< Mark 15 >

1 and immediately (upon/to/against the/this/who *k*) early counsel/council to do/make: do the/this/who high-priest with/after the/this/who elder: Elder and scribe and all the/this/who council to bind the/this/who Jesus to carry off and to deliver (the/this/who *k*) Pilate
Asubuhi na mapema wakuu wa makuhani walikutana pamoja na wazee na waandishi na baraza zima la wazee. Kisha wakamfunga Yesu wakampeleka kwa Pilato. Pilato akamwuliza, “wewe ni Mfalme wa Wayahudi?”
2 and to question it/s/he the/this/who Pilate you to be the/this/who king the/this/who Jew the/this/who then to answer it/s/he (to say *N(k)O*) you to say
“Akamjibu, “Wewe umesema hivyo.”
3 and to accuse it/s/he the/this/who high-priest much
Wakuu wa makuhani wakaeleza mashitaka mengi juu ya Yesu.
4 the/this/who then Pilate again (to question *N(k)O*) it/s/he to say no to answer none look! how much/many? you (to accuse *N(K)O*)
Pilato akamwuliza tena, “Hujibu chochote? Huoni jinsi wanavyokushtaki kwa mambo mengi?
5 the/this/who then Jesus no still none to answer so to marvel the/this/who Pilate
Lakini Yesu hakumjibu Pilato, na hiyo ilimshangaza.
6 according to then festival to release: release it/s/he one prisoner (which to refuse/excuse *N(k)O*)
Kwa kawaida wakati wa sikukuu humfungulia mfungwa mmoja, mfungwa waliyemwomba.
7 to be then the/this/who to say: call Barabbas with/after the/this/who insurrectionist to bind who/which in/on/among the/this/who uprising murder to do/make: do
Kulikuwapo wahalifu gerezani, miongoni mwa wauaji kati ya walioasi wanaotumikia makosa yao. Alikuwepo mtu mmoja aitwaye Baraba.
8 and (to ascend *N(K)O*) the/this/who crowd be first to ask as/just as (always *ko*) to do/make: do it/s/he
Umati ulikuja kwa Pilato, na kumwomba afanye kama alivyofanya huko nyuma.
9 the/this/who then Pilate to answer it/s/he to say to will/desire to release: release you the/this/who king the/this/who Jew
Pilato akawajibu na kusema, “Mnataka niwafungulie Mfalme wa Wayahudi?”
10 to know for that/since: that through/because of envy to deliver it/s/he the/this/who high-priest
Kwa kuwa alijua ni kwa sababu ya wivu wakuu wa makuhani walimkamata Yesu na kumleta kwake.
11 the/this/who then high-priest to incite the/this/who crowd in order that/to more: rather the/this/who Barabbas to release: release it/s/he
Lakini wakuu wa makuhani walichochea umati kupiga kelele kwa sauti kwamba afunguliwe Baraba badala yake.
12 the/this/who then Pilate again to answer (to say *N(k)O*) it/s/he which? therefore/then to will/desire to do/make: do which to say: call (the/this/who *no*) king the/this/who Jew
Pilato akawajibu tena na kusema, “Nimfanye nini Mfalme wa Wayahudi?
13 the/this/who then again to cry to crucify it/s/he
Wakapiga kelele tena, “Msulibishe!”
14 the/this/who then Pilate to say it/s/he which? for to do/make: do evil/harm: evil the/this/who then (excessively *N(k)O*) to cry to crucify it/s/he
Pilato akasema, “Amefanya jambo gani baya?” Lakini wakazidi kupiga kelele zaidi na zaidi “Msulibishe.”
15 the/this/who then Pilate to plan the/this/who crowd the/this/who sufficient to do/make: do to release: release it/s/he the/this/who Barabbas and to deliver the/this/who Jesus to whip in order that/to to crucify
Pilato akitaka kuwaridhisha umati, akawafungulia Baraba. Akampiga Yesu mijeledi kisha akamtoa ili asulibiwe.
16 the/this/who then soldier to lead away it/s/he in/inner/inwardly the/this/who palace/courtyard which to be praetorium and to call together all the/this/who band
Askari walimwongoza hadi ndani ya ua (ule ulio ndani ya kambi) na walikusanyika pamoja kikosi cha askari.
17 and (to dress *N(k)O*) it/s/he purple cloth and to put on it/s/he to weave thorny crown
Wakamvika Yesu kanzu ya rangi ya zambarau, na wakasokota taji ya miiba wakamvika.
