< Luke 13 >

1 NOW at that time came some and told him of the Galiloyee, they whose blood Pilatos had mingled with their sacrifices.
Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
2 Jeshu answered and said to them, Think you that these Galiloyee were sinners more than all the Galiloyee, that thus it was (with) them?
Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
3 No; but I tell you that all of you also, if you repent not, will thus perish.
Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
4 Or those eighteen on whom fell the tower in Silucha, and killed them; think you that they were sinners above all men who dwell in Urishlem?
Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
5 No; but I tell you that, if you repent not, all of you likewise shall perish.
Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
6 And he spake this parable: A man had a fig-tree which was planted in his vinery: and he came and sought fruits on it, but did not find.
Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
7 And he said to the husbandman, Behold, three years come I seeking fruits from this fig-tree, but I have not found: cut it down; why maketh it the ground useless?
Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
8 The husbandman saith to him, My lord, suffer it also this year, until I tend it and manure it:
Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
9 and if it produce fruits, (well): but if not, then afterwards I will cut it down.
Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
10 AS Jeshu was teaching on a shabath in one of the synagogues,
Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
11 a woman was there who had a spirit of infirmity eighteen years; and she was bowed down, and could not be straight at all.
Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
12 But Jeshu saw her, and called her, and said to her, Woman, thou art loosed from thine infirmity.
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
13 And he laid his hand upon her; and at once she was made straight, and glorified Aloha.
Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
14 But the chief of the synagogue answered, being angry that Jeshu had healed on the shabath, and said to the congregation, Six days there are in which it is lawful to work: in them come and be healed, and not on the day of shabath.
Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
15 But Jeshu answered and said to him, Hypocrite, doth not any one of you on the shabath loose his ox or his ass from the manger, and going giveth to drink?
Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
16 But this daughter of Abraham, whom, behold, the Accuser hath bound eighteen years, is it not lawful to loose from this binding on the day of shabath?
Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
17 And as he said these things, ashamed were all they who had risen up against him; and all the people rejoiced in all these wonders that were done by his hand.
Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
18 Jeshu said, What doth the kingdom of Aloha resemble, and to what shall I compare it?
Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
19 It resembles a grain of mustard, which a man took (and) cast into his garden: and it grew, and became a great tree; and the fowl of the heaven built in its branches.
Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
20 Jeshu said again, To what shall I compare the kingdom of Aloha?
Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
21 It is like leaven which a woman took; (and) hid in three satas of meal, until all had leavened.
Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
22 And he journeyed, teaching in the villages and in the cities, and going forwards to Urishlem.
Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
23 ONE had demanded (of) him if they are few who are saved. But Jeshu said to them,
Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
24 Strive to enter in at the strait gate: for I say to you that many will seek to enter in, but shall not be able.
“Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
25 From the hour that the Lord of the house shall have risen up and have shut the door, you may stand without, knocking at the door, and may begin to say, Our Lord, our Lord, open to us! But he will answer and say, I tell you that I know not whence you are.
Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
26 And you shall begin to say, Before thee we have eaten and drunk, and in our streets thou hast taught.
Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
27 And he shall say to you, I know you not whence you are: depart from me, workers of falsity.
Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
28 There will be weeping and gnashing of teeth, when you shall see Abraham and Ishok and Jakub and all the prophets in the kingdom of Aloha, but you be cast forth without.
Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
29 And they shall come from the east, and from the west, and from the south, and from the north, and shall recline in the kingdom of Aloha.
Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
30 And, behold, there are last who shall be first, and there are first who shall be last.
Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
31 In that day came men from the Pharishee, saying to him, Remove, go from hence, because Herodes desireth to kill thee.
Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
32 Jeshu saith to them, Go, tell that fox, Behold, I cast out devils and perform cures to-day and to-morrow, and the third day I am perfected.
Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
33 Nevertheless it behoveth me to-day and to-morrow to work and the (day) after I shall go; because it cannot be that a prophet perish out of Urishlem.
Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
34 Urishlem, Urishlem! killing the prophets, and stoning them that are sent to her, what times would I have gathered thy sons as the hen gathereth her chickens under her wings, and you willed not!
Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
35 Behold, left to you is your house a desert; for I say to you, that you will not see me until you shall say, Blessed is he who cometh in the name of the Lord.
Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”

< Luke 13 >