< Jeremiah 28 >

1 When Zedekiah had been the King of Judah for more than three years, late in the (summer/hot season), Azzur’s son Hananiah, a prophet from Gibeon [city], spoke to me in the [courtyard of the] temple, while [all] the priests and other people were listening. He said,
Ilitokea katika mwaka ule, mwanzoni mwa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa nne na mwezi wa tano, Hanania mwana wa Azuri nabii, alikuwa wa Gibeoni, alisema kwangu katika nyumba ya Yahwe mbele za makuhani na watu wote. Alisema,
2 “This is what the Commander of the armies of angels, the God whom [we] Israelis [worship], says: ‘I will cause the king of Babylon to stop ruling/controlling [MET] [all of you].
“Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nimeivunja nira iliyowekwa na mfalme wa Babeli.
3 (Within two years/Before two years have ended), I will cause to be brought bring back to this temple all the valuable things that King Nebuchadnezzar’s [soldiers] took from this temple and took to Babylon.
Ndani ya miaka miwili nitavirudisha katika sehemu hii vyombo vyote vya nyumba ya Yahwe ambavyo Nebukadreza mfalme wa Babeli livichukua kutoka sehemu hii na kuvisafirisha hadi Babeli.
4 And I will also cause King Jehoiachin to be brought back here, and all the [other] people who were captured and taken to Babylon. The king of Babylon has [forced you to do what he wants, like someone] puts a yoke [on the neck of an ox to force it to do what he] wants [MET] it to do. But I will cause that to end. [That will happen because] I, Yahweh, have said it.’”
Kisha nitawarudisha katika sehemu hii Yekonia mwana wa Yehotakimu, mfalme wa Yuda, na mateka wote wa Yuda ambao walipelekwa Babeli—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.”
5 I replied to Hananiah in front of [all] the priests and other people who were standing outside the temple.
Kwa hiyo Yeremia nabii akasema kwa Hanania nabii mbele ya makuhani na kwa watu wote waliosimama katika nyumba ya Yahwe.
6 I said, “(Amen/May that happen)! I desire/hope that what you have predicted will happen. I hope/desire that Yahweh will do everything that you have said! I hope/desire that he will cause [men from Babylon] to bring back from Babylon [all] the valuable things that were in this temple, and all the people who were taken [to Babylon].
Yeremia nabii akasema, “Yahwe afanye hivi! Yahwe ayathibitishe maneno ambayao ulitabiri na kuvirudisha katika sehemsu hii vyombo vya nyumb a ya Yahwe, na mateka wote kutoka Babeli.
7 But now listen to what I say to you while all these people are listening.
Vile vile, sikilizeni neno ambaloo ninalitangaza katika masikio yenu na katika masikio ya watu wote.
8 Many years ago, those who were prophets before you and I [became prophets] spoke messages about many nations and great kingdoms. They predicted/prophesied that wars and disasters and plagues/diseases would occur in those nations.
Manabii ambao walikuwepo mbele yangu na na mbele yenu muda mrefu uliopita pia walitabiri kuhusu mataifa mengi na juu ya falme kuu, kuhusu vita, njaa, na mapigo.
9 [So now you or] any other prophet who predicts that things will go well [for us must show that your message is correct. Only] if what you predict actually happens will we know that you were truly appointed by Yahweh.”
Kwa hiyo nabii anayetabiri kwamba kutakuwa na amani—kama neno lake litatimia, basi itajulikana kwamba yeye ni nabii kweli aliyetumwa na Yahwe.”
10 Then Hananiah took the yoke off my neck and broke it.
Lakini Hanania nabii akaichukua nira kutoka kwenye shingo ya Yeremia na kuivunja.
11 Then he said this to all the people who were there: “This is what Yahweh says: ‘Just like Hananiah has broken this yoke, within two years I will cause King Nebuchadnezzar of Babylon to [stop forcing the people to do what he wants, which has been like] a heavy yoke on all their necks [MET].’” After Hananiah said that, I left the temple area.
Kisha Hanania akanena mbele ya watu wote na kusema, “Yahwe anasema hivi: Kama hivi tu, ndani ya miaka miwili nitaivunja nira iliyowekwa na Nebukadreza mfalme wa Babeli kutoka kwenye shingo ya kila taifa.” Kisha Yeremia nabii akaenda njia yake.
12 [Soon] after Hananiah had broken the yoke that was around my neck, Yahweh gave this message to me:
Baada ya Hanania nabii kuivunja nira kutoka kwenye shingo ya Yeremia nabii, neno la Yahwe likamjia Yeremia. likisema,
13 “Go and say this to Hananiah: ‘Yahweh says that you have broken a wooden yoke, but that he will replace it with an iron yoke.
Nenda na ukaseme kwa Hanania na useme, Yahwe anasema hivi: Uliivunja nira ya mbao, lakini badala yake nitafanya nira ya chuma.'
14 I have forced the people of all these nations to [become slaves of] King Nebuchadnezzar of Babylon. That is [like] [MET] an iron yoke around their necks. I have put everything, even wild animals, under his control.’”
Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nimeweka nira ya chuma shingoni mwa mataifa haya yote ili wamtumikea Nebukadreza mfalme wa Babeli, na watamtumikia. Pia nimempa wanyama wa mashambani awatawale.”
15 Then I [went to] Hananiah and said to him, “Hananiah, listen [to this]: Yahweh has not appointed you; instead, [you have told] lies to the people, and they have believed your lies.
Kisha nabii Yeremia akamwambia Hanania nabii, “Sikiliza Hanania! Yahwe hajakutuma, bali wewe mwenyewe umewasababisha watu hawa kuamini katika uongo.
16 Therefore, this is what Yahweh says: ‘You will [soon] die. Before the end of this year, you will die, because you have rebelled against Yahweh.’”
Kwa hiyo Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kukutuma nje ya dunia. Mwaka huu utakufa.”
17 Hananiah died two months later.
Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, Hanania nabii akafa.

< Jeremiah 28 >