< Genesis 10 >

1 These ben the generaciouns of the sones of Noe, Sem, Cham, and Jafeth. And sones weren borun to hem aftir the greet flood.
Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
2 The sones of Jafeth weren Gomer, and Magog, and Madai, and Jauan, and Tubal, and Mosoth, and Thiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
3 Forsothe the sones of Gomer weren Asseneth, and Rifath, and Thogorma.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
4 Forsothe the sones of Jauan weren Helisa, and Tharsis, Cethym, and Dodanym;
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
5 of these sones the ylis of hethen men weren departid in her cuntrees, ech bi his langage and meynees, in hise naciouns.
(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
6 Sotheli the sones of Cham weren Thus, and Mesraym, and Futh, and Chanaan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
7 Forsothe the sones of Thus weren Saba, and Euila, and Sabatha, and Regma, and Sabatacha. The sones of Regma weren Saba, and Dadan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
8 Forsothe Thus gendride Nemroth; he bigan to be myyti in erthe,
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
9 and he was a strong huntere of men bifore the Lord; of hym a prouerbe yede out, as Nemroth, a strong huntere bifore the Lord.
Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
10 Sotheli the bigynnyng of his rewme was Babiloyne, and Arach, and Archad, and Thalamye, in the lond of Sennaar.
Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
11 Assur yede out of that lond, and bildide Nynyue, `and stretis of the citee,
Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
12 and Chale, and Resen bitwixe Nynyue and Chale; this is a greet citee.
na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
13 And sotheli Mesraym gendride Ludym, and Anamym, and Laabym, Neptuym, and Ferrusym, and Cesluym;
Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
14 of which the Filisteis and Capturym camen forth.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
15 Forsothe Chanaan gendride Sidon, his firste gendride sone, Ethei, and Jebusei,
Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
16 and Amorrei, Gergesei,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
17 Euei, and Arathei,
Wahivi, Waariki, Wasini,
18 Ceney, and Aradie, Samarites, and Amathei; and puplis of Chananeis weren sowun abrood bi these men.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
19 And the termes of Chanaan weren maad to men comynge fro Sidon to Gerara, til to Gasa, til thou entre in to Sodom and Gomore, and Adama, and Seboyne, til to Lesa.
na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
20 These weren the sones of Cham, in her kynredis, and langagis, and generaciouns, and londis, and folkis.
Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
21 Also of Sem weren borun the fadris of alle the sones of Heber, and Japhet was the more brother.
Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
22 The sones of Sem weren Elam, and Assur, and Arfaxath, and Lud, and Aram.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
23 The sones of Aram weren Vs, and Hul, and Gether, and Mes.
Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
24 And sotheli Arfaxath gendride Sale, of whom Heber was borun.
Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
25 And twei sones weren borun to Heber, the name to o sone was Faleg, for the lond was departid in hise daies; and the name of his brothir was Jectan.
Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
26 And thilke Jectan gendride Elmodad, and Salech,
Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 and Asamoth, Jare, and Adhuram, and Vsal,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
28 and Deda, and Ebal, and Abymahel, Saba, and Ofir, and Euila, and Jobab;
Obali, Abimaeli, Sheba,
29 alle these weren the sones of Jectan.
Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 And the habitacioun of hem was maad fro Messa, as `me goith til to Sefar, an hil of the eest.
Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
31 These ben the sones of Sem, bi kynredis, and langagis, and cuntrees, in her folkis.
Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
32 These ben the meynees of Noe, bi her puplis and naciouns; folkis in erthe weren departid of these aftir the greet flood.
Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.

< Genesis 10 >