< Psalms 124 >

1 A Song of degrees of David. If it had not been the LORD who was on our side, now may Israel say;
“Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
2 If it had not been the LORD who was on our side, when men rose up against us:
“Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
3 Then they had swallowed us up alive, when their wrath was kindled against us:
basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
4 Then the waters had overwhelmed us, the stream had gone over our soul:
Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
5 Then the proud waters had gone over our soul.
Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
6 Blessed be the LORD, who hath not given us as a prey to their teeth.
Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
7 Our soul hath escaped as a bird out of the snare of the fowlers: the snare is broken, and we have escaped.
Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
8 Our help is in the name of the LORD, who made heaven and earth.
Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.

< Psalms 124 >