< Micah 3 >

1 Then I said, “You Israeli [MTY] leaders, listen [to what I say]! You should certainly [RHQ] know what things are right [to do] [and what things are wrong],
Nimesema'”Sasa sikilizeni, ninyi viongozi wa Yakobo na kutawala nyumba ya Israeli: Je siyo sahihi kwenu kuielewa haki?
2 but you hate what is good and you love what is evil. [You act like butchers]: [it is as though] you strip the skin off my people and [tear] the flesh from their bones.
Ninyi manaochukia mazuri na kupenda uovu, ninyi mnaoambua ngozi yao, miili yao kutoka kwenye mifupa yao-
3 [It is as though] you chop them into pieces like [SIM] meat [to be cooked] in a pot.
ninyi mnaokula pia miili ya watu wangu, na kuambua ngozi yao, kuvunja mifupa yao, na kuwakatakata katika vipande vipande, kama nyama kwenye chungu, kama nyama kwenye sufuria kubwa.
4 Then, [when you have troubles], you plead to Yahweh [to help you], but he will not answer you. At that time, he will turn away from you because of the evil things that you have done.”
Kisha ninyi watawala mtalia kwa Yahwe, lakini hatawajibu. Atauficha uso wake kutoka kwenu kipindi hicho, kwasababu mmefanya matendo maovu.”
5 This is what Yahweh says about your [false] prophets who are deceiving the people: “If someone gives them food, those prophets say that things will go well for him. But they declare war against anyone who does not give them food.
Yahwe asema hivi kuhusu manabii ambao wawafanyao watu wangu kushindwa, “Kwa wale wawalishao wanatangaza, 'Kutakuwa na ustawi.' Lakini kwa wale wasioweka kitu kwenye vinywa vyao, wanaanzisha vita dhidi yake.
6 So [now it is as though] [MET] night will descend on you prophets; you will not receive any [more] visions. [It is as though] [MET] the sun will set for you; the time [when you are greatly honored] will end.
Kwa hiyo, itakuwa usiku kwenu usiokuwa na maono juu yenu; itakuwa giza ili kwamba msiweze kubashiri. Jua litakwenda chini juu ya manabii, na siku itakuwa giza juu yao.
7 [Then] you (seers/people who predict what will happen in the future) [DOU] will be disgraced; you will cover your faces [because you will be ashamed], because when you ask me [what will happen], there will be no answer from me.”
Waonaji watawekwa kwenye aibu, waaguzi wa watachanganyikiwa. Wote watafunga midomo yao, kwa kuwa hakuna jibu kutoka kwangu.”
8 But as for me, I am full of [God’s] power, [power] from the Spirit of Yahweh. I am courageous and strong to declare to the Israeli people [MTY, DOU] that they have sinned and rebelled [against Yahweh].
Lakini kwangu, nimejazwa nguvu kutoka kwa Roho wa Yahwe, na nimejaa haki na uweza, kumwambia Yakobo kosa lake, na Israeli dhambi yake.
9 You leaders of the people [MTY] of Israel, listen to this! You hate [it when people do] what is just; and [when people say] what is true, you distort it, [saying it is false].
Sasa sikieni hii, ninyi viongozi wa nyumba ya Yakobo, na watawala wa nyumba ya Israeli, ninyi ambao mnaochukia haki, na kupotosha kila haki.
10 [It is as though] you are building [houses in] Jerusalem on foundations that consist of murdering people and doing what is corrupt.
Mnaijenga Sayuni kwa damu na Yerusalemu kwa uovu.
11 Your leaders make [favorable] decisions [only if they receive] bribes. Your priests teach people only if [those people] pay them [well]. Your [false] prophets require people to pay them to tell people what will happen [to them] in the future. Those prophets say, “Yahweh is telling us [what we should say], and [we say that] we will not experience any disasters.”
Viongozi wenu huhukumu kwa rushwa, makuhani wenu hufundisha kwa hijara, na manabii wenu hufanya utabiri kwa ajili ya pesa. Hata hivyo bado mtamtegemea Yahwe na kusema, “Je hayupo Yahwe pamoja nasi? Hakuna uovu utakaokuja juu yetu.”
12 Because of what you [leaders do], Zion [Hill] will be plowed like a field; it will become a heap of ruins/rubble; the top of the hill, where the temple is [now], will be covered with bushes.
Kwa hiyo, kwasababu yenu, Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa rundo la kifusi, na mwinuko wa hekalu utakuwa kama mwinuko wa msituni.

< Micah 3 >