< Ecclesiastes 4 >

1 I thought some more about all the suffering that people are caused to experience on the earth [MTY]. I saw the tears of people who were (oppressed/treated cruelly) and who had no one to comfort/encourage them. Those who oppressed them had power, and there was absolutely no one who was able to comfort those who were being oppressed.
Kisha tena nikafikiri kuhusu mateso yote yaliyo chini ya jua. Tazama machozi ya watu walioteswa. Hakuna anaye mfariji kwa ajili yao. Nguvu iko katika mikononi mwa watesaji, lakini wateswaji hawana mfariji.
2 [So] I thought that those who are already dead are more fortunate than those who are still alive.
Hivyo nikawapongeza watu walio kufa, wale ambao tayari wamekufa, sio wanaoishi, wale ambao wako hai.
3 And those who have not been born yet are more fortunate than those who are still alive and those who have died, [because] those who have not been born have not seen all the evil things that are done on the earth.
Ingawa, bahati zaidi kuliko wote wawili ni yule ambaye hajaishi, yeye ambaye hajaona matendo yoyote mabaya ambayo yanafanyika chini ya jua.
4 I also thought about all the hard work that people do and the skills that they have. And I thought about how they compete with each other because they are envious of others, [and I concluded that] this also is something that is not accomplishing anything useful, [like] chasing the wind.
Kisha nikaona kwamba kila tendo la kazi na kila kazi ya utashi ikawa wivu wa jirani ya mtu. Huu pia ni mvuke na kujaribu kuchunga upepo.
5 Foolish people [refuse to work]; they sit idly, with their hands folded, [and do not work]. [So] they ruin themselves.
Mpumbavu hukunja mikono yake na hafanyi kazi, hivyo chakula chake in mwili wake.
6 [So I say], “It is better to be content with not having much money, than to work very hard and try to get a lot of money, which is [as useless as] chasing the wind.”
Lakini afadhari konzi ya faida pamoja na kazi ya haraka kuliko konzi mbili pamoja na kazi ambayo hujaribu kuuchunga upepo.
7 I thought about something else that happens on the earth [MTY] that seems senseless.
Kisha nikafikiri tena zaidi kuhusu ubatili, mvuke upoteao zaidi chini ya jua.
8 There are men who live alone; they do not have a wife or children or any brothers living with them; every day they work [very hard], without stopping, to get a lot of money, but they are never satisfied with the things that they have. They never ask [themselves], “Why am I working very hard to earn more money? Why am I not doing things that would cause me to be happy?” What they do also seems senseless.
Kuna aina ya mtu ambaye yuko peke yake. Hana mtu, hana mwana, wala ndugu. Hakuna mwisho wa kazi zake zote, na macho yake hayatosheki kwa kupata utajiri. Anashangaa, “Ninajishumbua na kuharibu furaha yangu kwa ajili ya nani?” Huu pia ni mvuke, hali mbaya.
9 Having someone [work] with you is better than being by yourself [all the time]. If you have a friend, he can help you to do your work.
Watu wawili wanafanya vizuri zaidi ya mmoja; kwa pamoja wanaweza kupata malipo mazuri kwa ajili ya kazi yao.
10 If you fall down, he can help you get up again. But if you fall down when you are alone, it will be difficult for you, because there will be no one to help you stand up.
Kwa kuwa kama mmoja akianguka, mwingine anaweza kumwinua rafiki yake. Ingawa, huzuni humfuata yeye aliye peke yake anapoanguka kama hakuna mtu wa kumwinua.
11 Similarly, if two people sleep together, they can keep each other warm. But someone who sleeps alone will certainly not [RHQ] be warm.
Na kama wawili wakilala pamoja, wanaweza kupata joto, lakini mtu mmoja anawezaje kupata joto akiwa mwenyewe?
12 Someone who is alone can easily be attacked and defeated by another person, but two people can help each other and (resist/defend themselves against) someone who attacks them. [Three people can defend themselves even more easily], [like] a rope that is made from three cords is harder to break [than a rope made from two cords].
Mtu akiwa peke yake anaweza kushindwa nguvu, lakini wawili wanaweza kusimama katika shambulio, na kama ya nyuzi tatu haikatika upesi.
13 A young man who is poor but wise is a better person than a foolish old king who refuses to pay attention when people try to give him good advice.
Ni bora kuwa kijana masikini kuliko kuwa mfalme mzee na mpumbavu ambaye hajui jinsi ya kusikiliza maonyo.
14 It is possible for a young man like that to succeed and some day become king, even if his parents were poor or even if he was in prison some of the time.
Hii ni kweli hata kama mtu mdogo anapokuwa mfalme kutoka gerezani, au hata kama alizaliwa masikini katika ufalme wake.
15 But then some other young man becomes king, and everyone (starts to support/is pleased with) him.
Ingawa, niliona kila mmoja aliye kuwa hai na kuzunguka chini ya jua wakijitia chini kwa kijana mdogo aliyeinuka kama mfalme.
16 Large crowds of people crowd around him. But after a few years, they will reject him, [too]. So it is all senseless, [like] chasing after the wind.
Hakuna mwisho kwa watu wote wanaotaka kumtii mfalme mpya, lakini wengi wao hawatamsifu yeye. Hakika hali hii ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.

< Ecclesiastes 4 >