< Psalms 36 >

1 [Wicked people continually desire to] sin. They consider [IDM] that they do not need to revere God.
Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
2 Because they are very proud, they do not think that God will discover their sins and condemn them (OR, they do not think about their sins and hate themselves for it).
Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
3 [Everything] that they say is deceitful and full of lies; they no longer do what is good and are no longer wise.
Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4 While they are lying on their beds, they plan to do things to harm [others]; they are determined to do things that are not good, and they never refuse [to do what is] evil.
Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
5 Yahweh, your faithful love for us reaches as high as the heavens, you faithfully [do what you have promised]; [it is as though your doing that] extends up to the clouds.
Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
6 Your righteous behavior is [as permanent as] the highest mountains [MET], your acting justly [will continue as long as] the deepest oceans [exist]. You take care of people and you take care of animals.
Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
7 God, your faithful love for us is very precious. You protect us like birds protect their baby birds under their wings [MET].
Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
8 You provide for us plenty of food from the abundant supply [IDM] that you have; your great blessings for us [flow] like a river.
Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
9 You are the one who causes everything to live; your light is what enables us to see.
Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
10 Continue to faithfully love those who have experienced a relationship with you, and bless those who act righteously/justly.
Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
11 Do not allow proud people [SYN] to attack me, or allow wicked people to chase me away.
Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
12 Look where evil people have fallen on the ground, defeated; they were thrown down, and they will never rise again.
Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.

< Psalms 36 >