< Psalms 20 >

1 For the Chief Musician. A Psalm by David. May the LORD answer you in the day of trouble. May the name of the God of Jacob set you up on high,
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 send you help from the sanctuary, grant you support from Zion,
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 remember all your offerings, and accept your burned sacrifice. (Selah)
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 May he grant you your heart’s desire, and fulfill all your counsel.
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 We will triumph in your salvation. In the name of our God, we will set up our banners. May the LORD grant all your requests.
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 Now I know that the LORD saves his anointed. He will answer him from his holy heaven, with the saving strength of his right hand.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Some trust in chariots, and some in horses, but we trust in the name of the LORD our God.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 They are bowed down and fallen, but we rise up, and stand upright.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 Save, LORD! Let the King answer us when we call!
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Psalms 20 >