< Genesis 5 >

1 This is the book of the generations of Adam. In the day that God created man, in the likeness of God made he him;
Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
2 Male and female created he them; and blessed them, and called their name Adam, in the day when they were created.
Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
3 And Adam lived an hundred and thirty years, and begat a son in his own likeness, after his image; and called his name Seth:
Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
4 And the days of Adam after he had begotten Seth were eight hundred years: and he begat sons and daughters:
Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
5 And all the days that Adam lived were nine hundred and thirty years: and he died.
Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
6 And Seth lived an hundred and five years, and begat Enos:
Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
7 And Seth lived after he begat Enos eight hundred and seven years, and begat sons and daughters:
Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
8 And all the days of Seth were nine hundred and twelve years: and he died.
Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
9 And Enos lived ninety years, and begat Cainan:
Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
10 And Enos lived after he begat Cainan eight hundred and fifteen years, and begat sons and daughters:
Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
11 And all the days of Enos were nine hundred and five years: and he died.
Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
12 And Cainan lived seventy years, and begat Mahalaleel:
Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
13 And Cainan lived after he begat Mahalaleel eight hundred and forty years, and begat sons and daughters:
Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
14 And all the days of Cainan were nine hundred and ten years: and he died.
Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
15 And Mahalaleel lived sixty and five years, and begat Jared:
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
16 And Mahalaleel lived after he begat Jared eight hundred and thirty years, and begat sons and daughters:
Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
17 And all the days of Mahalaleel were eight hundred ninety and five years: and he died.
Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
18 And Jared lived an hundred sixty and two years, and he begat Enoch:
Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
19 And Jared lived after he begat Enoch eight hundred years, and begat sons and daughters:
Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
20 And all the days of Jared were nine hundred sixty and two years: and he died.
Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
21 And Enoch lived sixty and five years, and begat Methuselah:
Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
22 And Enoch walked with God after he begat Methuselah three hundred years, and begat sons and daughters:
Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
23 And all the days of Enoch were three hundred sixty and five years:
Henoko aliishi miaka 365.
24 And Enoch walked with God: and he was not; for God took him.
Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
25 And Methuselah lived an hundred eighty and seven years, and begat Lamech:
Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
26 And Methuselah lived after he begat Lamech seven hundred eighty and two years, and begat sons and daughters:
Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
27 And all the days of Methuselah were nine hundred sixty and nine years: and he died.
Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
28 And Lamech lived an hundred eighty and two years, and begat a son:
Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
29 And he called his name Noah, saying, This same shall comfort us concerning our work and toil of our hands, because of the ground which the LORD hath cursed.
Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
30 And Lamech lived after he begat Noah five hundred ninety and five years, and begat sons and daughters:
Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
31 And all the days of Lamech were seven hundred seventy and seven years: and he died.
Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
32 And Noah was five hundred years old: and Noah begat Shem, Ham, and Japheth.
Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.

< Genesis 5 >