< 1 Chronicles 3 >

1 Six sons of [King] David were born in Hebron [city]. His oldest son was Amnon, whose mother Ahinoam was from Jezreel [city]. His next son was Daniel, whose mother was Abigail from Carmel [city].
Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
2 His next son was Absalom, whose mother was Maacah, the daughter of Talmai, the king [who ruled] in Geshur [town]. His next son was Adonijah, whose mother was Haggith.
watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
3 The next son was Shephatiah, whose mother was Abital. His youngest son was Ithream, whose mother was Eglah.
watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
4 They were all born in Hebron, where David ruled for 7-1/2 years. After that, David ruled in Jerusalem for 33 years.
Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
5 Many of David’s children were born in Jerusalem. Bathsheba, the daughter of Ammiel, gave birth to four of his sons: Shammua (OR, Shimea), Shobab, Nathan, and Solomon.
Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
6 Nine [other sons of David were also born there. They were] Ibhar, Elishua (OR, Elishama), Eliphelet,
Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
7 Nogah, Nepheg, Japhia,
Noga, Nefegi, Yafia,
8 Elishama, Eliada, and Eliphelet.
Elishama, na Elifeleti.
9 In addition to all those sons, David’s slave wives also gave birth to sons. David also had one daughter whose name was Tamar.
Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
10 Solomon’s son was [King] Rehoboam. Rehoboam’s son was [King] Abijah. Abijah’s son was [King] Asa. Asa’s son was [King] Jehoshaphat.
Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
11 Jehoshaphat’s son was [King] Jehoram (OR, Joram). Jehoram’s son was [King] Ahaziah. Ahaziah’s son was [King] Joash.
Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
12 Joash’s son was [King] Amaziah. Amaziah’s son was [King] Azariah. Azariah’s son was [King] Jotham.
Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
13 Jotham’s son was [King] Ahaz. Ahaz’s son was [King] Hezekiah. Hezekiah’s son was [King] Manasseh.
Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
14 Manasseh’s son was [King] Amon. Amon’s son was [King] Josiah.
Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
15 Josiah’s oldest son was Johanan. His other sons were Jehoiakim, Zedekiah, and Shallum.
Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
16 Jehoiakim’s sons were Jehoiachin (OR, Jeconiah) and Zedekiah.
Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
17 [King] Jehoiachin was captured [and taken to Babylon]. His sons were Shealtiel,
Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
18 Malkiram, Pedaiah, Shenazzar, Jekamiah, Hoshama, and Nedabiah.
Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
19 Pedaiah’s sons were Zerubbabel and Shimei. [Two of] Zerubbabel’s sons were Meshullam and Hananiah, and their sister was Shelomith.
Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
20 [Zerubbabel’s] five [other sons were] Hashubah, Ohel, Berekiah, Hasadiah, and Jushab-Hesed.
Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
21 The descendants of Hananiah were Pelatiah and Jeshaiah. Jeshaiah’s son was Rephaiah. Rephaiah’s son was Arnan. Arnan’s son was Obadiah. Obadiah’s son was Shecaniah.
Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
22 Shecaniah’s son was Shemaiah. Shemaiah’s five sons were Hattush, Igal, Bariah, Neariah, and Shaphat.
Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
23 Neariah’s three sons were Elioenai, Hizkiah, and Azrikam.
Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
24 Elioenai’s seven sons were Hodaviah, Eliashib, Pelaiah, Akkub, Johanan, Delaiah, and Anani.
Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.

< 1 Chronicles 3 >