< Ezekiel 8 >

1 and to be in/on/with year [the] sixth in/on/with sixth in/on/with five to/for month I to dwell in/on/with house: home my and old: elder Judah to dwell to/for face: before my and to fall: fall upon me there hand: power Lord YHWH/God
Katika siku ya tano ya mwezi wa sita mwaka wa sita, baada ya kupelekwa uhamishoni nilipokuwa nimeketi katika nyumba yangu na wazee wa Yuda walikuwa wameketi mbele yangu, mkono wa Bwana Mwenyezi ulikuja juu yangu.
2 and to see: see and behold likeness like/as appearance fire from appearance loin his and to/for beneath fire and from loin his and to/for above [to] like/as appearance brightness like/as eye: appearance [the] amber [to]
Nikatazama, nikaona umbo mfano wa mwanadamu. Kutokana na kile kilichoonekana kuwa kiuno chake kuelekea chini alifanana na moto. Kuanzia kwenye kiuno kuelekea juu sura yake kama chuma kingʼaavyo kikiwa ndani ya moto.
3 and to send: let go pattern hand: power and to take: take me in/on/with tassel head my and to lift: raise [obj] me spirit between [the] land: country/planet and between [the] heaven and to come (in): bring [obj] me Jerusalem [to] in/on/with vision God to(wards) entrance gate [the] inner [the] to turn north [to] which there seat idol [the] jealousy [the] be jealous
Akanyoosha kitu kilichoonekana kama mkono, akaniinua kwa kushika nywele za kichwa changu. Roho akaniinua juu kati ya nchi na mbingu nikiwa katika maono ya Mungu akanichukua mpaka Yerusalemu, kwenye ingilio la lango la upande wa kaskazini ya ukumbi wa ndani, mahali iliposimama ile sanamu ichocheayo wivu.
4 and behold there glory God Israel like/as appearance which to see: see in/on/with valley
Hapo mbele yangu palikuwa na utukufu wa Mungu wa Israeli, kama utukufu ule niliouona katika maono kule ua wa ndani.
5 and to say to(wards) me son: child man to lift: look please eye your way: direction north [to] and to lift: look eye my way: direction north [to] and behold from north to/for gate [the] altar idol [the] jealousy [the] this in/on/with entrance
Kisha akaniambia, “Mwanadamu, tazama kuelekea kaskazini.” Hivyo nikatazama na kwenye ingilio upande wa kaskazini wa lango la madhabahu, nikaona sanamu hii ya wivu.
6 and to say to(wards) me son: child man to see: see you(m. s.) (what? they(masc.) *QK) to make: do abomination great: large which house: household Israel to make here to/for to remove from upon sanctuary my and still to return: return to see: see abomination great: large
Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, je, unaona yale wanayofanya, haya mambo ya machukizo kabisa nyumba ya Israeli wanayotenda hapa, ambayo yatanifanya niende mbali na mahali pangu patakatifu? Lakini utaona vitu ambavyo vinachukiza zaidi hata kuliko hivi.”
7 and to come (in): bring [obj] me to(wards) entrance [the] court and to see: see and behold hole one in/on/with wall
Kisha akanileta mpaka ingilio la ukumbi. Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani.
8 and to say to(wards) me son: child man to dig please in/on/with wall and to dig in/on/with wall and behold entrance one
Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa kwenye ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona hapo pana mlango.
9 and to say to(wards) me to come (in): come and to see: see [obj] [the] abomination [the] bad: harmful which they(masc.) to make here
Naye akaniambia, “Ingia ndani, ukaone maovu na machukizo wanayofanya humu.”
10 and to come (in): come and to see: see and behold all pattern creeping and animal detestation and all idol house: household Israel to engrave upon [the] wall around around
Hivyo nikaingia ndani na kutazama, nikaona kuta zote zimechorwa kila aina ya vitu vitambaavyo na ya wanyama wachukizao wa kila aina na sanamu zote za nyumba ya Israeli.
11 and seventy man from old: elder house: household Israel and Jaazaniah son: child Shaphan to stand: stand in/on/with midst their to stand: stand to/for face: before their and man: anyone censer his in/on/with hand his and odour cloud [the] incense to ascend: rise
Mbele yao walisimama wazee sabini wa nyumba ya Israeli, naye Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja alikuwa na chetezo mkononi na moshi wa harufu nzuri ya uvumba ulikuwa unapanda juu.
12 and to say to(wards) me to see: see son: child man which old: elder house: household Israel to make: do in/on/with darkness man: anyone in/on/with chamber figure his for to say nothing LORD to see: see [obj] us to leave: forsake LORD [obj] [the] land: country/planet
Akaniambia, “Mwanadamu, umeona wanayoyafanya wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mmoja kwenye sehemu yake mwenyewe ya kufanyia ibada za sanamu yake? Wao husema, ‘Bwana hatuoni, Bwana ameiacha nchi.’”
13 and to say to(wards) me still to return: again to see: see abomination great: large which they(masc.) to make
Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”
14 and to come (in): bring [obj] me to(wards) entrance gate house: temple LORD which to(wards) [the] north [to] and behold there [the] woman to dwell to weep [obj] [the] Tammuz
Ndipo akanileta mpaka ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya Bwana, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi.
15 and to say to(wards) me to see: see son: child man still to return: again to see: see abomination great: large from these
Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”
16 and to come (in): bring [obj] me to(wards) court house: temple LORD [the] inner and behold entrance temple LORD between [the] Portico and between [the] altar like/as twenty and five man back their to(wards) temple LORD and face their east [to] and they(masc.) to bow east [to] to/for sun
Ndipo akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani wa nyumba ya Bwana, nako huko katika ingilio la Hekalu, kati ya baraza na madhabahu, walikuwepo wanaume wapatao ishirini na watano. Wakiwa wamelipa kisogo Hekalu la Bwana na kuelekeza nyuso zao upande wa mashariki, wakilisujudia jua huko mashariki.
17 and to say to(wards) me to see: see son: child man to lighten to/for house: household Judah from to make [obj] [the] abomination which to make here for to fill [obj] [the] land: country/planet violence and to return: again to/for to provoke me and look! they to send: reach [obj] [the] branch to(wards) face: nose their
Akaniambia, “Je, umeona hili mwanadamu? Je, ni jambo dogo sana kwa nyumba ya Yuda kufanya machukizo wanayoyafanya hapa? Je, ni lazima pia waijaze nchi dhuluma na kuendelea siku zote kunikasirisha? Watazame wanavyonibania pua kana kwamba ninanuka!
18 and also I to make: do in/on/with rage not to pity eye my and not to spare and to call: call to in/on/with ear: to ears my voice great: large and not to hear: hear [obj] them
Kwa hiyo nitashughulika nao kwa hasira, sitawaonea huruma wala kuwaachilia. Wajapopiga makelele masikioni mwangu, sitawasikiliza.”

< Ezekiel 8 >