< Ezekiel 32 >

1 Almost twelve years [after we had been taken to Babylonia], on the first day of the twelfth month [of that year], Yahweh gave me another message. He said,
Kisha ikawa katika mwezi wa kumi na mbili wa mwaka wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 “You human, sing a sad/funeral song about the king of Egypt. Sing this to him: ‘You [think that you] [IRO] are like [SIM] a lion among the nations; or like [SIM] a monster/crocodile in the river thrashing around in the water, churning/stirring up the water with your feet and causing the water to become muddy.
“Mwanadamu, inua maombolezo kuhusu Farao mfalme wa Misri; mwambie, 'Wewe ni kama simba mdogo juu ya mataifa, lakini kama jitu la kutisha, unatoka kwenye maji, unayachafua maji kwa miguu yako na kuyachafua maji yao.
3 But this is what Yahweh the Lord says: “I will send many people to throw my net over you, and they will haul/drag you up [onto the land] in my net.
Bwana Yahwe asema hivi: Basi nitautandaza wavu wangu juu yako katika kusanyiko la watu wengi, na watawainua juu katika wavu wangu.
4 They will throw you into a field [DOU] [to die]; I will allow the birds to sit on you, and all the wild animals will eat the flesh of your corpse until their stomachs are full.
Nitakuacha katika nchi. Nitakutupa kwenye shamba na kufanya ndege wote wa angani watue juu yako; njaa ya wanyama wote waishio juu ya nchi watashibishwa na wewe.
5 I will cause them to scatter your flesh on the hills and fill the valleys with your bones.
Kwa kuwa nitaiweka nyama yako juu ya milima, na nitayajaza mabonde kwa funza wako waliokufa.
6 I will cause them to fill the land with your blood, all the way to the mountains, and the ravines will be filled with your flesh.
Kisha nitamwaga damu yako juu ya milima, na vitanda vya kijito vitajazwa kwa damu yako.
7 When I get rid of you, I will cover the sky and not allow the stars to shine. I will put a dark cloud in front of the sun, and the moon will not shine.
Kisha wakati nitakapokuzimisha, nitazifunika mbingu na kuzitia giza nyota zake; nitalifunika jua kwa mawingu, na mwezi hautatoa nuru yake usiku.
8 I will cause the stars in the sky to be dark, and there will be darkness over your entire land; [that will surely happen because] I, Yahweh the Lord, have said it.
Mianga ya mbinguni nitaiweka giza juu yako, na nitaweka giza juu ya nchi-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
9 And when the people of many nations hear about your being destroyed, many of them will be afraid/worried— people living in countries that you have never known about.
Hivyo nitaitisha mioyo ya watu wengi katika nchi ambao huwajui, wakati nitakapoleta kuhusu uvunjifu miongoni mwa mataifa, miongoni mwa nchi ambazo hukuzijua.
10 I will cause many people to be appalled because of [what has happened to] you, and their kings will be horrified and shudder/shake because of your [being destroyed], when I swing my sword in front of them. At the time that you will be destroyed, all of them will tremble, fearing that they also will be killed.”
Nitawashangaza watu wengi kuhusiana na wewe; wafalme wao watatetemeka kwa hofu kuhusiana na wewe nitakapoutikisa upanga wangu mbele yao. Kila wakati kila mmoja atatetemeka kwa sababu yako, katika siku ya kuanguka kwako.
11 This is what Yahweh the Lord says: “The swords of [the army of] the King of Babylon will strike you.
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja juu yako.
12 I will cause very many of your people to be killed by the swords of mighty soldiers [from Babylonia], who are more ruthless/cruel than the soldiers of all other nations. They will cause the people of Egypt to quit being proud, because very many [HYP] of their people will be killed.
Nitawafanya watu wako kuanguka kwa panga za mashujaa-kila shujaa ni tishio la mataifa. Hawa mashujaa watateketeza kiburi cha Misri na kuangamiza watu wake wote.
13 I will destroy all the cattle in Egypt that (graze/eat grass) alongside the streams. As a result, the water in those streams will never again become muddy because of people and cattle walking in them.
