< Psalms 137 >

1 When we [had been taken to] Babylonia, [far from Jerusalem], we sat down by the rivers there, and we cried when we thought about [the temple on] Zion [Hill in Jerusalem].
Kando ya mito ya Babeli tuliketi na tulilia tulipokumbuka kuhusu Sayuni.
2 On the willow trees [alongside the rivers] we hung our harps [because we did not want to play them any more because we were very sad].
Tulitundika vinubi vyetu kwenye miti ya Babylon.
3 The [soldiers] who had captured us [and taken us to Babylonia] told us to sing [for them]; they told us to (entertain them/make them happy), saying, “Sing for us one of the songs [that you previously sang in] Jerusalem!”
Huko watekaji wetu walitaka tuwaimbie, na wale walio tudhihaki walitutaka sisi tufurahi, wakisema, “Tuimbieni moja ya nyimbo za Sayuni.”
4 But [we thought], “We [are sad because we have been punished by Yahweh and brought to this] foreign land, so we cannot [RHQ] sing songs about Yahweh while we are here!”
Tungewezaje kuimba wimbo unaomuhusu Yahwe katika nchi ya ugeni?
5 If I forget about Jerusalem [APO], Iet my right hand wither [with the result that I will be unable to play my harp]
Kama nikikusahau wewe, Yerusalemu, basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.
6 Do not allow me to sing again [MTY], if I forget about Jerusalem, if I do not consider that Jerusalem causes me to be more joyful than anything else does.
Ulimi wangu na ushikamane juu ya kinywa changu kama nisipokufikiria tena, na kama sipendelei zaidi Yerusalemu kuliko furaha yangu kuu.
7 Yahweh, [punish] the people of the Edom people-group for what they did on the day that the army of Babylon captured Jerusalem. Do not forget that they said, “Tear down all the buildings! Destroy them completely! Leave only the foundations!”
Kumbuka, Ee Yahwe, kile walichofanya Waedomu siku ya anguko la Yerusalemu. Walisema, “Ibomoeni, ibomoeni mpaka chini kwenye misingi yake.”
8 And you people of Babylon, you will certainly be destroyed! Those who punish you in return for what you did to us will be happy;
Binti za Babeli, hivi karibuni wataharibiwa- mtu na abalikiwe, yeyote atakaye walipizia yale mliotufanyia sisi.
9 they will take your babies and completely smash them on the rocks.
Mtu na abarikiwe, yeyote achukuaye na kusambaratisha watoto wenu juu ya jiwe.

< Psalms 137 >