< Ezekiel 40 >

1 in/on/with twenty and five year to/for captivity our in/on/with head: first [the] year in/on/with ten to/for month in/on/with four ten year after which to smite [the] city in/on/with bone: same [the] day [the] this to be upon me hand: power LORD and to come (in): bring [obj] me there [to]
Katika mwaka wa ishirini na tano wa uhamisho wetu, mwanzoni mwa huo mwaka, siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya kuanguka kwa mji, siku hiyo hiyo mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanipeleka huko.
2 in/on/with vision God to come (in): bring me to(wards) land: country/planet Israel and to rest me to(wards) mountain: mount high much and upon him like/as structure city from south
Nikiwa katika maono ya Mungu alinichukua mpaka nchi ya Israeli, naye akaniweka kwenye mlima mrefu sana, ambako upande wa kusini kulikuwepo baadhi ya majengo ambayo yalionekana kama mji.
3 and to come (in): bring [obj] me there [to] and behold man appearance his like/as appearance bronze and cord flax in/on/with hand his and branch: stem [the] measure and he/she/it to stand: stand in/on/with gate
Akanipeleka huko, nami nikamwona mtu ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwa shaba. Alikuwa amesimama kwenye lango akiwa na kamba ya kitani na ufito wa kupimia mkononi mwake.
4 and to speak: speak to(wards) me [the] man son: child man to see: see in/on/with eye your and in/on/with ear your to hear: hear and to set: make heart your to/for all which I to see: see [obj] you for because to see: see you to come (in): bring here/thus to tell [obj] all which you(m. s.) to see: see to/for house: household Israel
Mtu huyo akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa macho yako na usikie kwa masikio yako nawe uzingatie kitu nitakachokuonyesha, kwa kuwa ndiyo sababu umeletwa hapa. Iambie nyumba ya Israeli kila kitu utakachoona.”
5 and behold wall from outside to/for house: home around around and in/on/with hand [the] man branch: stem [the] measure six cubit in/on/with cubit and handbreadth and to measure [obj] width [the] building branch: stem one and height branch: stem one
Nikaona ukuta uliozunguka eneo lote la Hekalu. Ule ufito wa kupimia uliokuwa mkononi mwa yule mtu ulikuwa na urefu wa dhiraa ndefu sita, yaani, dhiraa ndefu ni sawa na dhiraa na nyanda nne, akapima ule ukuta. Ukuta huo ulikuwa na unene wa dhiraa ndefu sita na kimo cha dhiraa ndefu sita.
6 and to come (in): come to(wards) gate which face: surface his way: direction [the] east [to] and to ascend: rise (in/on/with step his *QK) and to measure [obj] threshold [the] gate branch: stem one width and [obj] threshold one branch: measuring rod one width
Kisha akaenda kwenye lango linaloelekea mashariki. Akapanda ngazi zake akapima kizingiti cha lango, nacho kilikuwa na kina cha huo ufito.
7 and [the] chamber branch: stem one length and branch: stem one width and between [the] chamber five cubit and threshold [the] gate from beside Portico [the] gate from [the] house: inside branch: stem one
Vyumba vya kupumzikia vya walinzi vilikuwa na urefu wa huo ufito mmoja na upana wa huo ufito, kuta zilizogawa vyumba hivyo vya mapumziko zilikuwa na unene wa dhiraa tano. Nacho kizingiti cha lango lililokuwa karibu na ukumbi unaoelekea hekaluni ulikuwa na kina cha huo ufito.
8 and to measure [obj] Portico [the] gate from [the] house: inside branch: stem one
Kisha akapima baraza ya njia ya lango,
9 and to measure [obj] Portico [the] gate eight cubit (and pillar his *QK) two cubit and Portico [the] gate from [the] house: inside
ambayo ilikuwa na kina cha dhiraa nane na miimo yake ilikuwa na unene wa dhiraa mbili. Baraza ya lango ilielekea Hekalu.
10 and chamber [the] gate way: direction [the] east three from here and three from here measure one to/for three their and measure one to/for pillar from here and from here
Ndani ya lango la mashariki kulikuwepo vyumba vitatu vya kupumzikia kila upande, vyote vitatu vilikuwa na vipimo vilivyo sawa, nazo nyuso za kuta zilizotenganisha kila upande zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.
