< Psalms 1 >

1 [God] is pleased with those who do not do what [MET] wicked people advise them to do, and who do not imitate the behavior of [MET] sinful people, and who do not join in with people who (ridicule/sneer at) [God].
Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
2 Those whom God is pleased with delight in doing the things that he has instructed/taught us to do. They read and think about Yahweh’s requirements, day and night.
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
3 They [constantly produce/do things that please God] just like fruit trees that have been planted along the banks of a stream produce fruit at the right time every year. [Like] trees that never wither, they succeed in everything that they do.
Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
4 But wicked people are not like that! Wicked people are [as worthless as] chaff that is blown away by the wind.
Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Therefore, wicked people (will not be acquitted/will be condemned) [LIT] when [God] judges people, and furthermore, sinful people will not even be present when [God] gathers righteous people together,
Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 because he guides and protects righteous people, but the path that the wicked walk on leads them to where they will be destroyed/punished [by God forever].
Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.

< Psalms 1 >