Kwa kuwa nitaiharibu mifugo yote kutoka karibu na maji mengi; na mguu wa mtu hautayatibua tena, wala kwato za wanyama hazitayatibua.
14 Then I will allow the streams in Egypt to become calm again and flow [as smoothly] [SIM] as olive oil flows.
Kisha nitayafanya maji yao kuwa matulivu na kufanya mito yao kukimbia kama mafuta-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
15 When I cause Egypt to become empty/desolate and strip off everything that grows on the land, and when I get rid of all the people who live there, people will know that I, Yahweh, [have the power to do what I say that I will do].”’
Wakati nitakapoifanya nchi ya Misri sehemu iliyojitenga, wakati nchi iliyopungukiwa na vitu viijazavyo, wakati nitakapo washambulia wakaao ndani yake, watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
16 That sad song about Egypt will also be sung by the people. Women of many nations will sing it. They will chant it about Egypt and all its people; [that will surely happen because] I, Yahweh, have said that it would happen.”
Kutakuwa na maombolezo; binti za mataifa wataomboleza juu yake; wataomboleza juu ya Misri, juu ya watu wake wote wataomboleza-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
17 On the fifteenth day of that same month, Yahweh gave me another message. He said,
Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na mbili, siku ya kumi na tano ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
18 “You human, wail about the many people of Egypt, because I will send them to the place under the earth, where they and people of other mighty nations will be. I will send them there, along with others, down to the place where the dead are.
“Mwanadamu, omboleza kwa ajili watu wa misri na walete chini-yeye na binti za mataifa mashuhuri-hata chini ya dunia pamoja na wale walioshuka chini kwenye shimo.
19 Say to them, ‘You people of [APO] Egypt, [you think that] [IRO, RHQ] you are more beautiful than the people of other nations. But you also will descend to the place where the godless dead people are.
'Je! wewe ni mzuri zaidi kuliko mtu mwingine yeyote? Nenda chini na lala chini pamoja na wasiotahiriwa.'
20 [Your enemies] will pull out their swords and kill many of you. A huge number of the people of Egypt who remain will be dragged away.
Wataanguka miongoni mwao waliokuwa wameuawa kwa upanga. Upanga ulikuwa umewekwa! Alikuwa amepatiwa upanga; watamkamata na watu wake.
21 In the place where the dead people are, mighty leaders [of other countries] will [make fun of the people of Egypt] and say, “They have come here to lie with us godless people who were killed by our enemies’ swords!”’ (Sheol h7585)
Hodari wa wapiganaji katika Sheoli atasema kuhusu Misri na rafiki zake, 'Wameshuka chini hapa! Watalala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale waliokuwa wameuawa kwa upanga.' (Sheol h7585)
22 [The corpses of the people of] Assyria will be there. They will be surrounded by [corpses of] soldiers who were killed by [their enemies’] swords.
Ashuru yupo huko pamoja na kusanyiko lake. Makaburi yake yamemzunguka; wote waliuawa kwa upanga.
23 The people’s graves are there in the deep pit, and [corpses of soldiers of] their army lie around their graves. Corpses of all those who had caused many others in other places to be terrified also will be there, having been killed by swords.
Wale ambao makaburi yao yamewekwa katika maficho ya mashimo yaliyo huko, pamoja na kusanyiko lake. Makaburi yake yakiwazunguka wote waliokuwa wameuawa, walioanguka kwa upanga, wale walioleta hofu juu ya nchi ya walio hai.
24 A great number of the people of Elam will be there. They also were killed by [their enemies’] swords. They had caused people in many places [HYP] to be terrified. At that time they will lie there in that deep pit below the earth, and they, along with the others who have gone there, will be disgraced.
Elamu yupo huko pamoja na watu wake wote. Makaburi yake yamemzunguka; wote walikuwa wameuawa. Wale walioawa kwa upanga, walioshuka chini wasiotahiriwa hata sehemu ya chini kabisa ya dunia, waliowatia hofu juu ya nchi ya walio hai na wale waliobeba aibu yao wenyewe, pamoja na wale washukao chini kwenye shimo.
