< Psalms 130 >

1 Yahweh, I have a lot of troubles/many difficulties, so I call out to you.
Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
2 Yahweh, hear me, while I call out to you [SYN] to be merciful to me!
Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
3 Yahweh, if you kept a record of the sins [that we have committed], not one [of us] [RHQ] would escape from being condemned [and punished]
Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
4 But you forgive us, with the result that we greatly revere you.
Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
5 Yahweh has said [that he would help/rescue me]; I trust what he said, and I wait eagerly for him to do that.
Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
6 I wait for Yahweh [to help me] more than watchmen wait for the light to dawn; yes, I wait more eagerly than they do!
Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
7 You [my fellow] Israelis, confidently expect that Yahweh [will bless us]. [He will bless us] because he faithfully loves [us], and he is very willing to save/rescue [us].
Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
8 And he will save us Israeli [people] from [being punished for] all the sins that [we] have committed.
Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.

< Psalms 130 >