< Jeremiah 22 >

1 thus to say LORD to go down house: palace king Judah and to speak: speak there [obj] [the] word [the] this
Bwana asema hivi, “Nenda kwenye nyumba ya mfalme wa Yuda, utangaze neno hili huko.
2 and to say to hear: hear word LORD king Judah [the] to dwell upon throne David you(m. s.) and servant/slave your and people your [the] to come (in): come in/on/with gate [the] these
Ukaseme, 'Ewe Mfalme wa Yuda, wewe aliyeketi kiti cha Daudi, usikilize neno la Bwana. Nisikilizeni, enyi watumishi wake, na ninyi, watu wake mnaokuja kwa malango haya.
3 thus to say LORD to make: do justice and righteousness and to rescue to plunder from hand: power oppressor and sojourner orphan and widow not to oppress not to injure and blood innocent not to pour: kill in/on/with place [the] this
Bwana asema hivi, “Fanya haki na uadilifu, na mtu yeyote ambaye ameibiwa-muokoeni kutoka mkononi mwa mshindani. Usimtendee mabaya mgeni yeyote katika nchi yako, au yatima au mjane. Usifanye vurugu au kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa.
4 that if: except if: except to make: do to make: do [obj] [the] word [the] this and to come (in): come in/on/with gate [the] house: palace [the] this king to dwell to/for David upon throne his to ride in/on/with chariot and in/on/with horse he/she/it (and servant/slave his *QK) and people his
Kwa kuwa mkifanya mambo hayo, basi wafalme wanaoketi kiti cha Daudi wataingia milango ya nyumba hii wakiendesha gari na farasi, yeye, watumishi wake, na watu wake!
5 and if not to hear: obey [obj] [the] word [the] these in/on/with me to swear utterance LORD for to/for desolation to be [the] house: palace [the] this
Lakini ikiwa hamsikilizi maneno haya kutoka kwangu ambayo nimeyasema-hili ndilo tamko la Bwana-basi nyumba hii ya kifalme itaharibiwa.'”
6 for thus to say LORD upon house: palace king Judah Gilead you(m. s.) to/for me head: top [the] Lebanon if: surely yes not to set: make you wilderness city not (to dwell *QK)
Kwa maana Bwana asema hivi juu ya nyumba ya mfalme wa Yuda, “Wewe uko kama Gileadi, au kama kilele cha Lebanoni kwangu. Hata hivyo nitakugeuza kuwa jangwa, katika miji isiyo na wenyeji.
7 and to consecrate: prepare upon you to ruin man: anyone and article/utensil his and to cut: cut best cedar your and to fall: fall upon [the] fire
Kwa kuwa nimewaagiza waharibifu kuja juu yenu! Watu wenye silaha zao watakata mierezi yako iliyo bora na kuiacha kuanguka kwenye moto.
8 and to pass nation many upon [the] city [the] this and to say man: anyone to(wards) neighbor his upon what? to make: do LORD thus to/for city [the] great: large [the] this
Kisha mataifa mengi yatapita kwenye mji huu. Kila mtu atamwambia yule anayefuata, “Mbona Bwana amefanya hivi kwa jiji hili kuu?”
9 and to say upon which to leave: forsake [obj] covenant LORD God their and to bow to/for God another and to serve: minister them
Na mwingine atajibu, “Kwa sababu waliiacha agano la Bwana, Mungu wao, wakainama kwa miungu mingine, wakaiabudu.”
10 not to weep to/for to die and not to wander to/for him to weep to weep to/for to go: went for not to return: return still and to see: see [obj] land: country/planet relatives his
Usilie kwa ajili ya aliyekufa. Usiomboleze kwa ajili yake. Lakini mlilie mtu yeyote anayeingia kifungoni, kwa maana hatarudi tena kuiona nchi aliyozaliwa.'
11 for thus to say LORD to(wards) Shallum son: child Josiah king Judah [the] to reign underneath: instead Josiah father his which to come out: come from [the] place [the] this not to return: return there still
Maana Bwana asema hivi juu ya Yehoahazi, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, aliyekuwa mfalme badala ya Yosia babaye, 'ametoka mahali hapa, wala hatarudi.
12 for in/on/with place which to reveal: remove [obj] him there to die and [obj] [the] land: country/planet [the] this not to see: see still
Atakufa huko mahali ambapo walimchukua mateka, na hataiona tena nchi hii.'
13 woe! to build house: home his in/on/with not righteousness and upper room his in/on/with not justice in/on/with neighbor his to serve for nothing and work his not to give: pay to/for him
Ole mtu yeyote anayejenga nyumba yake kwa uovu na vyumba vyake vya juu katika udhalimu; ambao wengine hufanya kazi, lakini hawalipwi.
14 [the] to say to build to/for me house: home measure and upper room be wide and to tear to/for him window my and to cover in/on/with cedar and to anoint in/on/with vermilion
Ole mtu yeyote atakayesema, 'Nitajenga nyumba ndefu na vyumba vya juu vipana, na hujenga madirisha mapana, na kuta zenye mwerezi, na huipaka rangi nyekundu.'
15 to reign for you(m. s.) to contend in/on/with cedar father your not to eat and to drink and to make: do justice and righteousness then pleasant to/for him
Je, hii ndiyo inakufanya uwe mfalme mzuri, kwamba unataka kuwa na mbao za mwerezi? Je baba yako hakula na kunywa, lakini lakini alifanya hukumu na haki? Kisha mambo yakawa mazuri kwa ajili yake.
