< 2 Peter 1 >

1 (Simeon *NK+o) Peter slave and apostle Jesus Christ the/this/who equally valuable me to choose by lot faith in/on/among righteousness the/this/who God me and savior Jesus Christ
Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo: Kwa wale ambao kwa njia ya haki ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo mmepokea imani iliyo na thamani kama yetu:
2 grace you and peace to multiply in/on/among knowledge the/this/who God and Jesus the/this/who lord: God me
Neema na amani iwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.
3 as/when all me the/this/who divine power it/s/he the/this/who to/with life and piety to give through/because of the/this/who knowledge the/this/who to call: call me (one's own/private *N+KO) (glory *N+kO) and (virtue *N+kO)
Uweza wake wa uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.
4 through/because of which the/this/who precious and great me a promise to give in order that/to through/because of this/he/she/it to be divine participant nature to escape the/this/who in/on/among (the/this/who *no) world in/on/among desire corruption
Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa asili ya uungu, na kuokoka kutoka upotovu ulioko duniani unaosababishwa na tamaa mbaya.
5 and it/s/he this/he/she/it then diligence all to supply to supply in/on/among the/this/who faith you the/this/who virtue in/on/among then the/this/who virtue the/this/who knowledge
Kwa sababu hii hasa, jitahidini sana katika imani yenu kuongeza wema; na katika wema, maarifa;
6 in/on/among then the/this/who knowledge the/this/who self-control in/on/among then the/this/who self-control the/this/who perseverance in/on/among then the/this/who perseverance the/this/who piety
katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;
7 in/on/among then the/this/who piety the/this/who brotherly love in/on/among then the/this/who brotherly love the/this/who love
katika utauwa, upendano wa ndugu; na katika upendano wa ndugu, upendo.
8 this/he/she/it for you be already and to increase no idle nor unfruitful to appoint/conduct toward the/this/who the/this/who lord: God me Jesus Christ knowledge
Kwa maana haya yakiwa ndani yenu kwa wingi na kuzidi kuongezeka, yanawasaidia msikose bidii wala kutozaa matunda katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.
9 which for not be present this/he/she/it blind to be be nearsighted forgetfulness to take the/this/who cleansing the/this/who of old it/s/he (sin *NK+o)
Lakini mtu yeyote asipokuwa na mambo haya haoni mbali, na ni kipofu, naye amesahau kule kutakaswa kutoka dhambi zake za zamani.
10 therefore more: rather brother be eager firm you the/this/who calling and selecting to do/make: do this/he/she/it for to do/make: do no not to stumble once/when
Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuuthibitisha wito wenu na uteule wenu. Kwa maana mkifanya hivyo, hamtajikwaa kamwe,
11 thus(-ly) for richly to supply you the/this/who entry toward the/this/who eternal kingdom the/this/who lord: God me and savior Jesus Christ (aiōnios g166)
na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios g166)
12 therefore (to ensue *N+KO) always you to remind about this/he/she/it although to know and to establish in/on/among the/this/who be present truth
Hivyo nitawakumbusha mambo haya siku zote, hata ingawa mnayajua na mmethibitishwa katika kweli mliyo nayo.
13 just then to govern upon/to/against just as/how much to be in/on/among this/he/she/it the/this/who tent to arouse you in/on/among remembrance
Naona ni vyema kuwakumbusha mambo haya wakati wote niwapo katika hema hili ambalo ni mwili wangu,
14 to know that/since: that quick to be the/this/who removal the/this/who tent me as/just as and the/this/who lord: God me Jesus Christ to make clear me
kwa sababu najua ya kwamba hivi karibuni nitaliweka kando, kama vile Bwana wetu Yesu Kristo alivyoliweka wazi kwangu.
15 be eager then and always to have/be you with/after the/this/who I/we departure the/this/who this/he/she/it remembrance to do/make: do
Nami nitafanya kila juhudi kuona kwamba baada ya kuondoka kwangu mtaweza kuyakumbuka mambo haya siku zote.
16 no for to make wise myth to follow to make known you the/this/who the/this/who lord: God me Jesus Christ power and coming but eyewitness to be the/this/who that majesty
Tulipowafahamisha juu ya uweza na kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo, hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, bali tulishuhudia kwa macho yetu ukuu wake.
17 to take for from/with/beside God father honor and glory voice/sound: voice to bear/lead it/s/he such as this by/under: by the/this/who majestic glory the/this/who son me the/this/who beloved (me *NO) this/he/she/it to be toward which I/we to delight
Alipewa heshima na utukufu kutoka kwa Mungu Baba, sauti ilipomjia katika Utukufu Mkuu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana.”
18 and this/he/she/it the/this/who voice/sound: voice me to hear out from heaven to bear/lead with it/s/he to be in/on/among the/this/who holy (the/this/who *ko) mountain
Sisi wenyewe tuliisikia sauti hii ambayo ilitoka mbinguni, wakati tulipokuwa pamoja naye kwenye ule mlima mtakatifu.
19 and to have/be firm the/this/who prophetic word which well to do/make: do to watch out as/when lamp to shine/appear in/on/among dingy place until which day through/because of to see and light-bearing to rise in/on/among the/this/who heart you
Nasi tunalo pia neno la hakika zaidi la unabii, ambalo mtafanya vyema mkiliangalia kwa bidii, kama vile nuru inavyongʼaa gizani, hadi kupambazuka na nyota ya asubuhi izuke mioyoni mwenu.
20 this/he/she/it first to know that/since: that all prophecy a writing one's own/private explanation no to be
Zaidi ya yote, yawapasa mjue kwamba hakuna unabii katika Maandiko uliofasiriwa kama alivyopenda nabii mwenyewe.
21 no for will/desire a human to bear/lead prophecy once/when but by/under: by spirit/breath: spirit holy to bear/lead to speak (the/this/who *k) (away from *N+KO) God a human
Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

< 2 Peter 1 >