18 and be first to pay respects to it/s/he to rejoice (the/this/who *o*) (king *N(k)O*) the/this/who Jew
Wakaanza kumdhihaki na kusema, “Salam, Mfalme wa Wayahudi!”
19 and to strike it/s/he the/this/who head reed/stick/pen and to spit on/at it/s/he and to place the/this/who a knee to worship it/s/he
Wakampiga kichwani kwa mwanzi na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake kwa kumheshimu.
20 and when to mock it/s/he to strip it/s/he the/this/who purple cloth and to put on it/s/he the/this/who clothing (it/s/he *N(K)O*) and to lead out it/s/he in order that/to (to crucify *NK(o)*) it/s/he
Hata wakiisha kumdhihaki, wakamvua ile kanzu ya rangi ya zambarau na kumvika mavazi yake, na wakamtoa nje kwenda kumsulibisha.
21 and to force to pass one Simon Cyrene to come/go away from field the/this/who father Alexander and Rufus in order that/to to take up the/this/who cross it/s/he
Wakamlazimisha mpita njia kumsaidia, aliyekuwa anaingia mjini kutoka shamba. Aitwaye Simoni Mkirene (baba yake Iskanda na Rufo); wakamlazimisha kubeba msalaba wa Yesu.
22 and to bear/lead it/s/he upon/to/against (the/this/who *no*) Golgotha place which to be (to mean *NK(o)*) Skull place
Askari wakampeleka Yesu mahali paitwapo Goligotha (maana ya tafsiri hii ni, Sehemu ya Fuvu la kichwa).
23 and to give it/s/he (to drink *K*) to mix with myrrh wine (which *N(k)O*) then no to take
Wakampa mvinyo iliyochanganywa na manemane, lakini hakunywa.
24 and (to crucify *N(k)O*) it/s/he (and *no*) (to divide *N(k)O*) the/this/who clothing it/s/he to throw: throw lot upon/to/against it/s/he which? which? to take up
Wakamsulibisha na wakagawana mavazi yake, wakayapigia kura kuamua kipande atakachopata kila askari.
25 to be then hour third and to crucify it/s/he
Yapata saa tatu asubuhi walipomsulibisha.
26 and to be the/this/who inscription the/this/who cause/charge it/s/he to write on the/this/who king the/this/who Jew
Wakaweka juu yake ubao ulioandikwa shitaka, “Mfalme wa Wayahudi.”
27 and with it/s/he to crucify two robber/rebel one out from right and one out from left/south it/s/he
Walimsubisha pamoja na majambazi wawili, mmoja upande wake wa kulia na mwingine kushoto kwake.
28 (and to fulfill the/this/who a writing the/this/who to say and with/after lawless to count *K*)
(Zingatia: Mstari huu, “Na maandiko yakatimia yaliyonena” haumo katika nakala za kale).
29 and the/this/who to pass by/through to blaspheme it/s/he to move the/this/who head it/s/he and to say aha! the/this/who to destroy/lodge the/this/who temple and to build in/on/among Three day
Nao waliokuwa wakipita walimtukana, wakitikisa vichwa vyao wakisema, “Aha! wewe utakayevunja hekalu na kulijenga kwa siku tatu,
30 to save you (and *k*) (to come/go down *N(k)O*) away from the/this/who cross
jiokoe mwenyewe na ushuke chini toka msalabani!”
31 similarly (then *k*) and the/this/who high-priest to mock to/with one another with/after the/this/who scribe to say another to save themself no be able to save
Kwa namna ile ile wakuu wa makuhani walimdhihaki wakisemezana, pamoja na waandishi na kusema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe.
32 the/this/who Christ the/this/who king (the/this/who *k*) Israel to come/go down now away from the/this/who cross in order that/to to perceive: see and to trust (in) (it/s/he *O*) and the/this/who to crucify with (with *no*) it/s/he to revile it/s/he
Kristo Mfalme wa Israel, shuka chini sasa toka msalabani, ili tuweze kuona na kuamini.” Na wale waliosulubiwa pamoja naye pia walimdhihaki.
33 (and *no*) to be (then *k*) hour sixth darkness to be upon/to/against all the/this/who earth: country until hour ninth (hour)
Ilipofika saa sita, giza likaja juu ya nchi yote hadi saa tisa.