11 and to measure [obj] width entrance [the] gate ten cubit length [the] gate three ten cubit
Kisha akapima upana wa ingilio la lango, ilikuwa dhiraa kumi na urefu wake ulikuwa dhiraa kumi na tatu.
12 and border: boundary to/for face: before [the] chamber cubit one and cubit one border: boundary from here and [the] chamber six cubit from here and six cubit from here
Mbele ya kila chumba cha kupumzikia kulikuwepo ukuta uliokuwa na kimo cha dhiraa moja kwenda juu, navyo hivyo vyumba vilikuwa dhiraa sita mraba.
13 and to measure [obj] [the] gate from roof [the] chamber to/for roof his width twenty and five cubit entrance before entrance
Kisha akapima njia ya lango kuanzia juu ya ukuta wa nyuma wa chumba kimoja cha kupumzikia hadi juu ya ukuta wa nyuma wa chumba upande wa pili; kukawa na nafasi ya dhiraa ishirini na tano kuanzia lango la ukuta mmoja hadi lango la ukuta uliokuwa upande mwingine.
14 and to make [obj] pillar sixty cubit and to(wards) pillar [the] court [the] gate around around
Akapima pia ukumbi, urefu wa dhiraa ishirini na lango linalofuatia hiyo nguzo kila upande wa huo ukumbi.
15 and upon face: before [the] gate ([the] entrance *Qk) upon to/for face: before Portico [the] gate [the] inner fifty cubit
Umbali kuanzia ingilio la njia ya lango hadi mwisho kabisa wa baraza yake ulikuwa dhiraa hamsini.
16 and window to shutter to(wards) [the] chamber and to(wards) pillar their to/for within to/for gate around around and so to/for arches and window around around to/for within and to(wards) pillar palm
Kulikuwa na vidirisha kwenye hivyo vyumba vya walinzi na nguzo za hivyo vyumba zilikuwa kwenye mzunguko wa hilo lango, vivyo hivyo kulikuwa na madirisha yaliyozunguka kuelekeana na ua na juu ya kila nguzo kulikuwa na mapambo ya miti ya mitende.
17 and to come (in): bring me to(wards) [the] court [the] outer and behold chamber and pavement to make: [do] to/for court around around thirty chamber to(wards) [the] pavement
Kisha akanileta katika ukumbi wa nje. Huko nikaona vyumba vingine pamoja na njia iliyokuwa imejengwa kuzunguka ukumbi wote, kulikuwa na vyumba thelathini vimepangana kando ya hiyo njia.
18 and [the] pavement to(wards) shoulder [the] gate to/for close length [the] gate [the] pavement [the] lower
Njia hii iliyojengwa iliambaa na lango, ikiwa na urefu sawa na lango, hii ilikuwa ni njia ya chini.
19 and to measure width from to/for face: before [the] gate [the] lower to/for face: before [the] court [the] inner from outside hundred cubit [the] east and [the] north
Kisha akapima umbali kutoka ndani ya lango la chini mpaka nje ya ukumbi wa ndani, nao ulikuwa dhiraa mia moja upande wa mashariki na dhiraa mia moja upande wa kaskazini.
20 and [the] gate which face his way: direction [the] north to/for court [the] outer to measure length his and width his
Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.
21 (and chamber his *QK) three from here and three from here (and pillar his and arches his *QK) to be like/as measure [the] gate [the] first fifty cubit length his and width five and twenty in/on/with cubit
Vyumba vyake vilikuwa vitatu kila upande, kuta zilizogawanya vyumba na baraza ilikuwa na vipimo sawa na zile kuta za lango la kwanza. Zilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
22 (and window his and arches his and palm his *QK) like/as measure [the] gate which face his way: direction [the] east and in/on/with step seven to ascend: rise in/on/with him (and arches his *QK) to/for face: before their
Madirisha yake, baraza yake na nakshi yake ya miti ya mitende vilikuwa na vipimo sawasawa na vile vya lango linaloelekea mashariki. Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo.
