< Genesis 10 >

1 These ben the generaciouns of the sones of Noe, Sem, Cham, and Jafeth. And sones weren borun to hem aftir the greet flood.
Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
2 The sones of Jafeth weren Gomer, and Magog, and Madai, and Jauan, and Tubal, and Mosoth, and Thiras.
Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
3 Forsothe the sones of Gomer weren Asseneth, and Rifath, and Thogorma.
Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
4 Forsothe the sones of Jauan weren Helisa, and Tharsis, Cethym, and Dodanym;
Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
5 of these sones the ylis of hethen men weren departid in her cuntrees, ech bi his langage and meynees, in hise naciouns.
Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
6 Sotheli the sones of Cham weren Thus, and Mesraym, and Futh, and Chanaan.
Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
7 Forsothe the sones of Thus weren Saba, and Euila, and Sabatha, and Regma, and Sabatacha. The sones of Regma weren Saba, and Dadan.
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
8 Forsothe Thus gendride Nemroth; he bigan to be myyti in erthe,
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
9 and he was a strong huntere of men bifore the Lord; of hym a prouerbe yede out, as Nemroth, a strong huntere bifore the Lord.
Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
10 Sotheli the bigynnyng of his rewme was Babiloyne, and Arach, and Archad, and Thalamye, in the lond of Sennaar.
Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
11 Assur yede out of that lond, and bildide Nynyue, `and stretis of the citee,
Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
12 and Chale, and Resen bitwixe Nynyue and Chale; this is a greet citee.
na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
13 And sotheli Mesraym gendride Ludym, and Anamym, and Laabym, Neptuym, and Ferrusym, and Cesluym;
Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
14 of which the Filisteis and Capturym camen forth.
Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
15 Forsothe Chanaan gendride Sidon, his firste gendride sone, Ethei, and Jebusei,
Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
16 and Amorrei, Gergesei,
pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
17 Euei, and Arathei,
Mhivi, Mwarki, Msini,
18 Ceney, and Aradie, Samarites, and Amathei; and puplis of Chananeis weren sowun abrood bi these men.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
19 And the termes of Chanaan weren maad to men comynge fro Sidon to Gerara, til to Gasa, til thou entre in to Sodom and Gomore, and Adama, and Seboyne, til to Lesa.
Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
20 These weren the sones of Cham, in her kynredis, and langagis, and generaciouns, and londis, and folkis.
Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
21 Also of Sem weren borun the fadris of alle the sones of Heber, and Japhet was the more brother.
Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
22 The sones of Sem weren Elam, and Assur, and Arfaxath, and Lud, and Aram.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
23 The sones of Aram weren Vs, and Hul, and Gether, and Mes.
Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
24 And sotheli Arfaxath gendride Sale, of whom Heber was borun.
Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
25 And twei sones weren borun to Heber, the name to o sone was Faleg, for the lond was departid in hise daies; and the name of his brothir was Jectan.
Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
26 And thilke Jectan gendride Elmodad, and Salech,
Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 and Asamoth, Jare, and Adhuram, and Vsal,
Hadoram, Uzali, Dikla,
28 and Deda, and Ebal, and Abymahel, Saba, and Ofir, and Euila, and Jobab;
Obali, Abimaeli, Sheba,
29 alle these weren the sones of Jectan.
Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 And the habitacioun of hem was maad fro Messa, as `me goith til to Sefar, an hil of the eest.
Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
31 These ben the sones of Sem, bi kynredis, and langagis, and cuntrees, in her folkis.
Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
32 These ben the meynees of Noe, bi her puplis and naciouns; folkis in erthe weren departid of these aftir the greet flood.
Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.

< Genesis 10 >