< Isaiah 14 >

1 [But] Yahweh will act mercifully toward the Israeli people; he will choose [the people of] Israel [to be his people again], and he will allow them to [return here and] live in their own land again. Then people from [many] other countries will come here and unite with the Israeli people.
Yahwe atakuwa na huruma juu ya Yakobo; atamchagua tena Israeli na kumrudisha tena kwenye nchi yake. Wageni wataungana nao na wataambatana wenyewe na nyumba ya Yakobo.
2 People of other nations will help them to return to their [own] land, and those who come from other countries will (work for/become the servants of) the Israeli people. Those who captured people of Israel will be captured by Israeli soldiers, and the people of Israel will rule over the people who [previously] oppressed them.
Mataifa yataletwa katika maeneo yao wenyewe. Ndipo nyumba ya Israeli itawachukwa katika nchi ya Yahwe kwa watumishi wa kiume na wakike. Watachukuwa wafungwa wale waliokamatwa, na watawaongoza wale waliokuwa wanawanyanyasa.
3 Some day Yahweh will free you [Israeli people] from suffering and trouble and from being afraid, and from being cruelly treated as slaves [MTY].
Siku hiyo Yahwe atatoa pumziko kutoka kwenye mateso na maumivu, na kutoka kwenye kazi ngumu ambayo waliitajika kuzifanya,
4 When that happens, you will make fun of the King of Babylon by saying this: “You treated us cruelly, but that has ended! Your insolently causing others to suffer is finished!
mtaimba hii kauli wimbo juu ya mfalme wa Babeli, ''Ni kwa jinsi gani wayanyasaji wamefika mwisho, kiburi cha hasira kimekwisha!
5 You evil ruler, Yahweh will get rid of your power, and you will oppress people no longer!
Yahwe amevunja wafanyakazi waovu, fimbo ya hao viongozi,
6 You attacked people many times because you were very angry with them, and you subdued/conquered [other] nations by causing them to suffer endlessly.
inayowapeleka watu kwenye laana na mapigo yasiyopimika, wanoongoza taifa kwa hasira,
7 [But soon] everything will be quiet and peaceful on the earth. Everyone [PRS] will sing [again]!
yote iko katika punziko na utulivu; wmeanza kusherekea kwa kiimba.
8 [It will be as though] even the trees in the forests will joyfully sing this song, the cyprus/pine [trees] and the cedar [trees] in Lebanon will sing it: ‘You (have been overthrown/are no longer a ruler), and now no one comes to get rid of us [MET].’
Hata mti wa mseprasi inafuhaia pamoja mierezi ya Lebanoni; inasema, Tangu ulipoweka chini, hakuna mkata kuni aliyekuja kutungusha sisi,
9 The dead people are [PRS] are eagerly waiting for you to come to the place where they are. The spirits of the world leaders will be delighted to welcome you; those who were kings of many nations [before they died] will stand up [to welcome you]. (Sheol h7585)
Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
10 They will all shout to you [together], ‘Now you are as weak as we are!’
Watazungumza na kukuambia wewe, 'umekuwa dhaifu kama sisi.
11 You were very proud and powerful, [but all] that ended when you died, along with the sounds of harps [being played in your palace]. [Now in your grave] maggots will be under you [like a sheet] [MET], and worms will cover you [like a blanket] [MET]. (Sheol h7585)
Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
12 You have [disappeared from the earth like] [MET] a star which has fallen from the sky; you [were very well-known] [like] [MET] the morning star [which is seen by everyone]; you destroyed [many] nations, but now you have been destroyed.
Kwa jinsi gani ulivyoanguka kutoka mbinguni, nyota ya siku, jua la asubuhi! ni kwa jinsi gani mlivyoshushwa chini, umeyashinda mataifa!
13 You [proudly] said to yourself, ‘I will ascend to heaven, to my throne above God’s stars. I will rule on the mountain where [the gods] gather together, far in the north.
Unasema katika moyo wako, ' Nitapaa kutoka juu mbinguni, nitanyanyua enzi yangu juu ya nyota za Mungu, na nitakaa kwenye mlima wa kukusanyikia, kwa mbali kufika kaskazini.
14 I will ascend above the clouds and become like the highest/greatest god!’
Nitapaa juu umbali wa mawingu; Nitalifanya mimi mwenyewe kama Mungu aliye juu zaidi.'
15 [But you were not able to do that]; instead, you were carried down to your grave, and you went to the place where the dead people are. (Sheol h7585)
Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
16 The [other dead] people there stare at you; they wonder what happened to you. [They say], ‘Is this the man who caused the earth to shake and caused the [people in many] kingdoms to tremble?
Wale wanaokuona watakuangalia wewe, watakuangalia sana. Watasema, Je ni huyu mtu aliyefanya dunia itetemeke, nani aliyetingisha falme,
17 Is this the man who [tried to] cause the world to become a desert, who conquered its cities and did not allow the people whom he captured to return to their homes?’
ni nani aliyefanya dunia kama jangwa, ni nani aliyeharibu miji yake, na hataki kuwachia wafungwa waende nyumbani?'