23 and gate to/for court [the] inner before [the] gate to/for north and to/for east and to measure from gate to(wards) gate hundred cubit
Kulikuwa na lango kwenye ukumbi wa ndani lililoelekea lile lango la kaskazini, kama vile ilivyokuwa ule upande wa mashariki. Akapima kutoka lango moja hadi lile lililo mkabala nalo, lilikuwa dhiraa mia moja.
24 and to go: take me way: direction [the] south and behold gate way: direction [the] south and to measure (pillar his and arches his *QK) like/as measure [the] these
Ndipo akaniongoza mpaka upande wa kusini, nami nikaona lango linaloelekea kusini. Akaipima miimo yake na baraza yake, navyo vilikuwa na vipimo sawa kama hivyo vingine.
25 and window to/for him (and to/for arches his *QK) around around like/as [the] window [the] these fifty cubit length and width five and twenty cubit
Lango na baraza yake vilikuwa na madirisha membamba pande zote, kama madirisha ya huko kwingine. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
26 and step seven (ascent his and arches his *QK) to/for face: before their and palm to/for him one from here and one from here to(wards) (pillar his *QK)
Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo. Ilikuwa na nakshi za miti ya mitende kwenye kuta zilizogawanya vyumba kila upande.
27 and gate to/for court [the] inner way: direction [the] south and to measure from gate to(wards) [the] gate way: direction [the] south hundred cubit
Ukumbi wa ndani pia ulikuwa na lango lililoelekea kusini. Naye akapima kutoka lango hili mpaka kwenye lango la nje upande wa kusini; ilikuwa dhiraa mia moja.
28 and to come (in): bring me to(wards) court [the] inner in/on/with gate [the] south and to measure [obj] [the] gate [the] south like/as measure [the] these
Kisha akanileta mpaka ukumbi wa ndani kwa kupitia lango la kusini, naye akapima lango la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine.
29 (and chamber his and pillar his and arches his *QK) like/as measure [the] these and window to/for him (and to/for arches his *QK) around around fifty cubit length and width twenty and five cubit
Vyumba vyake, kuta zilizogawanya vyumba na ukumbi wake zilikuwa na vipimo sawasawa na zile nyingine. Hilo lango na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Navyo vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
30 and arches around around length five and twenty cubit and width five cubit
(Baraza za malango zilizozunguka ukumbi wa ndani zilikuwa na upana wa dhiraa ishirini na tano na kina cha dhiraa tano.)
31 (and arches his *QK) to(wards) court [the] outer and palm to(wards) (pillar his *QK) and step eight (ascent his *QK)
Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
32 and to come (in): bring me to(wards) [the] court [the] inner way: direction [the] east and to measure [obj] [the] gate like/as measure [the] these
Kisha akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani ulioko upande wa mashariki, naye akalipima lango hilo, lilikuwa na vipimo vilivyo sawasawa na yale mengine.
33 (and chamber his and pillar his and arches his *QK) like/as measure [the] these and window to/for him (and to/for arches his *QK) around around length fifty cubit and width five and twenty cubit
Vyumba vyake, kuta zake na baraza yake vilikuwa na vipimo vilivyo sawa na vile vingine. Lile lango pamoja na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
34 (and arches his *QK) to/for court [the] outer and palm to(wards) (pillar his *QK) from here and from here and eight step (ascent his *QK)
Baraza yake ilielekea ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote. Kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
35 and to come (in): bring me to(wards) gate [the] north and to measure like/as measure [the] these
Kisha akanileta mpaka kwenye lango la kaskazini na kulipima. Lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine,
36 (chamber his pillar his and arches his *QK) and window to/for him around around length fifty cubit and width five and twenty cubit
kama vile ilivyokuwa kwa vyumba, kuta zake na baraza yake, tena kulikuwa na madirisha pande zote. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
37 (and pillar his *QK) to/for court [the] outer and palm to(wards) (pillar his *QK) from here and from here and eight step (ascent his *QK)
Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
38 and chamber and entrance her in/on/with pillar [the] gate there to wash [obj] [the] burnt offering
Kulikuwa na chumba na mlango karibu na baraza katika kila njia ya ndani ya lango ambamo sadaka za kuteketezwa zilioshwa.
