< Matthew 8 >

1 (When was coming down *N(k)O*) now (He *N(k)O*) from the mountain followed Him crowds great.
Wakati Yesu aliposhuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata.
2 And behold a leper (having come near *N(k)O*) was worshipping Him saying; Lord, if You shall be willing, You are able me to cleanse.
Tazama, mkoma alikuja na kusujudu mbele yake, akasema, “Bwana, ikiwa uko tayari, unaweza kunifanya niwe safi”.
3 And having stretched out the hand He touched of him (*k*) (Jesus *K*) saying; I am willing, do be cleansed. And immediately was cleansed his leprosy.
Yesu akanyoosha mkono wake na kumgusa, akasema, “Niko tayari. Uwe msafi.” Hapo hapo alitakaswa ukoma wake.
4 And says to him Jesus; do see that to no one may you tell, But do go yourself do show to the priest and do offer the gift that commanded Moses for a testimony to them.
Yesu akamwambia, “Angalia kwamba usiseme kwa mtu yeyote. Shika njia yako, na jioneshe mwenyewe kwa kuhani na utoe zawadi ambayo Musa aliagiza, kwa ajili ya ushuhuda kwao”
5 (When was entering *N(k)O*) now (He *n(o)*) (Jesus *k*) into Capernaum came to Him a centurion imploring Him
Wakati Yesu alipofika Kapernaumu, Jemedari akaja kwake akamuuliza
6 and saying; Lord, the servant of mine has been laid in the house paralyzed grievously being tormented.
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani amepooza na ana maumivu ya kutisha.”
7 And He says to him (Jesus: *ko*) I myself having come will heal him.
Yesu akamwambia, “Nitakuja na kumponya”.
8 And answering (now *o*) the centurion was saying; Lord, not I am worthy that my under the roof You may come, but only do speak (a word, *N(k)O*) and will be healed the servant of mine.
Jemedari akajibu na kumwambia, “Bwana, mimi si wathamani hata uje na kuingia ndani ya dari yangu, sema neno tu na mtumishi wangu ataponywa.
9 Also for I myself a man am under authority (appointed *O*) having under myself soldiers and I say to this [one]; do go, and he goes, and to another; do come, and he comes, and to the servant of mine; do enact this, and he enacts [it].
Kwa kuwa mimi pia ni mtu niliye na mamlaka, na ninao askari walio chini yangu. Nikisema kwa huyu “Nenda' na huenda, na kwa mwingine 'Njoo' na yeye huja, na kwa mtumishi wangu, 'Fanya hivi,' na yeye anafanya hivyo”
10 Having heard now Jesus marveled and He said to those following; Amen I say to you; (such *no*) (no [one] *N(k)O*) so great faith in Israel have I found.
Wakati Yesu aliposikia haya, alishangazwa na kuwaambia wale waliokuwa wakimfuata, “Kweli ninawaambia, Sijapata kuona mtu mwenye imani kama huyu katika Israel.
11 I say now to you that many from east and west will come and they will recline with Abraham and Isaac and Jacob in the kingdom of the heavens.
Ninawambieni, wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, wataketi katika meza pamoja na Abrahimu, Isaka, na Yakobo, katika ufame wa mbinguni.
12 the however sons of the kingdom will be cast out into the darkness the outer; there will be the weeping and the gnashing of the teeth.
Lakini watoto wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ambapo kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
13 And said Jesus to the centurion; do go, (and *ko*) as you have believed it should be [done] to you. And was healed the servant of him in the hour that.
Yesu akamwambia Jemadari, “Nenda! Kama ulivyokwisha amini, na itendeke hivyo kwako”. Na mtumishi aliponywa katika saa hiyo.
14 And having come Jesus to the house of Peter He saw the mother-in-law of him lain down and fevering
Wakati Yesu alipofika kwenye nyumba ya Petro, alimwona mama mkwe wake na Petro amelala akiwa mgonjwa wa homa.
15 And He touched the hand of her, and left her the fever. and she arose and was ministering (to him. *N(K)O*)
Yesu akamgusa mkono wake, na homa yake ikamwacha. kisha akaamka akaanza kumhudumia.
16 When evening now having come they brought to Him being demonised many, and He cast out the spirits by a word, and all those sick being He healed,
Na ilipofika jioni, watu wakamletea Yesu wengi waliotawaliwa na pepo. Akawafukuza pepo na wale walio wagonjwa akawaponya.
17 so that it may be fulfilled that having been spoken through Isaiah the prophet saying; Himself the infirmities of us He took and [our] diseases bore.
