< 2 Chronicles 11 >

1 And when Rehoboam had come to Jerusalem, he gathered of the house of Judah and Benjamin an hundred and eighty thousand chosen men, who were warriors, to fight against Israel, that he might bring the kingdom again to Rehoboam.
Rehoroboamu alipofiki Yerusalemu, akawakusanya nyumba ya Yuda na Benyamini, wanaume 180, 000 walaiaochaguliwa amabao wliakuwa wanajeshi, kwa ajili ya kupigana dhiidi ya Israeli, ili kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.
2 But the word of the LORD came to Shemaiah the man of God, saying,
Lakini neno la Yahwe likamjia Shemaya mtu wa Mungu, likisema,
3 Speak to Rehoboam the son of Solomon, king of Judah, and to all Israel in Judah and Benjamin, saying,
“Sema kwa Rehoboamu mwana wa Selemani, mfalme wa Yuda, na kwa Israeli kataika Yuda na Benyamaini,
4 Thus saith the LORD, Ye shall not go up, nor fight against your brethren: return every man to his house: for this thing is done by me. And they obeyed the words of the LORD, and returned from going against Jeroboam.
Yahwe anasema hivi, “Msivamie wala kufanya vita dhidi ya ndugu zako. Kila mmoja lazima arudi kwenye nyumba yake, kwa maana nimesababisha jambo hili kutokea.” Kwa hiyo wakayatii maneno ya Yahwe na kuacha kumvamia Yeroboamu.
5 And Rehoboam dwelt in Jerusalem, and built cities for defence in Judah.
Yeroboamu akaishi katika Yerusalemu na kujenga miji katika Yuda kwa ajili ya kujilinda.
6 He built even Bethlehem, and Etam, and Tekoa,
Akaijenga Bethelehemu, EtamuTekoa,
7 And Bethzur, and Shoco, and Adullam,
Bethsusi, Soko, Adulamu,
8 And Gath, and Mareshah, and Ziph,
Gathi, Maresha, Zifu,
9 And Adoraim, and Lachish, and Azekah,
Adoraimu, Lakishi, Azeka,
10 And Zorah, and Aijalon, and Hebron, which are in Judah and in Benjamin fortified cities.
Sora, Aiyaloni, na Hebroni. Hii ni miji yenye ngome katika Yuda na Benyamini.
11 And he fortified the strong holds, and put captains in them, and store of food, and of oil and wine.
Akaziimarisha ngome na kuweka maamri jeshsi ndani yake, pamaoja na hazina ya chakula, mafuta, na divai.
12 And in every single city he put shields and spears, and made them very strong, having Judah and Benjamin on his side.
Akaweka ngao na mikuki katika miji yote na kuifanya imara sana. Kwa hiyo Yuda na Benyamini zikawa zake.
13 And the priests and the Levites that were in all Israel resorted to him from all their land.
Makuhani na Walawi waliokuwa katika Israeli yote wakaenda kwake kutoka ndani ya mipaka yao.
14 For the Levites left their common lands and their possession, and came to Judah and Jerusalem: for Jeroboam and his sons had cast them off from executing the priest’s office to the LORD:
Kwa kuwa Walawi waliacha nchi za malisho yao na mali zao ili kuja Yuda na Yerusalemu, kwa maana
15 And he appointed him priests for the high places, and for the demons, and for the calves which he had made.
Yeroboamu na wanaaye walikuwa wamewafukuza, ili kwamba wasifanye majukumu yao ya kikuhani kwa ajili ya sehemu za juu na mbuzi na sanamu za ndama alizokuwa ametengeneza.
16 And after them out of all the tribes of Israel such as set their hearts to seek the LORD God of Israel came to Jerusalem, to sacrifice to the LORD God of their fathers.
Watu kutoka kabila zote za Israeli wakaja nyuma yao, wale walio wameiilekeza mioyo yao kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli; wakaja Yerusalemu kwa ajili ya kumtolea dhabihu Yahwe. Mungu wa baba zao.
17 So they strengthened the kingdom of Judah, and made Rehoboam the son of Solomon strong, three years: for three years they walked in the way of David and Solomon.
Kwa hiyo wakauimarisha ufalame wa Yuda na kumfanya imara Rehoboamu mwana wa Selemani kwa miaka mitatu, na wakatembea kwa miaka mitatu katika njia ya Daudi na Selemani.
18 And Rehoboam took to himself Mahalath the daughter of Jerimoth the son of David for a wife, and Abihail the daughter of Eliab the son of Jesse;
Rehoboamu akajitwalia mke: Mahalathi, binti wa Yerimothi, mwana wa Daudi na wa Abihaili, binti wa Eliabu, mwana wa Yese.
19 Who bore him children; Jeush, and Shamariah, and Zaham.
Akamzalia wana: Yeushi, Shemaraia, na Zahamu.
20 And after her he took Maachah the daughter of Absalom; who bore him Abijah, and Attai, and Ziza, and Shelomith.
Baaad ya Mahalathi, Rehoboamu akamchukua Maaka, binti Absalomu; akamzalia Abiya, Atai, Ziza, na Shelomithi.
21 And Rehoboam loved Maachah the daughter of Absalom above all his wives and his concubines: (for he took eighteen wives, and sixty concubines; and begat twenty and eight sons, and sixty daughters.)
Rehoboamu akampenda Maaka, binti Solomoni, zaidi kuliko wake za wengine wote na masuria (alichukua wake kumi na nane na masuria sitini, na akawa baba wa wana ishirini na nane na mabinti sitini).
22 And Rehoboam made Abijah the son of Maachah the chief, to be ruler among his brethren: for he thought to make him king.
Rehoboamu akamteua Abiya mwana wa Maaka kuwa mkuu, kiongozi miongoni mwa ndugu zake alikuwa na wazo la kumfanya mfalme.
23 And he dealt wisely, and distributed of all his children throughout all the countries of Judah and Benjamin, to every fortified city: and he gave them food in abundance. And he desired many wives.
Rehoboamu akatawala kwa hekima; akawatawanya wanaye katika nchi yote ya Yuda na Benyamini katika kila mji imara. Pia akawapa chakula kwa wingi na akatafuta wake wengi kwa ajili yao.

< 2 Chronicles 11 >