< Leviticus 18 >

1 And the LORD spoke to Moses, saying,
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
2 Speak to the children of Israel, and say to them, I am the LORD your God.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
3 After the doings of the land of Egypt, in which ye dwelt, shall ye not do: and after the doings of the land of Canaan, where I bring you, shall ye not do: neither shall ye walk in their ordinances.
Msitende mambo ambayo watu wa Misri huyatenda, mahali mlikokuwa mkiishi awali. Na ni lazima msitende mambo yale wanayoyatenda watu wa Kanaani, nchi ambayo ninawapeleka nyinyi. Msifuate desturi zao.
4 Ye shall perform my judgments, and keep my ordinances, to walk in them: I am the LORD your God.
Sheria zangu ndizo mtakazozitenda, na amri zangu ndizo mtakazozishika, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
5 Ye shall therefore keep my statutes, and my judgments: which if a man doeth, he shall live in them: I am the LORD.
Kwa hiyo ni lazima mzitunze hukumu zangu na sheria zangu. Ikiwa mtu amezitii, ataishi kwa sababu ya hizo. Mimi Ndimi Yahweh.
6 None of you shall approach to any that is near of kin to him, to uncover their nakedness: I am the LORD.
Pasiwepo kwenu atakayelala na yeyote aliye na uhusiano wa karibu naye. Mimi ndimi Yahweh.
7 The nakedness of thy father, or the nakedness of thy mother, shalt thou not uncover: she is thy mother; thou shalt not uncover her nakedness.
Usimfedheheshe baba yako kwa kulala na mama yako. Yeye ni mama yako! Haikupasi kumfedhehesha yeye.
8 The nakedness of thy father’s wife shalt thou not uncover: it is thy father’s nakedness.
Usilale na yeyote wa wake za baba yako; Usimfedheheshe namna hiyo baba yako.
9 The nakedness of thy sister, the daughter of thy father, or daughter of thy mother, whether born at home, or born abroad, even their nakedness thou shalt not uncover.
Usilale na yeyote aliye mmoja miongoni mwa dada zako, ama ni binti ya baba yako au ni binti ya mama yako, ama aliyelelewa nyumbani mwenu au mbali nawe. Usilale na dada zako.
10 The nakedness of thy son’s daughter, or of thy daughter’s daughter, even their nakedness thou shalt not uncover: for theirs is thy own nakedness.
Usilale na binti ya mwanao, au binti ya binti yako. Hiyo ingekuwa aibu yako mwenyewe.
11 The nakedness of thy father’s wife’s daughter, begotten by thy father, she is thy sister, thou shalt not uncover her nakedness.
Usilale na binti ya mke wa baba yako, aliyezaliwa kwa baba yako, yeye ni dada yako, na usilale naye.
12 Thou shalt not uncover the nakedness of thy father’s sister: she is thy father’s near kinswoman.
Usilale na dada ya baba yako. Yeye ni ndugu wa karibu kwa baba yako.
13 Thou shalt not uncover the nakedness of thy mother’s sister: for she is thy mother’s near kinswoman.
Usilale na dada ya mama yako. Yeye ni ndugu wa mama yako.
14 Thou shalt not uncover the nakedness of thy father’s brother, thou shalt not approach to his wife: she is thy aunt.
Usimfedheheshe ndug wa baba yako kwa kulala na mke wake. Usimkaribie kwa kusudi hilo; yeye ni shangazi yako.
15 Thou shalt not uncover the nakedness of thy daughter in law: she is thy son’s wife; thou shalt not uncover her nakedness.
Usilale na binti- mkwe wako, Yeye ni mke wa mwanao; usilale naye.
16 Thou shalt not uncover the nakedness of thy brother’s wife: it is thy brother’s nakedness.
Usilale na mke wa kaka yako; usije ukamfedhesha yeye katika njia hii.
