< Ezra 9 >

1 Some time later, the Jewish leaders came to me and said, “Many Israelis, and even some priests and [other men who are] descendants of Levi [who work in the temple], have not kept themselves from [doing what] the other people who are living in this land [do]. They are practicing the detestable things that the Canaan, Heth, Periz, Jebus, Ammon, and Amor people-groups, and the people from Moab and Egypt do.
Kipindi mambo hayo yanatendeka, wakuu wakaja kwangu na kuniambia,”Watu wa Israel, Makuhani na walawi hawakuweza kujitenga wenyewe kutoka kwa watu wa nchi zingine na maovu yao: Wakanaani, Wahiti, Waperuzi, wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri na Waamori.
2 [Specifically, some] Israeli men have married women who are not Israelis, and they have allowed their sons to do the same thing. So we, God’s sacred people, have become (contaminated/polluted in God’s sight). And some of our leaders and officials have been the first/worst ones to do this.”
Kwa kuwa wamewachukua baadhi ya binti na watoto wa kiume, wamejichanganya watu watakatifu na watu wa nchi nyingine na wakuu na viongozi wamekuwa wa kwanza katika imani hii potofu.
3 When I heard that, [I became very angry, with the result that] I tore my clothes and tore some hair from my head and from my beard. Then I sat down, very shocked/dismayed. [The Israelis knew that God had warned us that he would punish us if we disobeyed] what he had said to us [about marrying women who are not Israelis].
Niliposikia haya, nikachana nguo zangu na kanzu na kunyoa nywele kichwani na ndevu na nikakaa chini kutafakari.
4 [So] many of the Israelis trembled/were afraid when they heard that some of those who had returned from Babylonia had sinned by disobeying the God of us Israelis like that. They came and sat with me until it was time to offer the evening sacrifices [of grain].
Na wale wote waliotetemeka kwa neno la Mungu wa Israel kuhusu imani potofu walikusanyika kwangu wakati nimakaa chini nikiwa na aibu hadi kufikia kipindi cha sadaka za jioni.
5 When it was time to offer those sacrifices, I was still sitting there, wearing those torn clothes and mourning/sad. I stood up, and then I quickly prostrated myself on the ground. I lifted up my hands to Yahweh, my God,
Lakini katika sadaka ya jioni nikasimama kwenye nafasi yangu nikiwa mnyenyekevu na nguo ilichanika na kanzu, na nikapiga magoti na kunyoosha mikono yangu kwa Yahwe Mungu wangu. Nikasema
6 and this is what I prayed: “Yahweh my God, I am very ashamed to raise my head in front of you. The sins that we Israelis have committed [are very great; it is as though they] have risen up higher than our heads, and our guilt [for committing those sins, it is as though it] rises up to the heavens.
“Mungu wangu, nina aibu na sistahili kuinua uso wangu kwako, makosa yetu yamekuwa hadi kuvuka kichwani na maovu yetu yameongezeka kufika mbinguni.
7 Since the time that our ancestors lived until now, we have been very guilty. That is the reason that we and our kings and our priests have been defeated by [the armies of] the kings of other lands. They killed [some of our people], they captured [some], they robbed [some], and they [caused them all to be] disgraced, just like we are today.
Kuanzia siku ya watangulizi wetu mpaka sasa tumekuwa katika maovu makuu. Makosa yetu, viongozi, makuhani, walikuwa katika mikono ya mfalme wa dunia hii, katika upanga, matekani na kunyanyaswa na tuna aibu ya uso hata leo.
8 “But now, Yahweh God, you have been very kind to us. You have allowed some of us to (survive/continue to live). You have revived our spirits [IDM] and allowed us to escape from being slaves [in Babylonia] and to return safely [IDM] to live in this sacred place.
sasa kwa kipindi kifupi, neema kutoka kwa Yahwe Mungu wetu imekuja kutuacha mabaki wachache na kutupa kuhimmili sehemu takatifu. Hii ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu wetu kututia nuru macho yetu na kutupa unafuuu sisi tulio watumwa.
9 We were slaves, but you did not abandon us. Instead, because you faithfully love us, you caused the kings of Persia to be very kind to us. You have allowed us to continue to live and to rebuild your temple which had been completely destroyed. You have allowed us to start to live safely here in Jerusalem and in [other towns in] Judah.
Kwa kuwa sisi tu watumwa, lakini Mungu bado hajatusahau lakini ameongeza agano la uaminifu kwetu, ameyatenda haya mbele ya macho ya mfalme wa Uajemi ili kwamba haweze kutupatia nguvu mpya. Ili kwamba tuweze kujenga nyumba ya Mungu na tuweze kuondoa majuto. Alitenda hayo ili kwamba aweze kutupatia msingi wa usalama katika Yuda na Yerusalem.
10 “Our God, what more can we say now [RHQ]? In spite of all that [you have done for us], we have disobeyed your commands.
Lakini sasa Mungu wetu, tuseme nini baaada ya haya? Tumesahau amri zako.
11 They are commands that you gave to your servants, the prophets, to tell to us. They said that the land that we would occupy was polluted because of the detestable/disgusting things that were done by the people who lived there. They said that in the land there were people from one end to the other who did immoral/shameful things.
amri ambazo uliwapa manabii watumishi wako, pale uliposema, “Nchi hii mnayoingia kuimiliki ni nchi chafu. Imechanganyikana na watu wasio na utaratibu. ameenea kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa uchafu wao.
12 They said, ‘Do not allow your daughters to marry their sons! Do not allow your sons to marry their daughters! Do not even try to cause things to go well for those people-groups! If you obey these instructions, your nation will be strong, and you will enjoy the good crops that grow on the land, and the land will belong to your descendants forever.’
Hivyo sasa, msiwape binti zenu kwa watoto wao, msichukue binti zao kwa ajili ya watoto wenu, msitafute amani kwao na fadhili, ili kwamba muweze kuwa imara na kula vizuri vya nchi, hivyo utasababisha watoto wenu kumiliki kwa wakati wote.”
13 “You punished us because we were very guilty for having done wicked things. But you have not punished us as much as we deserve to be punished. [I say this because] you, our God, have allowed some of us to survive.
Baada ya yote kutokea kwetu kwa sababu ya uovu wetu na makosa yetu makuu, tokea hapo, Mungu wetu, hukutazama makosa yetu na kutuadhibu tulivyostahili na ukatuacha kama mabaki.
14 However, some of us are again disobeying your commands, and we are marrying women who do those detestable things. If we continue to do that, surely you will get rid of all of us [RHQ], with the result that none of us will remain alive.
Tunaweza kuvunja tena amri zako na kuingiliana katika ndoa, na hawa watu wasiofuata utaratibu? Je hautachukia na kututowesha sote hakuna wa kubaki, hakuna wa kutoroka?
15 Yahweh, the God whom we Israelis [worship/belong to], you are fair/just. We are guilty. We are only a few people who have escaped [from Babylonia], but we pray to you, even though we do not deserve to stand in your presence.”
Yahwe, Mungu wa Israel, wewe ni mwenye haki, kwa kuwa tumebaki wachache mabaki hadi siku ya leo. Tazama, tuko mbele yako na makosa yetu, kwa kuwa hakuna hata mmoja anayeweza kusimama mbele kwa sababu ya hili.

< Ezra 9 >