16 to judge judgment afflicted and needy then pleasant not he/she/it [the] knowledge [obj] me utterance LORD
Alihukumu maneno ya masikini na mhitaji. Ilikuwa vizuri. Je, huku siko kunijua mimi? - hili ni tamko la Bwana.
17 for nothing eye your and heart your that if: except if: except upon unjust-gain your and upon blood [the] innocent to/for to pour: kill and upon [the] oppression and upon [the] oppression to/for to make: do
Lakini hakuna kitu machoni na moyoni mwako isipokuwa wasiwasi kwa faida yako isiyo ya haki na kwa kumwaga damu isiyo na hatia, kwa ukandamizaji kuwatendea jeuri wengine.
18 to/for so thus to say LORD to(wards) Jehoiakim son: child Josiah king Judah not to mourn to/for him woe! brother: male-sibling my and woe! sister not to mourn to/for him woe! lord and woe! (splendor his *Qk)
Kwa hiyo Bwana asema hivi juu ya Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda. Hawatamwomboleza wakisema 'ole, ndugu yangu! au 'Ole, dada yangu!' Hawataomboleza kwa kusema 'Ole, bwana! ' au 'ole, utukufu!'
19 tomb donkey to bury to drag and to throw from further to/for gate Jerusalem
Atazikwa maziko ya punda, ataburuzwa mbali na kutupwa nje ya milango ya Yerusalemu.
20 to ascend: rise [the] Lebanon and to cry and in/on/with Bashan to give: cry out voice your and to cry from Abarim for to break all to love: lover you
Panda milima ya Lebanoni piga kelele. Paza sauti yako Bashani. Piga kelele kutoka kwenye milima ya Abarimu, kwa maana marafiki zako wote wataharibiwa.
21 to speak: speak to(wards) you in/on/with ease your to say not to hear: hear this way: conduct your from youth your for not to hear: obey in/on/with voice my
Nilinena nawe wakati ulioko salama, lakini ukasema, 'Sitasikia.' Hii ilikuwa desturi yako tangu ujana wako, kwani hukusikiliza sauti yangu.
22 all to pasture your to pasture spirit: breath and to love: lover you in/on/with captivity to go: went for then be ashamed and be humiliated from all distress: evil your
Upepo utawalisha wachungaji wako wote, na marafiki zako watakwenda kufungwa. Hakika wewe utakuwa na aibu na kufadhaika kwa matendo yako yote mabaya.
23 (to dwell *Qk) in/on/with Lebanon (to make a nest *Qk) in/on/with cedar what? to sigh in/on/with to come (in): come to/for you pain agony like/as to beget
Wewe mfalme, wewe ambaye huishi katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni, wewe aliyefanya kiota kati ya mierezi, utakuwa na hali ya kuhurumiwa utakapopata utungu kama wakati wa kuzaa.”
24 alive I utterance LORD that if: except if: except to be Coniah son: child Jehoiakim king Judah signet upon hand right my for from there to tear you
“Kama mimi niishivyo-hili ndilo tamko la Bwana-hata kama wewe, Konia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, ulikuwa alama ya mkono wangu wa kulia, ningekuangusha.
25 and to give: give you in/on/with hand: power to seek soul: life your and in/on/with hand: power which you(m. s.) fearing from face of their and in/on/with hand: power Nebuchadnezzar king Babylon and in/on/with hand: power [the] Chaldea
Kwa kuwa nimewatia mikono ya wale wanaotaka uhai wenu na kwenye mkono wa wale ambao mnawaogopa, hata mkononi mwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli na Wakaldayo.
26 and to cast [obj] you and [obj] mother your which to beget you upon [the] land: country/planet another which not to beget there and there to die
Nitawatupa wewe na mama yako aliyekuzaa katika nchi nyingine, nchi ambayo hujazaliwa, na huko utakufa.
27 and upon [the] land: country/planet which they(masc.) to lift: trust [obj] soul: appetite their to/for to return: return there there [to] not to return: return
Na kuhusu eneo hili ambalo watataka kurudi, hawatarudi hapa.
28 vessel to despise to shatter [the] man [the] this Coniah if: surely yes article/utensil nothing pleasure in/on/with him why? to cast he/she/it and seed: children his and to throw upon [the] land: country/planet which not to know
Je! Hiki ni chombo kilichodharauliwa na kilichopasuka? Je, Konia ni chombo kilichodharauliwa? Kwa nini wamemtupa yeye na wazao wake, kumpeleka katika nchi wasiyoijua?
29 land: country/planet land: country/planet land: country/planet to hear: hear word LORD
Ee Ardhi, Ardhi, Ardhi! Sikieni neno la Bwana!
30 thus to say LORD to write [obj] [the] man [the] this childless great man not to prosper in/on/with day his for not to prosper from seed: children his man: anyone to dwell upon throne David and to rule still in/on/with Judah
Bwana asema hivi, 'Andika juu ya mtu huyu Konia Yeye hatakuwa na mtoto. Hatafanikiwa wakati wa siku zake, wala hakuna hata mmoja kati ya uzao wake atakayefanikiwa au kuketi tena kwenye kiti cha Daudi na kutawala juu ya Yuda.'”

< Jeremiah 22 >