< Exodus 24 >

1 Then Yahweh said to Moses/me, “Come to me, up [on top of this mountain], you and Aaron and [his sons] Nadab and Abihu. Also [take along] 70 of the Israeli elders/leaders. While you are still some distance [from the top of the mountain], prostrate yourselves [on the ground] and worship me.
Kisha Mungu akamwambia Mose, “Njooni huku juu kwa Bwana, wewe na Aroni, Nadabu na Abihu, pamoja na wazee sabini wa Israeli. Mniabudu kwa mbali,
2 Moses, [I will allow] you alone to come near to me. The others must not come near, and the [rest of the] people must not come up the mountain.”
lakini Mose peke yake ndiye atakayemkaribia Bwana; wengine wasije karibu. Nao watu wasije wakapanda pamoja naye.”
3 Moses/I went and told the people everything that Yahweh had said and all that he had commanded. The people all replied together, saying, “We will do everything that Yahweh has told us [to do].”
Mose alipokwenda na kuwaambia watu maneno yote na sheria zote za Bwana, wakaitikia kwa sauti moja, “Kila kitu alichosema Bwana tutakifanya.”
4 Then Moses/I wrote down everything that Yahweh had commanded. Early the next morning Moses/I built a [stone] altar. He/I also set up twelve stones, one for each of the Israeli tribes.
Ndipo Mose akaandika kila kitu Bwana alichokuwa amesema. Akaamka kesho yake asubuhi na mapema na kujenga madhabahu chini ya mlima na kusimamisha nguzo kumi na mbili za mawe kuwakilisha makabila kumi na mawili ya Israeli.
5 He/I also selected some young men. They burned sacrifices to Yahweh and they also sacrificed some cattle [that they did not burn completely], for the purpose of maintaining fellowship with Yahweh.
Kisha akawatuma vijana wanaume wa Kiisraeli, nao wakatoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu za mafahali wachanga kuwa sadaka za amani kwa Bwana.
6 Moses/I took half of the blood of the animals that were slaughtered and put it in bowls. The other half of the blood [he/I] threw/splashed against the altar.
Mose akachukua nusu ya damu ya wale wanyama na kuiweka kwenye mabakuli na nusu nyingine akainyunyiza juu ya madhabahu.
7 Then he/I took the scroll on which he/I had written [everything that Yahweh had commanded in] the agreement that he had made, and he/I read it [aloud], while all the people were listening. Then all the people said, “We will do all that Yahweh has told us to do. We will obey [everything].”
Kisha akachukua kile Kitabu cha Agano na kuwasomea watu. Nao wakajibu, “Tutafanya kila kitu alichosema Bwana, nasi tutatii.”
8 Then Moses/I took the blood [that was in the bowls] and threw/splashed it on the people. He/I said, “This is the blood [that (confirms/puts into effect)] the agreement that Yahweh made with you when he gave you all these commands.”
Ndipo Mose akachukua ile damu, akawanyunyizia wale watu, akasema, “Hii ni damu ya agano ambalo Bwana amelifanya nanyi kufuatana na maneno haya yote.”
9 Then Moses/I, along with Aaron, Nadab, Abihu, and the 70 Israeli elders/leaders, went up [the mountain],
Mose na Aroni, Nadabu na Abihu, pamoja na wazee sabini wa Israeli wakapanda mlimani,
10 and they/we saw God, the one whom the Israeli people worship. Under his feet was something like a pavement [made of expensive blue stones called] sapphires. They were as clear as the sky is [when there are no clouds].
nao wakamwona Mungu wa Israeli. Chini ya miguu yake kulikuwa na kitu kama sakafu ya mawe ya yakuti samawi, iliyo safi kama anga angavu.
11 God did not harm [MTY] those Israeli elders/leaders [because of their having seen him]. They saw God, and they ate and drank together! [Then we all went back down the mountain].
Lakini Mungu hakuinua mkono wake dhidi ya hawa viongozi wa Waisraeli; walimwona Mungu, nao wakala na kunywa.
12 Then Yahweh said to Moses/me, “Come up to me [again] on [top of this] mountain. While you are here, I will give you [two] stone slabs on which I have written all the laws [DOU] that I have given to you to instruct/teach [the people].”
Bwana akamwambia Mose, “Panda uje kwangu huku mlimani na ukae hapa, nami nitakupa vibao vya mawe, vyenye sheria na amri ambazo nimeziandika ziwe mwongozo wao.”
13 So Moses/I told the elders, “Stay here [with the other people] until we return! Do not forget that Aaron and Hur will be with you. So if anyone has a dispute [while I am gone], he can go to those two men.” Then Moses/I went with his/my servant Joshua [part of the way] up the mountain that [was dedicated to] God.
Basi Mose akaondoka na Yoshua mtumishi wake, naye Mose akapanda juu kwenye mlima wa Mungu.
Mose akawaambia wazee wa Israeli, “Tungojeni hapa mpaka tutakapowarudia. Aroni na Huri wako pamoja nanyi, na kila aliye na neno aweza kuwaendea wao.”
15 Then Moses/I went the [rest of the way] up the mountain. A cloud covered the mountain.
Mose alipopanda juu mlimani, wingu liliufunika huo mlima,
16 The (glory/brilliant light) of Yahweh came down on the mountain and covered it for six days. On the seventh day, Yahweh called to Moses/me from the middle of the cloud.
nao utukufu wa Bwana ukatua juu ya Mlima Sinai. Kwa muda wa siku sita wingu lilifunika mlima, na siku ya saba Bwana akamwita Mose kutoka katikati ya lile wingu.
17 When the Israeli people [looked at] the top of the mountain, the glory of Yahweh was like a big fire that was burning [there].
Kwa Waisraeli utukufu wa Bwana ulionekana kama moto uteketezao juu ya mlima.
18 Moses/I went into the cloud on top of the mountain. He/I was there for 40 days and nights.
Kisha Mose akaingia ndani ya lile wingu alivyokuwa akipanda mlimani. Naye akakaa huko mlimani kwa muda wa siku arobaini, usiku na mchana.

< Exodus 24 >