< Ezekiel 8 >

1 and to be in/on/with year [the] sixth in/on/with sixth in/on/with five to/for month I to dwell in/on/with house: home my and old: elder Judah to dwell to/for face: before my and to fall: fall upon me there hand: power Lord YHWH/God
Hivyo ikawa kuhusu katika mwaka wa sita na mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa nimeketi kwenye nyumba yangu na wazee wa Yuda waliketi mbele yangu, kwamba mkono wa Bwana Yahwe ukanijaza juu yangu huko.
2 and to see: see and behold likeness like/as appearance fire from appearance loin his and to/for beneath fire and from loin his and to/for above [to] like/as appearance brightness like/as eye: appearance [the] amber [to]
Hivyo nikaona, na tazama, kulikuwa na mfano kama mwonekano wa mwanadamu. Kutoka kwenye mwonekano wake wa nyonga kwenda chini kulikuwa na moto. Na kutoka kwenye nyonga kwenda juu kulikuwa na mwonekano wa kitu kinachong'aa, kama mng'ao wa chuma.
3 and to send: let go pattern hand: power and to take: take me in/on/with tassel head my and to lift: raise [obj] me spirit between [the] land: country/planet and between [the] heaven and to come (in): bring [obj] me Jerusalem [to] in/on/with vision God to(wards) entrance gate [the] inner [the] to turn north [to] which there seat idol [the] jealousy [the] be jealous
Kisha akanyoosha kutoka kwenye mkono na kunichukua kwa nywele za kichwa changu; Roho akaniacha juu kati ya dunia na mbingu, na katika maono kutoka kwa Mungu, akaniletea hata Yerusalemu, kwenye mlango wa kuingia ndani ya lango la kaskazini, ambako sanamu ile iletayo wivu mkubwa ilipokuwa imesiamama.
4 and behold there glory God Israel like/as appearance which to see: see in/on/with valley
Kisha tazama, utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa huko, kulingana na ono nililokuwa nimeliona kwenye uwanda.
5 and to say to(wards) me son: child man to lift: look please eye your way: direction north [to] and to lift: look eye my way: direction north [to] and behold from north to/for gate [the] altar idol [the] jealousy [the] this in/on/with entrance
Kisha akanambia, “Mwanadamu, inua juu macho yako kwenda upande wa kaskazini.” Hivyo nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na kwenye lango la kaskazini kulekea kwenye madhabahu, huko kwenye lango la kuingilia, kulikuwa na sanamu ya wivu.
6 and to say to(wards) me son: child man to see: see you(m. s.) (what? they(masc.) *QK) to make: do abomination great: large which house: household Israel to make here to/for to remove from upon sanctuary my and still to return: return to see: see abomination great: large
Hivyo akanambia, “Mwanadamu, unaona wanayoyafanya? Haya ni machukizo makubwa ambayo nyumba ya Israeli wanayoyafanya hapa kunifanya niende mbali kutoka patakatifu pangu. Lakini utageuka na kuona machukizo makubwa zaidi.”
7 and to come (in): bring [obj] me to(wards) entrance [the] court and to see: see and behold hole one in/on/with wall
Kisha akanileta hata kwenye mlango wa uzio, na nikatazama, kulikuwa na shimo kwenye ukuta.”
8 and to say to(wards) me son: child man to dig please in/on/with wall and to dig in/on/with wall and behold entrance one
Akanambia, “Mwanadamu, chimba kwenye huu ukuta.” Basi nikachimba kwenye huo ukuta, na kulikuwa na mlango.
9 and to say to(wards) me to come (in): come and to see: see [obj] [the] abomination [the] bad: harmful which they(masc.) to make here
Kisha akanambia, “Nenda na ukaone machukizo ya uovu ambayo wanayoyafanya hapa.”
10 and to come (in): come and to see: see and behold all pattern creeping and animal detestation and all idol house: household Israel to engrave upon [the] wall around around
Basi nilipokuwa nikienda ndani na nikaona, na tazama! Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea polepole na mnyama achukizaye sana! Kila sanamu wa nyumba ya Israeli ilikuwa imechongwa kwenye ukuta pande zote.
11 and seventy man from old: elder house: household Israel and Jaazaniah son: child Shaphan to stand: stand in/on/with midst their to stand: stand to/for face: before their and man: anyone censer his in/on/with hand his and odour cloud [the] incense to ascend: rise
Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
12 and to say to(wards) me to see: see son: child man which old: elder house: household Israel to make: do in/on/with darkness man: anyone in/on/with chamber figure his for to say nothing LORD to see: see [obj] us to leave: forsake LORD [obj] [the] land: country/planet
Akanambia, “mwanadamu, unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza? Kila mmoja hufanya hivi kwenye chumba cha sanamu yake, kwa kuwa husema, 'Yahwe hatuone! Yahwe ameitelekeza hii nchi.”'
13 and to say to(wards) me still to return: again to see: see abomination great: large which they(masc.) to make
Kisha akanambia, “Geuka tena na tazama machukizo makubwa ambayo wanayoyafanya.”
14 and to come (in): bring [obj] me to(wards) entrance gate house: temple LORD which to(wards) [the] north [to] and behold there [the] woman to dwell to weep [obj] [the] Tammuz
Tena akanileta kwenye lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini, na tazama! Wanawake walikuwa wameketi huko wakimlilia Tamuzi.
15 and to say to(wards) me to see: see son: child man still to return: again to see: see abomination great: large from these
Hivyo akanambia, “Umeiona hii, mwanadamu? Geuka tena na uone machukizo makubwana zaidi kuliko hayo.”
16 and to come (in): bring [obj] me to(wards) court house: temple LORD [the] inner and behold entrance temple LORD between [the] Portico and between [the] altar like/as twenty and five man back their to(wards) temple LORD and face their east [to] and they(masc.) to bow east [to] to/for sun
Akanileta hata kwenye uzio wa ndani wa nyumba ya Yahwe, na tazama! huko kwenye lango la kuingia kwenye madhabahu, kulikuwa na takribani watu ishirini na tano waliokuwa wamelipa mgongo hekalu la Yahwe na nyuso zao kuelekea mashariki, na walikuwa wakiabudu jua.
17 and to say to(wards) me to see: see son: child man to lighten to/for house: household Judah from to make [obj] [the] abomination which to make here for to fill [obj] [the] land: country/planet violence and to return: again to/for to provoke me and look! they to send: reach [obj] [the] branch to(wards) face: nose their
Akanambia, “Unaona hii, mwanadamu? Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya? Kwa kuwa wameijaza nchi kwa uovu na wamerudi tena ili kuniletea hasira, kuweka tawi kwenye pua zao.
18 and also I to make: do in/on/with rage not to pity eye my and not to spare and to call: call to in/on/with ear: to ears my voice great: large and not to hear: hear [obj] them
Hivyo nitatenda miongoni mwao pia; jicho langu halitakuwa na huruma, sitaacha kuwaharibu. hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa, sitawasikia.”

< Ezekiel 8 >