34 and the/this/who ninth (hour) (the/this/who *k*) hour to cry out the/this/who Jesus voice/sound: voice great (to say *k*) Eloi Eloi why? sabachthani which to be to mean the/this/who God me the/this/who God me toward which? to leave behind me
Wakati wa saa tisa, Yesu alipiga kelele kwa sauti kubwa, “Eloi, Eloi, lama sabaktani?” ikiwa na maana “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
35 and one the/this/who to stand by to hear to say (look! *N(k)O*) Elijah to call
Baadhi ya hao waliosimama waliposikia wakasema, “Tazama, anamwita Eliya.”
36 to run then (one *N(k)O*) and to fill sponge vinegar to put on (and/both *k*) reed/stick/pen to water it/s/he to say to release: leave to perceive: see if to come/go Elijah to take down it/s/he
Mtu mmoja akakimbia, akajaza siki katika sponji na kuiweka juu ya mti wa mwanzi, akampa ili anywe. Mtu mmoja akasema, “Ngoja tuone kama Eliya atakuja kumshusha chini.”
37 the/this/who then Jesus to release: leave voice/sound: voice great to expire
Kisha Yesu akalia kwa sauti kubwa na akafa.
38 and the/this/who curtain the/this/who temple to split toward two away from from above/again until under
Pazia la hekalu likagawanyika vipande viwili toka juu mpaka chini.
39 to perceive: see then the/this/who centurion the/this/who to stand by out from hostile it/s/he that/since: that thus(-ly) (to cry *KO*) to expire to say truly this/he/she/it the/this/who a human son God to be
Ofisa mmoja aliyekuwa amesimama akimwelekea Yesu, alipoona amekufa kwa jinsi ile, akasema, “Kweli huyu mtu alikuwa Mwana wa Mungu.”
40 to be then and woman away from from afar to see/experience in/on/among which (to be *ko*) and Mary the/this/who Magdalene and Mary the/this/who (the/this/who *k*) James the/this/who small and Joseph mother and Salome
Walikuwepo pia wanawake waliokuwa wakitazama kwa mbali. Miongoni mwao alikuwepo Mariamu Magdalena, Mariamu (mama yake Yakobo mdogo wa Yose), na Salome.
41 which (and *ko*) when to be in/on/among the/this/who Galilee to follow it/s/he and to serve it/s/he and another much the/this/who to ascend with it/s/he toward Jerusalem
Wakati alipokuwa Galilaya walimfuata na kumtumikia. Na wanawake wengine wengi pia waliambatana naye hadi Yerusalemu.
42 and already evening to be since to be Preparation which to be to/with Sabbath
Kulipokuwa jioni, na kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalio, siku kabla ya Sabato,
43 (to come/go *N(k)O*) Joseph the/this/who away from Arimathea proper member of a council which and it/s/he to be to wait for/welcome the/this/who kingdom the/this/who God be bold to enter to/with (the/this/who *no*) Pilate and to ask the/this/who body the/this/who Jesus
Yusufu wa Arimathaya alikuja pale. Alikuwa ni mjumbe wa Baraza anayeheshimiwa mtu anayeutarajia Ufalme wa Mungu. Kwa ujasiri akaenda kwa Pilato, na kuuomba mwili wa Yesu.
44 the/this/who then Pilate to marvel if already to die/be dead and to call to/summon the/this/who centurion to question it/s/he if (of old *NK(o)*) to die
Pilato akashangazwa kwamba Yesu tayari amekufa; akamwita yule afisa akamwuliza kama Yesu amekufa.
45 and to know away from the/this/who centurion to give the/this/who (corpse *N(k)O*) the/this/who Joseph
Alipopata uhakika kwa afisa kwamba amekufa, alimruhusu Yusufu kuuchukua mwili.
46 and to buy linen (and *k*) to take down it/s/he to enwrap the/this/who linen and (to place *NK(O)*) it/s/he in/on/among (grave *NK(o)*) which to be to hew out from rock and to roll before stone upon/to/against the/this/who door the/this/who grave
Yusufu alikuwa amenunua sanda. Akamshusha toka msalabani, akamfunga kwa sanda, na kumweka ndani ya kaburi lililochimbwa katika mwamba. Kisha akalivingirisha jiwe mlangoni mwa kaburi.
47 the/this/who then Mary the/this/who Magdalene and Mary the/this/who Joseph to see/experience where? (to place *N(k)O*)
Mariamu Magdalena na Mariamu mama yake Yose waliona sehemu alipozikwa Yesu.

< Mark 15 >