25 They will lie there among others who were slaughtered, surrounded by the graves of a huge crowd of other people. While they were alive, they caused people of other nations to be terrified; but they were godless, and now, having been killed by [their enemies] swords, they will lie with others in that deep pit, disgraced, all of them avoiding each other.
Wamemuwekea kitanda kwa ajili ya Elamu na watu wake wote kati ya wachinjaji; kaburi lake limemzunguka. Wote hawajatahiriwa, kukatwa vipande kwa upanga, kwa sababu waliwaleta mashujaa wao juu ya nchi ya walio hai. Hivyo wamechukua aibu yao wenyewe, pamoja na wale washukao kwenye shimo miongoni mwa wote waliouawa, wale washukao kwenda shimoni. Elamu yu miongoni mwa wale waliokuwa wameuawa.
26 [Corpses of] soldiers of Meshech and Tubal will be there, surrounded by the graves of a huge crowd of their people. They were all godless people who were killed by swords because while they were alive, they also caused people in many places [HYP] to be terrified.
Mesheki, Tubali, na watu wake wote wako huko! Makaburi yao yamewazunguka. Wote hawajatahiriwa, wameuawa kwa upanga, kwa sababu walileta utiisho wao juu ya nchi ya walio hai.
27 They will surely [RHQ] not be buried honorably like the soldiers who have died, whose shields were buried with their corpses, whose swords were placed on their skulls in the graves. While those godless people were alive, they had caused many people in the land to be terrified, so they were punished for their sins. (Sheol h7585)
Wasilale pamoja mashujaa walioanguka wa wasiotahiriwa walioshuka chini kwa Sheoli pamoja na silaha zao zote za vita, na pamoja na panga zao zote walizoziweka chini ya vichwa vyao na maovu yao juu ya mifupa yao. Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai. (Sheol h7585)
28 You king of Egypt, you also be killed and will lie there with other godless people who have been killed by [their enemies’] swords.
Basi wewe, Misri, utavunjika kati yao wasiotahiriwa! Utalala karibu nao waliokuwa wamekatwa vipande vipande kwa upanga.
29 People of the Edom people-group will be there, along with their kings and leaders. They were powerful, but they will [be killed and] lie there in the place where the other dead people are. They will lie there in that deep pit, with the other godless people.
Edomu yuko huko na wafalme na viongozi wake wote. Walikuwa wamehifadhiwa katika uwezo wao pamoja na wale walioawa kwa upanga. Pamoja na wasiotahiriwa wamelala, pamoja na wale walioshuka kwenye shimo.
30 All the rulers of countries north [of Israel], including people from Sidon, will be there. Because of their power, they caused people to be terrified, but they will lie there. They were godless, and they will lie there along with others who were killed by [their enemies’] swords. They, along with everyone else who descends into that deep pit, will be disgraced.
Wakuu wa kaskazini wako huko-wote na Wasidoni wote walioshuka chini pamoja na hao waliokuwa wamekatwa vipande vipande. Walikuwa na nguvu na kuwafanya wengine kuogopa, lakini sasa wako huko kwa aibu, wasiotahiriwa pamoja na wale waliokatwa vipande vipande kwa upanga. Wamebeba aibu yao wenyewe, pamoja nao waendao kwenye shimo.
31 The king of Egypt and all his army will see them, and they will be comforted to know that there were other huge groups of people who were killed by [their enemies’] swords.
Farao ataona na kupata faraja kuhusu kundi lake waliokatwa vipande vipande kwa upanga -Farao na jeshi lake lote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
32 While he was living, I allowed him to cause others in many countries to be terrified, but he and his huge army will be there among other godless people who had been killed by [their enemies’] swords. [That will surely happen because] I, Yahweh the Lord, am the one who has said [that it would happen].”
Natamuweka kama utiisho wangu katika nchi ya walio hai, lakini atakuwa amelazwa chini katikati yao wasiotahiriwa, miongoni mwa wale walio katwa vipande kwa upanga, Farao na makundi yake yote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.

< Ezekiel 32 >