17 Thou shalt not uncover the nakedness of a woman and her daughter, neither shalt thou take her son’s daughter, or her daughter’s daughter, to uncover her nakedness; for they are her near kinswomen: it is wickedness.
Usilale na mwanamke kisha na binti yake, au binti wa mwanawe au binti wa binti yake. Hao ni ndugu zake wa karibu, na kulala nao lingekuwa ni uovu.
18 Neither shalt thou take a wife to her sister, to vex her, to uncover her nakedness, beside the other in her life time.
Usimwoe dada ya mke wako kuwa mke wako wa pili na kulala naye wakati bado mke wako wa kwanza angali hai.
19 Also thou shalt not approach to a woman to uncover her nakedness, as long as she is put apart for her uncleanness.
Usilale na mwanamke wakati wake wa hedhi.
20 Moreover thou shalt not lie carnally with thy neighbour’s wife, to defile thyself with her.
Yeye ni najisi kwa wakati huo. Usilale na mke wa jilani yako na kujichafua mwenyewe kwake katika njia hii.
21 And thou shalt not let any of thy seed pass through the fire to Molech, neither shalt thou profane the name of thy God: I am the LORD.
Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto, ili kwamba muwatoe sadaka kwa Moleki, kwa sababu msije mkalinajisi jina la Mungu wenu. Mimi ndimi Yahweh.
22 Thou shalt not lie with mankind, as with womankind: it is abomination.
Usilale na mwanaume mwingine kama ulalavyo na mwanamke. Jambo hili lingekuwa uovu.
23 Neither shalt thou lie with any beast to defile thyself with it: neither shall any woman stand before a beast to lie down with it: it is confusion.
Usilale na myama yeyote na kujitia unajisi kwake. Haimpasi mwanamke kufikiria kulala na mnyama ye yote. Huo ungekuwa upotovu.
24 Defile not ye yourselves in any of these things: for in all these the nations are defiled which I cast out before you:
Msijichafue wenyewe katika njia hizi, kwa kuwa katika njia hizi mataifa yamechafuliwa, mataifa ambayo Nitayafukuza yatoke kwa ajili yenu.
25 And the land is defiled: therefore I do visit its iniquity upon it, and the land itself spueth out her inhabitants.
Ni kwa sababu nchi imenajisiwa, hivyo niliiadhibu dhambi yao, nayo nchi ikawatapika wakazi wake
26 Ye shall therefore keep my statutes and my judgments, and shall not commit any of these abominations; neither any of your own nation, nor any stranger that sojourneth among you:
Kwa hiyo, yawapasa kuzishika amri zangu na maagiza yangu, na msifanye aina yoyote ya mambo haya ya machukizo, wala Mwisraeli mzaliwa au Mgeni aishie miongoni mwenu.
27 (For all these abominations have the men of the land done, who were before you, and the land is defiled; )
Kwa kuwa ni uovu huu ambao watu wametenda, wale ambao waliishi hapa kabla yenu, na sasa nchi imenajisiwa.
28 That the land may not spue you out also, when ye defile it, as it spued out the nations that were before you.
Kwa hiyo, muwe waangalifu ili kwamba nchi isiwatapike nyinyi baada ya kuwa mmeinajisi, kama ilivyowatapika wale watu waliokuwako kabla yenu.
29 For whoever shall commit any of these abominations, even the souls that commit them shall be cut off from among their people.
Yeyote anayefanya mambo haya ya kuchukiza, watu wafanyao mambo hayo ya kuchukiza lazima watakatiliwa mbali kutoka miongoni mwa watu wao.
30 Therefore shall ye keep my ordinance, that ye commit not any one of these abominable customs, which were committed before you, and that ye defile not yourselves in them: I am the LORD your God.
Kw a hiyo inawapasa kuzishika amri zangu na sitende mojawapo ya desturi hizi zenyekuchukiza ambazo zilitendwa hapo kabla yenu, ili msijinajisi wenyewe kwa hizo. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.

< Leviticus 18 >