< Joshua 12 >

1 The Israelis took control of the land that was east of the Jordan River, from the Arnon River gorge [in the south] to Hermon Mountain [in the north], including all the land on the eastern side of the Jordan [River] Valley. That land previously belonged to the two kings whose armies the Israelis defeated.
Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
2 One of them was Sihon, the king of the Amor people-group. He lived in Heshbon [city] and ruled over the area from Aroer [town] along the Arnon River Gorge, north to the Jabbok River. His land started in the middle of the gorge, which was the border between his land and the land of the Ammon people-group. Sihon also ruled over [the southern] half of the Gilead region,
Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
3 and over the land on the eastern side of the Jordan [River] Valley, from Galilee Lake [south] to the Dead Sea. He also ruled over the land [east of the Dead Sea] from Beth-Jeshimoth south to the side of Pisgah Mountain.
Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
4 The other king whom the Israeli army defeated was Og, the king of the Bashan [region]. He was the last of the descendants of [the giant] Rapha. He ruled that land, living alternately in Ashtaroth and Edrei [cities].
Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
5 He ruled over the area from Hermon Mountain and Salecah [in the north], and over all the Bashan area in the east, and to the borders of the kingdoms of Geshur and Maacah to the west. Og ruled [the northern] half of the Gilead region, as far as the border of the land ruled by King Sihon.
Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
6 Moses, the man who served Yahweh [well], and all the Israeli army defeated the armies of those kings. Then Moses gave that land to the tribes of Reuben and Gad and half of the tribe of Manasseh.
Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
7 Joshua and the Israeli army also defeated kings who ruled over the land on the west side of the Jordan [River]. He gave that land to the Israeli people, dividing it among the other tribes. That land was between Baal-Gad [city] in the Lebanon Valley [in the far north all the way south] to Halak Mountain, which is near the land of the Edom people-group.
Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
8 That land included the mountains, the western hilly area, the Jordan [River] Valley, the [western] slopes of the mountains, the desert [in Judea], and the Negev [desert in the south]. That whole area was the land where the Heth, Amor, Canaan, Periz, Hiv, and Jebus people-groups lived. The Israeli army defeated the armies of the kings of each of these cities:
Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
9 Jericho, Ai (which was near Bethel),
Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
10 Jerusalem, Hebron,
mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
11 Jarmuth, Lachish,
mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
12 Eglon, Gezer,
mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
13 Debir, Geder,
mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
14 Hormah, Arad,
mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
15 Libnah, Adullam,
mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
16 Makkedah, Bethel,
mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
17 Tappuah, Hepher,
mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
18 Aphek, Lasharon,
mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
19 Madon, Hazor,
mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
20 Shimron Meron, Acshaph,
mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
21 Taanach, Megiddo,
mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
22 Kedesh, Jokneam in the Carmel area,
mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
23 Dor in the Naphoth-Dor area, Goyim in the Gilgal area,
mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
24 and Tirzah. There was a total of 31 kings [that the Israeli army defeated].
mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.

< Joshua 12 >