< Psalms 12 >

1 to/for to conduct upon [the] Sheminith melody to/for David to save [emph?] LORD for to cease pious for to disappear faithful from son: child man
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.
2 vanity: false to speak: speak man: anyone with neighbor his lips smoothness in/on/with heart and heart to speak: speak
Kila mmoja humwambia jirani yake uongo; midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.
3 to cut: eliminate LORD all lips smoothness tongue to speak: speak great: large
Bwana na akatilie mbali midomo yote ya hila na kila ulimi uliojaa majivuno,
4 which to say to/for tongue our to prevail lips our with us who? lord to/for us
ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda; midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?”
5 from violence afflicted from groaning needy now to arise: rise to say LORD to set: put in/on/with salvation to breathe to/for him
“Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge na kulia kwa uchungu kwa wahitaji, nitainuka sasa,” asema Bwana. “Nitawalinda kutokana na wale wenye nia mbaya juu yao.”
6 word LORD word pure silver: money to refine in/on/with furnace to/for land: soil to refine sevenfold
Maneno ya Bwana ni safi, kama fedha iliyosafishwa katika tanuru, iliyosafishwa mara saba.
7 you(m. s.) LORD to keep: guard them to watch him from [the] generation this to/for forever: enduring
Ee Bwana, utatuweka salama na kutulinda na kizazi hiki milele.
8 around: side wicked to go: walk [emph?] like/as to exalt vileness to/for son: child man
Watu waovu huenda wakiringa kila mahali wakati ambapo yule aliye mbaya sana ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.

< Psalms 12 >