< Psalms 3 >

1 A Psalm of David, when he fled from Absalom his son. LORD, how are they multiplied that trouble me! many are they that rise up against me.
Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
2 Many there are who say of my soul, There is no help for him in God. (Selah)
Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
3 But thou, O LORD, art a shield for me; my glory, and the lifter up of my head.
Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
4 I cried to the LORD with my voice, and he heard me from his holy hill. (Selah)
Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
5 I laid me down and slept; I awoke; for the LORD sustained me.
Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
6 I will not be afraid of ten thousands of people, that have set themselves against me on all sides.
Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
7 Arise, O LORD; save me, O my God: for thou hast smitten all my enemies upon the cheek bone; thou hast broken the teeth of the ungodly.
Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
8 Salvation belongeth to the LORD: thy blessing is upon thy people. (Selah)
Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.

< Psalms 3 >