kama ilivyotadhaniwa) wa Yusufu, mwana wa Eli,
24 kes oli Mattati poeg, kes oli Leevi poeg, kes oli Malki poeg, kes oli Jannai poeg, kes oli Joosepi poeg,
mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yana, mwana wa Yusufu,
25 kes oli Mattitjahu poeg, kes oli Aamose poeg, kes oli Nahumi poeg, kes oli Hesli poeg, kes oli Naggai poeg,
mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai,
26 kes oli Mahati poeg, kes oli Mattitjahu poeg, kes oli Simei poeg, kes oli Jooseki poeg, kes oli Jooda poeg,
mwana wa Maati, mwana wa Matathia, mwana wa Semeini, mwana wa Yusufu, mwana wa Yuda,
27 kes oli Joohanani poeg, kes oli Reesa poeg, kes oli Serubbaabeli poeg, kes oli Sealtieli poeg, kes oli Neeri poeg,
mwana wa Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri,
28 kes oli Melki poeg, kes oli Addi poeg, kes oli Koosami poeg, kes oli Elmadami poeg, kes oli Eeri poeg,
mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,
29 kes oli Jeesuse poeg, kes oli Elieseri poeg, kes oli Joorimi poeg, kes oli Mattati poeg, kes oli Leevi poeg,
mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Matathi, mwana wa Lawi,
30 kes oli Siimeoni poeg, kes oli Juuda poeg, kes oli Joosepi poeg, kes oli Joonami poeg, kes oli Eljakimi poeg,
mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yusufu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliyakimu,
31 kes oli Melea poeg, kes oli Menna poeg, kes oli Mattata poeg, kes oli Naatani poeg, kes oli Taaveti poeg,
mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,
32 kes oli Iisai poeg, kes oli Oobedi poeg, kes oli Boase poeg, kes oli Salma poeg, kes oli Nahsoni poeg,
mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,
33 kes oli Amminadabi poeg, kes oli Admini poeg, kes oli Arni poeg, kes oli Hesroni poeg, kes oli Peretsi poeg, kes oli Juuda poeg,
mwana wa Abinadabu, mwana wa Aramu, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,
34 kes oli Jaakobi poeg, kes oli Iisaki poeg, kes oli Aabrahami poeg, kes oli Terahi poeg, kes oli Naahori poeg,
mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Ibrahimu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,
35 kes oli Serugi poeg, kes oli Reu poeg, kes oli Pelegi poeg, kes oli Eeberi poeg, kes oli Selahi poeg,
mwana wa Seruig, mwana wa Ragau, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,
36 kes oli Keenani poeg, kes oli Arpaksadi poeg, kes oli Seemi poeg, kes oli Noa poeg, kes oli Lemeki poeg,
mwana wa Kenani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Nuhu, mwana wa Lameki,
37 kes oli Metuusala poeg, kes oli Eenoki poeg, kes oli Jeredi poeg, kes oli Mahalaleli poeg, kes oli Keenani poeg,
mwana wa Methusela, mwana wa Henoko, mwana wa Yaredi, mwana Mahalalei, mwana wa Kenani,
38 kes oli Enose poeg, kes oli Seti poeg, kes oli Aadama poeg, kes oli Jumala poeg.
mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Mungu.

< Luuka 3 >