< Numbers 2 >

1 Then Yahweh said this to Aaron and Moses/me:
BWANA akasema na Musa na Haruni tena. Akamwambia,
2 “When the Israelis set up their tents, they should set them up in areas that surround the Sacred Tent, but not close to it. The people of each tribe must set up their tents in a different area. Each tribe must erect in that area a banner of their own clan and a flag that represents their tribe.
Kila mtu atapanga kulingana na mahali pake, pamoja na mabango ya baba zao. Watapanga kuzunguka hema ya kukutania kila upande.
3 The people of the tribes of Judah, Issachar, and Zebulun must set up their tents on the east side of the Sacred Tent, close to their tribal flags. These are the names of the leaders of those tribes and the number of soldiers whom they will lead: Nahshon, the son of Amminadab, will be the leader of the 74,600 men of the tribe of Judah.
Wale watakaopanga mashariki mwa hema ya kukutania, mahali ambapo juu huonekana wakati wa jua kuchomoza, ni makambi ya Yuda nao watakuwa katika kundi lao. Nashoni mwana wa Aminadabu ni kiongozi wa watu wa Yuda.
4
Idadi ya watu wa Yuda ni 74, 600.
5 Nethanel, the son of Zuar, will be the leader of the 54,500 men of the tribe of Issachar.
Kabila la Isakari litapanga mbele ya Yuda. Nethaneli mwana wa Zuari ataliongoza jeshi la Isakari.
6
Idadi ya kikosi chake ni wanaume 54, 000.
7 Eliab, the son of Helon, will be the leader of the 57,400 men of the tribe of Zebulun.
Kabila la Zabuloni litapanga mbele ya Isakari. Eliabu mwana wa Heloni ndiye atakayeliongoza jeshi la Zabuloni.
8
Idadi ya kikosi chake ni 57, 400.
9 So there will be 86,400 troops on the east side [of the Sacred Tent]. Whenever the Israelis move to a new location, those three tribes must go in front of the others.
Idadi yote ya kambi y a Yuda ni 186, 400. Watakuwa wa kwanza kuondoka.
10 The tribes of Reuben, Simeon, and Gad must set up their tents on the south side of the Sacred Tent, close to their tribal flags. These are the names of the leaders of those tribes and the number of men whom they will lead: Elizur, the son of Shedeur, will be the leader of the 46,500 men of the tribe of Reuben.
Upande wa kusini kutakuwa na kambi ya Reubeni katika kundi lao. Kiongozi wa kundi la Reubeni ni Elizuri mwana wa Shedeuri.
Idadi ya kikosi chake ni 46, 500.
12 Shelumiel, the son of Zurishaddai, will be the leader of the 59,300 men of the tribe of Simeon.
Simeoni atapanga mbele ya Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Zurishadai.
Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300.
14 Eliasaph, the son of Deuel, will be the leader of the 45,650 men of the tribe of Gad.
Kabila la Gadi litafuatia. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deuli.
Idadi ya kikosi chake ni 45, 650.
16 So there will be 151,450 troops on the south side of the Sacred Tent. Those three tribes will follow the first group [when the Israelis travel].
Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na kikosi chake, ni 151, 450. Watakuwa wa pili kuondoka.
17 Behind that group will walk the descendants of Levi, who will carry the Sacred Tent. The Israelis will march in the same order that they always set up their tents. Each tribe will carry its own flag.
Kifuatacho, ni hema la kukutania kuondoka kambini pamoja na Walawi likiwa katikati ya kambi zote. Lazima waondoke hapo kambini kwa mpangilio huo kama walivyoingia kwenye kambi. Kila mwanamume lazima awe mahali pake kwa kufuata bango lake.
18 The tribes of Ephraim, Manasseh, and Benjamin must set up their tents on the west side of the Sacred Tent, close to their tribal flags. These are the names of the leaders of those tribes and number of men whom they will lead: Elishama, the son of Ammihud, will be the leader of the 40,500 men of the tribe of Ephraim.
Migawanyiko ya kambi y Efraimu kufuata mahali pake. Kiongozi wa watu wa Efraimu ni Elishama mwana wa Amihudi.
Hesabu ya kikosi hiki ni 40, 500.
20 Gamaliel, the son of Pedahzur, will be the leader of the 32,200 men of the tribe of Manasseh.
Baada ya hao lilifuata kabila la Manase. Kiongozi wa Manase ni Gamaliel mwana wa Pedazuri.
Hesabu ya kikosi hiki ni 32, 200.
22 Abidan, the son of Gideoni, will be the leader of the 35,400 men of the tribe of Benjamin.
Kabila litakalofuata ni la Benjamini. Kiongozi wa Benjamini n Abidani mwana wa Gidioni.
Hesabu ya kikosi hiki ni 35, 000
24 So there will be 108,100 troops on the west side of the Sacred Tent. Those three tribes will follow the second group, [behind the descendants of Levi].
Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu ni 108, 100. Watakuwa wa tatu kuondoka.
25 The tribes of Dan, Asher, and Naphtali must set up their tents on the north side of the Sacred Tent, close to their tribal flags. These are the names of the leaders of those tribes and the number of men whom they will lead: Ahiezer, the son of Ammishaddai, will be the leader of the 62,700 men of the tribe of Dan.
Upande wa kaskazini kutakuwa na kambi ya kikosi cha Dani. Kiongozi wa watu wa Dani ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.
Hesabu ya kikosi hiki ni 62, 700.
27 Pagiel, the son of Ocran, will be the leader of the 41,500 men of the tribe of Asher.
Watu wa kabila ya Asheri watapanga mbele ya Dani. Kiongozi wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okirani.
Hesabu ya Kikosi hiki ni 41, 500.
29 Ahira, the son of Enan, will be the leader of the 53,400 men of the tribe of Naphtali.
Kabila la Naftali ndilo litakalofuatia. Kiongozi wa Naftali ni Ahira mwana wa Enani.
Hesabu ya kikosi hiki ni 53, 400.
31 So there will be 157,600 troops on the north side of the Sacred Tent. Those three tribes will be last. They must carry their own flags when the Israelis travel.”
Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157, 600. Hawa watakuwa wa mwisho kuondoka kambini, wakifuata bango lao.
32 So there were 603,550 Israeli men who were able to fight who were listed according to their families’ ancestors.
Hawa ndio Waisraeli, waliohesabiwa kufuata familia zao. Wote waliohesabiwa kwenye kambi zao, kwa kufuata vikosi vyao ni 603, 550.
33 But just as Yahweh had commanded, the names of the descendants of Levi were not included.
Lakini Musa na Haruni hawakujumuisha Walawi kwenye Hesabu ya Waisrael. Ilikuwa kama BWANA alivyokuwa amemwagiza Musa.
34 The Israelis did everything that Yahweh had told Moses/me. They set up their tents close to their tribal flags, and when they traveled [to a new location, they walked] with their own clans and family groups.
Watu wa Israel walifanya yote ambayo BWANA alimwagiza Musa. Walipanga kwa kufuata mabango yao. Walisafiri kutoka kambini kwa kufuata jamaa zao, kwa mpangilio wa familia za koo zao.

< Numbers 2 >