< Luke 10 >

1 After these thinges the Lorde apoynted other seventie also and sent them two and two before him into every citie and place whither he him silfe wolde come.
Baada ya mambo hayo, Bwana akachagua sabini wengine, na kuwatuma wawili wawili wamtangulie katika kila mji na eneo alilotarajia kwenda.
2 And he sayde vnto them the harvest is greate: but the laborers are feawe. Praye therfore the Lorde of ye harvest to send forth laborers into his hervest.
Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Hivyo basi muombeni Bwana wa mavuno, ili kwamba atume haraka wafanyakazi katika mavuno yake.
3 Goo youre wayes: beholde I sende you forthe as lambes amonge wolves.
Enendeni katika miji. Angalieni, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu.
4 Beare noo wallet nether scryppe nor shues and salute noo man by the waye.
Msibebe mfuko wa pesa, wala mikoba ya wasafiri, wala viatu, wala msimsalimie yeyote njiani.
5 Into whatsoever housse ye enter fyrst saye: Peace be to this housse.
Katika nyumba yeyote mtakayo ingia, kwanza semeni, 'Amani iwe katika nyumba hii.'
6 And yf ye sonne of peace be theare youre peace shall rest vpon him: yf not yt shall returne to you agayne.
kama mtu wa amani yupo pale, amani yenu itabaki juu yake, lakini kama sivyo, itarudi kwenu.
7 And in ye same housse tary still eatinge and drinkinge soche as they have. For the laborer is worthy of his ewarde. Go not fro housse to housse:
Bakini katika nyumba hiyo, kuleni na mnywe watakachokitoa, kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msihame kutoka nyumba hii kwenda nyingine.
8 and in to whatso ever citye ye enter yf they receave you eate soche thinges as are set before you
Mji wowote muuingiao, na wakawapokea, kuleni chochote kitakachowekwa mbele yenu,
9 and heale the sicke yt are theare and saye vnto them: the kyngdome of God is come nye vpon you.
na ponyeni wagonjwa waliomo humo. Semeni kwao, 'Ufalme wa Mungu umekuja karibu yanu'
10 But into whatsoever citie ye shall enter yf they receave you not goo youre wayes out into the stretes of ye same and saye:
Lakini katika mji wowote mtakaoingia, na wasiwapokee, nendeni nje katika barabara na semeni,
11 even the very dust which cleaveth on vs of your citie we wipe of agaynst you: Not withstondinge marke this that ye kyngdome of God was come nie vpon you.
'Hata vumbi katika mji wenu lililonata miguu mwetu tunalikung'uta dhidi yenu! Lakini tambueni hili, Ufalme wa Mungu umekaribia.'
12 Ye and I saye vnto you: that it shalbe easier in that daye for Sodom then for yt cytie.
Ninawambieni kwamba siku ya hukumu itakuwa ni usitahamilivu zaidi kwa Sodoma kuliko mji huo.
13 Wo be to the Chorazin: wo be to ye Bethsaida. For yf ye miracles had bene done in Tyre and Sido which have bene done in you they had a greate whyle agone repeted sitting in heere and asshes.
Ole kwako Korazini, Ole kwako Bethsaida! Kama kazi kuu zilizo fanyika ndani yako ingalifanyika Tiro na Sidoni, Wangelitubu zamani sana, wakikaa ndani ya nguo za gunia na majivu.
14 Neverthelesse it shalbe easier for Tyre and Sidon at the iudgement then for you.
Lakini itakuwa usitahamilivu zaidi siku ya hukumu kwa Tiro na Sidoni zaidi yenu.
15 And thou Capernau which art exalted to heave shalt be thrust doune to hell. (Hadēs g86)
Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs g86)
16 He yt heareth you heareth me: and he that dispiseth you despiseth me: and he that dispiseth me despiseth him that sent me.
Atakaye wasikiliza ninyi anisikiliza mimi, na yeyote atakaye wakataa anikataa mimi, na yeyote anikataaye mimi anmtakaa aliyenituma”
17 And the sevetie returned agayne with ioye sayinge: Lorde even the very devyls are subdued to vs thorowe thy name.
Wale sabini walirudi kwa furaha, wakisema, “Bwana, hata mapepo wanatutii katika jina lako.”
18 And he sayde vnto them: I sawe satan as it had bene lightenyng faule doune fro heave.
Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi.
19 Beholde I geve vnto you power to treade on serpetes and scorpions and over all maner power of the enimye and no thinge shall hurte you.
Tazama, nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za adui, na hapana chochote kwa njia yoyote kitakachowadhuru.
20 Neverthelesse in this reioyse not that ye spretes are vnder youre power: but reioyse be cause youre names are wrytten in heaven.
Hata hivyo msifurahi tu katika hili, kwamba roho zinawatii, lakini furahini zaidi kwamba majina yenu yameandikwa mbinguni.”
21 That same tyme reioysed Iesus in ye sprete and sayde: I confesse vnto ye father Lorde of heaven and erth yt thou hast hyd these thynges from the wyse and prudent and hast opened them to the babes. Even so father for soo pleased it the.
Katika mda uleule alifurahi sana katika Roho Mtakatifu, na kusema, “Ninakusifu wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeyaficha mambo haya kutoka kwa wenye hekima na akili, na kuyafunua kwa wasio fundishwa, kama watoto wadogo. Ndio, Baba, kwa kuwa ilipendeza katika machoni pako.”
22 All thinges are geven me of my father. And no man knoweth who the sonne is but the father: nether who the father is save the sonne and he to who the sonne wyll shewe him.
