< Luke 12 >

1 In these [times] when were gathering the myriads of the crowd so as to trample upon one another He began to say to the disciples of Him first; do take heed to yourselves of the leaven which is hypocrisy of the Pharisees.
Kwa wakati huo, maelfu mengi ya watu walikusanyika pamoja, kiasi cha kuanza kukanyagana, akaanza kusema na wanafunzi wake kwanza, “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo ambayo ni unafiki”
2 No [thing] now concealed is which not will be revealed, nor hidden which not will be known.
Na hapatakuwepo na siri iliyofichika ambayo haitafunuliwa, wala jambo lililofichwa ambalo halitajulikana.
3 Instead that as much as in the darkness you have said in the light will be heard, and what into the ear you have spoken in the inner rooms will be proclaimed upon the housetops.
Na lolote mlilolisema katika giza, litasikiwa katika mwanga. Na yoyote mliyoyasema kwenye sikio ndani ya vyumba vyenu vya ndani vilivyofungwa yatatangazwa juu ya paa la nyumba.
4 I say now to you those friends of Mine; not you may fear because of those killing the body and after these things not being able more excessive anything to do.
Nawaambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili na kisha hawana kitu kingine cha kufanya,
5 I will show however you whom you may fear: do fear the [One who] after the killing has authority to cast into hell. Yes I say to you; