< Daniel 12 >

1 [The angel also said to me, ] “After those things happen, the great angel Michael, who protects the [Israeli] people, will appear. Then there will be a time when there will be great troubles/suffering. The troubles will be greater than any troubles/suffering since the nations began. At that time, all of your people whose names have been written in the book [containing the names of those who have eternal life] will be saved.
“Katika wakati huo Mikaeli, mtawala mkuu ambaye huwalinda watu wako, atainuka. Kutakuwako wakati wa taabu ambao haujatokea tangu mwanzo wa mataifa hadi wakati huo. Lakini wakati huo, watu wako, kila mmoja ambaye jina lake litakutwa limeandikwa kwenye kitabu, ataokolewa.
2 Many of those who have died [EUP] will become alive again. Some of them will live eternally [with God], and some will be eternally shamed/disgraced [in hell]. (questioned)
Wengi ambao wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi yao kwa uzima wa milele, wengine kwa aibu na kudharauliwa milele.
3 Those who were wise will shine as brightly as the sky [is bright when the sun is shining]. And those who have shown to others the way to live righteously will shine forever, like the stars [SIM].
Wale wenye hekima watangʼaa kama mwanga wa mbingu, nao wale ambao huwaongoza wengi kutenda haki, watangʼaa kama nyota milele na milele.
4 But as for you, Daniel, close up the scroll [on which you are writing], and seal it [in order that no one can open it] until the end [of the world] is near. [Before that happens, ] many people will travel rapidly here and there, learning more and more [about many things].”
Lakini wewe Danieli, yafunge na kuyatia muhuri maneno ya kitabu hiki mpaka wakati wa mwisho. Wengi watakwenda huku na huko, na maarifa yataongezeka.”
5 When [that angel finished speaking], I, Daniel, looked up, and suddenly I saw two other [angels]. One was standing on the side of the river [where I was], and one was standing on the other side.
Ndipo mimi Danieli nikaangalia, nako mbele yangu walisimama wengine wawili, mmoja katika ukingo huu wa mto, na mwingine ukingo wa pili wa mto.
6 One of them [called to] the other one, who was wearing linen/white clothes, who was now standing further up (OR, above) the river, “How long will it be until these amazing/frightening events end?”
Mmoja wao akasema na yule mtu aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, “Je, itachukua muda gani kabla mambo haya ya kushangaza hayajatimizwa?”
7 The angel who was on the other side of (OR, above) the river raised his hands toward the sky, and solemnly promised, with the authority [MTY] of God, who lives forever, “It will be three and a half years. All these things will end after God’s people stop fighting against those who (persecute/cause trouble for/cause suffering for) them.”
Kisha mtu yule aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, akainua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni, nami nikamsikia akiapa kwa jina lake yeye aishiye milele, akisema, “Itakuwa wakati, nyakati mbili, na nusu wakati. Nguvu za watu watakatifu zitakapokuwa zimevunjwa kabisa, ndipo mambo haya yote yatakapotimizwa.”
8 I heard [what he said], but I did not understand it. So I asked, “Sir, what will be the result when these things end?”
Nilisikia, lakini sikuelewa. Kwa hiyo nikauliza, “Bwana wangu, matokeo ya haya yote yatakuwa nini?”
9 He replied, “Daniel, you must leave now. [I cannot answer your question] because what it means must (be kept secret/not be revealed) [DOU] until the time when everything ends.
Akajibu, “Danieli, enenda zako, kwa sababu maneno haya yamefungwa na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.
10 Many people will thoroughly purify their inner beings [DOU]. But wicked people will not understand these things. They will continue to be wicked. Only those who are wise will understand [these things].
Wengi watatakaswa, na kuondolewa mawaa na kufanywa safi, lakini waovu wataendelea kuwa waovu. Hakuna mmoja wa waovu atakayefahamu, lakini wale wenye hekima watafahamu.
11 [But I can tell you that before everything ends, ] there will be 1,290 days, from the time that people are prevented from offering sacrifices each day, that is, from the time that the abominable/disgusting thing is put in the temple.
“Tangu wakati ule wa kukomeshwa dhabihu ya kila siku na kusimamishwa kwa chukizo la uharibifu, kutakuwako siku 1,290.
12 God will be pleased with those who remain faithful until 1,335 days are ended.
Amebarikiwa mtu yule atakayevumilia hadi kufikia mwisho wa hizo siku 1,335.
13 So [now I say] to you, continue to faithfully [trust God] until [your life on earth] ends. You will die [EUP], but when everything ends, you will receive your reward [from God].”
“Lakini wewe, enenda zako mpaka mwisho. Utapumzika, nawe ndipo mwisho wa hizo siku utafufuka ili kuupokea urithi uliowekewa.”

< Daniel 12 >