< Isaiah 33 >

1 Woe to thee that layest waste, and thou wast not laid waste; and dealest treacherously, and they dealt not treacherously with thee! when thou shalt cease to lay waste, thou shalt be wasted; and when thou shalt make an end of dealing treacherously, they shall deal treacherously with thee.
Ole wenu, waharibifu ambao hamjaharibiwa! Ole wao wasaliti ambao hamjaslitiwa! Pindi mtakapoacha uaribifu, nanyi mtaharibiwa. Pindi mtakapoacha usaliti, nayi mtasalitiwa.
2 O LORD, be gracious to us; we have waited for thee: be thou their arm every morning, our salvation also in the time of trouble.
Yahwe, tuurumie sisi; tumekusubiri wewe; umekuwa mkono wetu kila asubuhi, na wokovu wetu katika kipindi cha mateso.
3 At the noise of the tumult the people fled; at the lifting up of thyself the nations were scattered.
Watu wamekimbia kwa kusikia sauti kubwa; uliponyanyuka, mataifa yametawanyika,
4 And your spoil shall be gathered like the gathering of the caterpiller: as the running to and fro of locusts shall he run upon them.
Mateka wako wamejikusanya kama mkasanyiko wa nzige; kama nzige warukavyo, watu wataruka juu yake.
5 The LORD is exalted; for he dwelleth on high: he hath filled Zion with judgment and righteousness.
Yahwe ameinuliwa. Anaishi mahali pa juu. Ataijaza Sayuni kwa haki na usawa.
6 And wisdom and knowledge shall be the stability of thy times, and strength of salvation: the fear of the LORD is his treasure.
Atakuwa imara katika kipidi chenu, wingi wa wokovu, busara, na maarifa; hofu ya Yahwe iko katika hazina yake.
7 Behold, their valiant ones shall cry outside: the ambassadors of peace shall weep bitterly.
Tazama, wujumbe wanalia mtaani; wanadiplomasia wanamatumaini ya amani kwa kulia kwa uchungu.
8 The highways lie waste, the wayfaring man ceaseth: he hath broken the covenant, he hath despised the cities, he regardeth no man.
Barabara kuu imeachwa faragha; hakuna wasafiri tena. Maagano yamevujika, mashahidi wanadharaulika, na utu wa mtu hauheshimiki.
9 The earth mourneth and languisheth: Lebanon is ashamed and hewn down: Sharon is like a wilderness; and Bashan and Carmel shake off their fruits.
Nchi imeomboleza na kunyaukia mbali; Lebanoni inaibisha na kunyaukia mbali; Sharoni imekuwa kama jangwa wazi; Bashani na Kermeli zimepuputisha majani yake.
10 Now will I rise, saith the LORD; now will I be exalted; now will I lift up myself.
''Sasa nitanyanyuka, ''asema Yahwe; '' sasa nitanyanyuliwa juu; sasa nitainuliwa.
11 Ye shall conceive chaff, ye shall bring forth stubble: your breath, as fire, shall devour you.
Utashika mimba ya makapi na utazaa mabua; na punzi yako ni moto ambao utakuunguza wewe.
12 And the people shall be as the burnings of lime: as thorns cut up shall they be burned in the fire.
Watu watachomwa na kuwa kama chokaa, kama miiba ya porini inavyokatwa na kuchomwa.
13 Ye that are far off, hear what I have done; and, ye that are near, acknowledge my might.
Enyi mlio mbali sana, sikiliza nilicho kifanya; na enyi mlio karibu, kirini ukuu wangu.''
14 The sinners in Zion are afraid; fearfulness hath surprised the hypocrites. Who among us shall dwell with the devouring fire? who among us shall dwell with everlasting burnings?
Watenda zambi wa Sayuni wanogopa; tetemeko limewakuta wasio na Mungu. Ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto mkali? Na ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto wa milele?
15 He that walketh righteously, and speaketh uprightly; he that despiseth the gain of oppressions, that keepeth his hands from accepting of bribes, that stoppeth his ears from hearing of blood, and shutteth his eyes from seeing evil;
Nyie mnaotembe katika haki na kuongea kw uaminifu; yeye anayedharau mapato ya ukandamizaji, yeye anayekataa kuchuka rushwa, ambaye hausiki kwenye kupanga vurugu za kihalifu, na ambaye haangali maovu-
16 He shall dwell on high: his place of defence shall be the strong holds of rocks: bread shall be given him; his waters shall be sure.
Ataiweka nyumba yake juu; sehemu yake ya ulinzi itakuwa ni ngome ya mwamba; chakula na maji yake hayataisha.
17 Thy eyes shall see the king in his beauty: they shall behold the land that is very far off.
Macho yako yatamuona mfalme katika uzuri wake; watatazama nchi kubwa.
18 Thy heart shall meditate terror. Where is the scribe? where is the receiver? where is he that counted the towers?
Moyo wako utakumbuka hofu; yuko wapi mwandishi, yuko wapi yule aliayepima pesa? na yuko wapi yeye aesabue minara?
19 Thou shalt not see a fierce people, a people of deeper speech than thou canst perceive; of a stammering tongue, that thou canst not understand.
Hautawaona watu wanaopinga, watu weye lugha ya ajabu ambayo hautaweza kuielewa.
20 Look upon Zion, the city of our solemnities: thy eyes shall see Jerusalem a quiet habitation, a tabernacle that shall not be taken down; not one of its stakes shall ever be removed, neither shall any of its cords be broken.
Itazame Sayuni, mji wa sikukuu yetu; macho yako yataiona Yerusalemu kama makao tulivu, hema ambalo halitatolewa, vigingi vyake havitatolewa wala kamba zake hazitakatika.
21 But there the glorious LORD will be to us a place of broad rivers and streams; in which shall go no galley with oars, neither shall gallant ship pass through it.
Badala yake Yahwe katika ukuu wake atakuwa pamoja na sisi, katika eneo la maji mengi na mifereji mingi. Hakuna manuari na mpiga makasia watakayepita hapo, na hakuna mashua itakayopita uko.
22 For the LORD is our judge, the LORD is our lawgiver, the LORD is our king; he will save us.
Maana Yahwe ni hakimu wetu, Yahwe ni mwanasheria wet, Yahwe ni mfalme wetu; atatukomboa sisi.
23 Thy tacklings are loosed; they could not well strengthen their mast, they could not spread the sail: then is the prey of a great spoil divided; the lame take the prey.
Kamba zako zimelegea; haziwezi kushika mlingoti katika eneo lake; haziwezi kuzunguka meli; pindi mateka wanavyogawanyika, hata vilema watawatoa nje kama mateka.
24 And the inhabitants shall not say, I am sick: the people that dwell in it shall be forgiven their iniquity.
Na wenyeji watasema, ''Ninaumwa;'' watu wanaoishi pale watasamehewa maovu yao.

< Isaiah 33 >