< Psalms 28 >

1 Yahweh, I call out to you; [you are like an overhanging] rock [under which I can hide]. Do not refuse to answer me, because if you are silent, I will soon be with those who are in their graves.
Yahwe, ninalia; mwamba wangu, usinipuuze. Ikiwa haunijibu, nitaungana na wale waendao chini kaburini.
2 Listen to me when I call out for you [to help me], when I pray, lifting up my hands as I face your sacred temple.
Sikia kilio cha kusihi kwangu pale niitapo msaada kutoka kwako, niinuapo mikono yangu mbele ya mahali patakatifu zaidi!
3 Do not drag me away with wicked people, with those who do wicked deeds, with those who pretend [to act] peacefully toward others while in their inner beings, they hate them.
Usiniburute pamoja na waovu, wale wafanyao uovu, waongeao amani na majirani zao lakini mioyoni mwao mna uovu.
4 Punish those people in the way that they deserve for what they have done; punish them for their evil deeds [DOU].
Uwape kulingana na sitahili ya matendo yao na uwalipe kulingana na madai ya maovu yao, uwalipe kwa ajili ya kazi ya mikono yao na uwape kile wanachostahili.
5 Yahweh, they do not pay attention to the [wonderful] things that you have done and that you have created; so get rid of them permanently and do not let them appear again!
Kwa sababu hawayaelewi matendo ya Yahwe wala kazi ya mikono yake, atawakanyaga kanyaga chini na hata wajenga tena wao.
6 Praise Yahweh because he has heard me when I called out for him to help me!
Abarikiwe Yahwe kwa sababu yeye amesikia sauti ya kusihi kwangu!
7 Yahweh makes me strong and [protects] me [like a shield] [MET]; I trusted in him, and he helped me. I was glad, and from my inner being I praised him as I sang to him.
Yahwe ni nguvu yangu na ngao yangu; moyo wangu wa humwamini yeye, na ninasaidiwa. Kwa hiyo moyo wangu hufurahia sana, nami nitamsifu yeye kwa kuimba.
8 Yahweh causes us to be strong and protects us; and he saves me, the one he appointed [MTY] to be king.
Yahwe ni nguvu ya watu wake, naye ni mkombozi salama wa wapakwa mafuta wake.
9 Yahweh, save/rescue your people; bless those who belong to you. [Take care of them like] a shepherd [takes care of his sheep] [MET]; take care of them forever.
Uwaokoe watu wako na uwabariki warithi wako. Uwe mchungaji wao na uwabebe milele.

< Psalms 28 >