18 All the kings of the earth [who have died] were greatly honored when they were buried,
Wafalme wote wamataifa, wote kwa pamoja wamelala chini kwa heshima, kila mtu kwa kaburi lake.
19 but your [corpse will] not be buried; it will be thrown away like [SIM] a worthless branch [of a tree]. Your corpse will be under a heap of other corpses of soldiers that were killed by [their enemies’] swords, and [their corpses] were not buried; you will be with those who have gone down to the stony ground in a big pit.
Lakini umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lilivyotupwa mbali. Maiti imekufunika kama vazi, na wale wanaochomwa kwa upanga, nani wale washukao mpaka misingi ya shimo.
20 Your [corpse] will not be buried because you have destroyed your nation and have caused your people to be killed. The descendants of wicked people [like you] will never be honored again.
Hautaunganishwa pamoja katika mazishi, kwa sababu umeiharibu nchi yako na kuuwa watu wako. Watoto wa watenda maovu hawatatajwa tena.''
21 [People will say], ‘Slaughter this man’s children because of the sins that their ancestors committed! Do not allow them to become rulers and conquer [all the nations in] the world, and fill the world with the cities [that they rule]!’”
Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.''
22 [This is what] the Commander of the armies of angels says: “I [myself] will cause Babylon to be conquered. I will get rid of Babylon and its people and their descendants.
Nitapanda juu yao''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi. Nitang'oa jina katika Babeli, uzao, na ukoo''- hili ndilo tamko la Yahwe.
23 I will cause Babylon to be a place where owls live, a place full of swamps; I will get rid of it completely [as though] [MET] I were sweeping it with a broom. [That is what I], the Commander of the armies of angels, say.”
Tena nitaifanya nchi hiyo kuwa makao ya bundi, dimbwi la maji, nanitawafagia kwa mfagio wa uharibifu''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
24 The Commander of the armies of angels has [also] solemnly promised this: “The things that I have planned will surely happen [DOU].
Yahwe wa majeshi ameapa, ''Hakika, kama nilivyodhamiria, itakuwa kama ilivyo; na kama nilivyo kusudia itakuwa:
25 [When the army of] Assyria is in my land [of Israel], I will crush them. [It will be as though] I will trample them on my mountains. My people will no longer be the slaves [MET] of the people of Assyria; [it will be as though] [MET] I will take away the burdens that are on their shoulders.
Nitawavunja Waasiria kwa mikono yangu, na kukanyaga milima kwa miguu yangu mwenyewe. Hivyo nira yake itanyanyuliwa juu yao na mzigo juu ya mabega yao.''
26 I have a plan for everyone on the earth, a plan to show my power [MTY] to punish all the nations.
Huu ni mpango uliokusudiwa katika nchi yote, na huu ndio mkono ulionyanyuliwa juu ya mataifa.
27 [I], the Commander of the armies of angels, have spoken, and no one can [RHQ] change my mind. When I raise my fist [to strike Assyria], no one [RHQ] will be able to stop me [from doing that].”
Kwa maana Yahwe wa majeshi amepanga hivi; ni nani atakayemzia yeye? Mkono wake umenyanyuliwa juu, ni nani atakajemrudisha nyuma?
28 I received this message [from Yahweh] during the year that King Ahaz died:
Katika miaka ambayo mfalme Ahazi alipokufa, hili ndio tamko lilokuja:
29 You people of Philistia, do not rejoice that the enemy army [MET] that attacked you has been defeated and that their king is dead. He was [as dangerous as] [MET] a snake, but there will be another king, who will be more [dangerous] than a cobra; he will be [like] [MET] a quick-moving poisonous snake.
Msishangilie, enyi wafilisti wote, kwamba fimbo ya kukupigia wewe imevunjika. Maana katika njia ya nyoka atatoka fira, na watoto wake watakuwa moto nyoka wanaopaa.
30 Those of my people who are very poor will take care of their flocks of sheep, and the needy people will lie down safely, but I will cause you people [of Philistia] who are still alive [DOU] to die from famine.
Na mtoto wa kwanza wa maskini watachunga kondoo wao kwenye malisho yangu, na wahitaji watalala chini salama. Nitaiuwa mizizi yenu kwa njaa ambayo atawauwa wakazi wenu wote.
31 [So], you people of Philistia, wail at the gates of your cities! You should be extremely afraid, because [a very powerful army] will come from the north [to attack you]; [their chariots will stir up the dust like] [MET] a cloud of smoke. Each of their soldiers is ready to fight.
Omboleza, ewe lang, lia, ewe mji; ninyi nyote mtayeyukia mbali, Ufilisti. Maana kutoka kaskazini limetoka wingu la moshi, na hakuna hata mmoja atakaye odoka kwenye nafasi yake.
32 If messengers [from Philistia] come to us [Israeli people], this is what we must [RHQ] tell them: “Yahweh has established Jerusalem, [not Philistia], and his people who are oppressed will be safe inside [the walls of] Jerusalem.”
Ni kivipi mtu mmoja atamjibu mjumbe wa taifa? Kwamba Yahwe ameipata Sayuni, na ndani yake walionewa watatafuta kimbilio.

< Isaiah 14 >