Kwa jinsi hii yalitimia yale yaliyo kwisha kunenwa na Isaya nabii, “Yeye mwenyewe alichukua magonjwa yetu na alibeba maradhi yetu”
18 Having seen now Jesus (great *KO*) (crowd *N(k)O*) around Him He commanded to depart to the other side.
Kisha Yesu alipoliona kusanyiko limemzunguka, alitoa maelekezo ya kwenda upande mwingine wa Bahari ya Galilaya.
19 And having come to [Him] one scribe said to Him; Teacher, I will follow You wherever if You shall go.
Kisha mwandishi akaja kwake na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata popote utakapoenda.”
20 And says to him Jesus; Foxes holes have and the birds of the air nests, but the Son of Man no has [place] where the head He may lay.
Yesu akamwambia, “Mbweha wana mashimo, na ndege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamu hana sehemu ya kulaza kichwa chake.”
21 Another now of the disciples of Him said to Him; Lord, do allow me first to go and to bury the father of mine.
Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende kumzika baba yangu.”
22 But Jesus (speaks *N(k)O*) to him; do follow Me, and do leave the dead to bury their own dead.
Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate, na uwaache wafu wazike wafu wao.”
23 And having climbed He into the boat followed Him the disciples of Him.
Yesu alipoingia kwenye mtumbwi, wanafunzi wake wakamfuata mtumbwini.
24 And behold a storm great arose in the sea so that the boat being swamped by the waves; He Himself however was sleeping.
Tazama, ikainuka dhoruba kuu juu ya bahari, kiasi kwamba mtumbwi ulifunikwa na mawimbi. Lakini Yesu alikuwa amelala.
25 And having come to [Him] (the disciples of Him *k*) they awoke Him saying; Lord, do save (us *k*) we are perishing!
Wanafunzi wakaja kwake na kumwamsha wakisema, “Bwana, tuokoe sisi, tunaelekea kufa!”
26 And He says to them; Why fearful are you, O [you] of little faith? Then having arisen He rebuked the winds and the sea, and there was a calm great.
Yesu akawaambia, “kwa nini mnaogopa, ninyi wenye imani ndogo?” Ndipo akaamka na kuukemea upepo na bahari. Kisha kukawa na utulivu mkuu,
27 And the men marveled saying; What kind [of man] is this that even the winds and the sea Him obey
wanaume wakashikwa na mshangao wakasema, “Huyu mtu niwa namna gani, kwamba hata pepo na bahari vinamtii yeye?”
28 And (when was coming He *N(k)O*) to the other side to the region of the (Gadarenes *N(K)O*) met Him two being demonised out of the tombs coming forth, violent extremely, so that not to be able anyone to pass through the way that.
Wakati Yesu alipokuwa amekuja upande mwingine wa nchi ya Magadala, wanaume wawili waliotawaliwa na pepo walikutana naye. Walikuwa wakitokea makaburini na walikuwa wakifanya vurugu sana, kiasi kwamba hakuna msafiri angeweza kupita njia ile.
29 And behold they cried out saying; What to us and to you (Jesus *k*) Son of God? Are You come here before [the] time to torment us?
Tazama, walipaza sauti na kusema, “Tuna nini cha kufanya kwako, mwana wa Mungu? Umekuja hapa kututesa kabla ya wakati kufika?”
30 There was now far off from them a herd of pigs many feeding.
Sasa kundi kubwa la nguruwe lilikuwa likichunga, hapakuwa mbali sana walipokuwa,
31 And the demons were begging Him saying; If You cast out us, (do allow *K*) (do send away *N(K)O*) (us *N(k)O*) into the herd of pigs.
pepo waliendelea kulalamika kwa Yesu na kusema. “Ikiwa utatuamuru kutoka, tupeleke kwenye kundi la nguruwe.”
32 And He said to them; do go. And having gone out they went away into (herd *k*) (pigs, *N(k)O*) and behold rushed all the herd (of the of pigs *k*) down the steep bank into the sea, and perished in the waters.
Yesu akawaambia, “Nendeni!” Pepo wakawatoka na kwenda kwa nguruwe. Na tazama, kundi lote likashuka kutoka mlimani kuteremkia baharini na lote likafia majini.
33 Those now feeding [them] fled, and having gone away into the city they related everything including the [matter] of those being demonised.
Wanaume waliokuwa wakichunga nguruwe walikimbia. Na walipoenda mjini wakaelezea kila kitu, hususani kilichotokea kwa wanaume waliotawaliwa na mapepo.
34 And behold all the city went out to (meet *N(k)O*) Jesus, And having seen Him they begged [Him] that He may depart from the region of them.
Tazama, mji mzima ukaja kukutana na Yesu. Walipomwona, walimsihi aondoke kwenye mkoa wao.

< Matthew 8 >