39 and in/on/with Portico [the] gate two table from here and two table from here to/for to slaughter to(wards) them [the] burnt offering and [the] sin: sin offering and [the] guilt (offering)
Kwenye baraza ya lile lango kulikuwepo meza mbili kila upande, ambako sadaka za kuteketezwa, sadaka za dhambi na sadaka za hatia zilichinjiwa.
40 and to(wards) [the] shoulder from outside [to] to/for to ascend: rise to/for entrance [the] gate [the] north [to] two table and to(wards) [the] shoulder [the] another which to/for Portico [the] gate two table
Karibu na ukuta wa nje wa baraza ya lile lango karibu na ngazi kwenye ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza mbili, nako upande mwingine wa ngazi kulikuwepo na meza mbili.
41 four table from here and four table from here to/for shoulder [the] gate eight table to(wards) them to slaughter
Kwa hiyo kulikuwa na meza nne upande mmoja wa lango na nyingine nne upande mwingine, zote zilikuwa meza nane, ambapo dhabihu zilichinjiwa.
42 and four table to/for burnt offering stone cutting length cubit one and half and width cubit one and half and height cubit one to(wards) them and to rest [obj] [the] article/utensil which to slaughter [obj] [the] burnt offering in/on/with them and [the] sacrifice
Pia kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, kila meza ilikuwa na urefu wa dhiraa moja na nusu, upana wake dhiraa moja na nusu na kimo cha dhiraa moja. Juu ya meza hizo viliwekwa vyombo vya kuchinjia sadaka za kuteketezwa na dhabihu nyingine mbalimbali.
43 and [the] hook handbreadth one to establish: establish in/on/with house: inside around around and to(wards) [the] table flesh [the] offering
Kulikuwa na kulabu, urefu wake nyanda nne, zilikuwa zimeshikizwa ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya nyama za sadaka.
44 and from outside [to] to/for gate [the] inner chamber to sing in/on/with court [the] inner which to(wards) shoulder gate [the] north and face: before their way: direction [the] south one to(wards) shoulder gate [the] east face: before way: direction [the] north
Nje ya lango la ndani, kwenye ukumbi wa ndani, kulikuwa na vyumba viwili, kimoja upande wa lango la kaskazini nacho kilielekea kusini, kingine upande wa lango la kusini nacho kilielekea kaskazini.
45 and to speak: speak to(wards) me this [the] chamber which face: before her way: direction [the] south to/for priest to keep: guard charge [the] house: home
Akaniambia, “Chumba kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya makuhani ambao wana usimamizi wa hekaluni,
46 and [the] chamber which face: before her way: direction [the] north to/for priest to keep: guard charge [the] altar they(masc.) son: child Zadok [the] approaching from son: child Levi to(wards) LORD to/for to minister him
nacho chumba kinachoelekea upande wa kaskazini ni kwa ajili ya makuhani wenye usimamizi wa madhabahuni. Hawa ni wana wa Sadoki, ambao ndio Walawi pekee wanaoweza kumkaribia Bwana ili kuhudumu mbele zake.”
47 and to measure [obj] [the] court length hundred cubit and width hundred cubit to square and [the] altar to/for face: before [the] house: home
Ndipo alipopima ukumbi: nao ulikuwa mraba wa dhiraa mia moja urefu na upana. Madhabahu yalikuwa mbele ya Hekalu.
48 and to come (in): bring me to(wards) Portico [the] house: home and to measure pillar Portico five cubit from here and five cubit from here and width [the] gate three cubit from here and three cubit from here
Akanileta mpaka kwenye baraza ya Hekalu naye akaipima miimo ya hiyo baraza, nayo ilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande. Upana wa ingilio ulikuwa dhiraa kumi na nne na kuta zake zilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande.
49 length [the] Portico twenty cubit and width eleven ten cubit and in/on/with step which to ascend: rise to(wards) him and pillar to(wards) [the] pillar one from here and one from here
Baraza ilikuwa na dhiraa ishirini kwenda juu na dhiraa kumi na mbili kuanzia mbele hadi nyuma. Kulikuwa na ngazi kumi za kupandia huko, pia kulikuwa na nguzo kwa kila upande wa miimo.

< Ezekiel 40 >