< Psalms 125 >

1 A Song of Ascents. Those who trust in the LORD are as Mount Zion, which can’t be moved, but remains forever.
Wale wamwaminio Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, wadumu milele.
2 As the mountains surround Jerusalem, so the LORD surrounds his people from this time forward and forever more.
Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
3 For the scepter of wickedness won’t remain over the allotment of the righteous, so that the righteous won’t use their hands to do evil.
Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
4 Do good, LORD, to those who are good, to those who are upright in their hearts.
Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.
5 But as for those who turn away to their crooked ways, the LORD will lead them away with the workers of iniquity. Peace be on Israel.
Lakini kwa wale wanaogeukia njia zao za upotovu, Yahwe atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani iwe na Israeli.

< Psalms 125 >