“Kila kitu kimekabidhiwa kwangu na Baba yangu, na hakuna afahamuye Mwana ni nani ila Baba, na hakuna afahamuye Baba ni nani ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana hutamani kujifunua kwake.”
23 And he turned to his disciples and sayde secretly: Happy are ye eyes which se yt ye se.
Akawageukia wanafunzi, akasema faraghani, “Wamebarikiwa wayaonayo haya ambayo ninyi mnayaona.
24 For I tell you that many prophetes and kynges have desired to se those thinges which ye se and have not sene them: and to heare those thinges which ye heare and have not hearde them.
Ninawambia ninyi, kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuona mambo myaonayo, na hawakuyaona, na kusikia kusikia mnayoyaikia, na hawakuyasikia.”
25 And beholde a certayne Lawere stode vp and tempted him sayinge: Master what shall I do to inheret eternall life? (aiōnios g166)
Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios g166)
26 He sayd vnto him: What is written in the lawe? How redest thou?
Yesu akamwambia, “Kimeandikwa nini katika sheria? Unaisoma je?”
27 And he answered and sayde: Loue thy Lorde God with all thy hert and with all thy soule and with all thy stregthe and with all thy mynde: and thy neghbour as thy sylfe.
Akajibu akasema, “Utampenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote, na jirani yako kama nafsi yako mwenyewe.”
28 And he sayde vnto him: Thou hast answered right. This do and thou shalt live.
Yesu akasema, “Umejibu kwa usahihi. Fanya hivi na utaishi.”
29 He willinge to iustifie him silfe sayde vnto Iesus: Who is then my neghbour?
Lakini mwalimu, akitamani kujihesabia haki mwenyewe, Akamwambia Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
30 Iesus answered and sayde: A certayne ma descended fro Hierusalem into Hierico and fell in to the hondes of theves which robbed him of his raymet and wounded him and departed levynge him halfe deed.
Yesu akijibu akasema, “Mtu fulani alikuwa akitelemka kutoka Yerusalem kwenda Yeriko. Akaangukia kati ya wanyang'anyi, waliomnyang'anya mali yake, na kumpiga na kumuacha karibu akiwa nusu mfu.
31 And by chaunce ther came a certayne preste that same waye and when he sawe him he passed by.
Kwa bahati kuhani fulani alikuwa akishuka katika njia hiyo, alipo muona alipita upande mwingine.
32 And lykewyse a Levite when he was come nye to the place wet and loked on him and passed by.
Vivyo hivyo Mlawi pia, alipofika mahali pale na kumuona, akapita upande mwingine.
33 Then a certayne Samaritane as he iornyed came nye vnto him and when he sawe him had compassion on him
Lakini Msamaria mmoja, alipokuwa akisafiri, alipita pale alipokuwa mtu huyo. alipomuona, alisukumwa kwa huruma.
34 and went to and bounde vp his woundes and poured in oyle and wyne and put him on his awne beaste and brought him to a comen ynne and made provision for him.
Alimkaribia na kumfunga vidonda vyake, akimwiga mafuta na divai juu yake. Alimpandisha juu ya mnyama wake, na kumpeleka katika nyumba ya wageni na kumhudumia.
35 And on the morowe when he departed he toke out two pece and gave them to the host and sayde vnto him. Take cure of him and whatsoever thou spedest moare when I come agayne I will recompence the.
Siku ilyofuata alichukua dinari mbili, na akampatia mmiliki wa nyumba ya wageni na kumwambia, 'Muhudumie na chochote cha ziada utakacho tumia, nitakulipa nitakaporudi.'
36 Which now of these thre thynkest thou was neighbour vnto him yt fell into ye theves hondes?
Ni yupi kati ya hawa watatu, unafikiri, alikuwa ni jirani kwake yeye aliyeangukia kati ya wanyang'anyi?”
37 And he sayde: he that shewed mercy on him. Then sayde Iesus vnto him. Goo and do thou lyke wyse.
Mwalimu alisema, “Ni yule aliyeonesha huruma kwake.” Yesu akamwambia, “Nenda na ukafanye vivyo hivyo”
38 It fortuned as they wet that he entred in to a certayne toune. And a certayne woman named Martha receaved him into her housse.
Sasa walipokuwa wakisafiri, waliingia katika kijiji fulani, na mwanamke mmoja jina lake Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
39 And this woman had a sister called Mary which sate at Iesus fete and hearde his preachinge.
Alikuwa na dada aliyeitwa Mariamu, aliekaa miguuni pa Bwana na kusikiliza neno lake.
40 And Martha was combred about moche servinge and stode and sayde: Master doest thou not care that my sister hath leeft me to minister alone? Byd her therfore that she helpe me.
Lakini Martha alijipa shughuli nyingi za kuandaa mlo. Alikwenda kwa Yesu, na kusema, “Bwana, haujali kwamba dada yangu ameniacha nihudumu peke yangu? Hivyo basi mwambie anisaidie.”
41 And Iesus answered and sayde vnto her: Martha Martha thou carest and arte troubled about many thinges:
Lakini Bwana alimjibu na kumwambia, “Martha, Martha, una sumbuka juu ya mambo mengi,
42 verely one is nedfull. Mary hath chosen her that good parte which shall not be taken awaye from her.
lakini ni kitu kimoja tu cha muhimu. Mariamu amechagua kilicho chema, ambacho hakitaondolewa kutoka kwake.”

< Luke 10 >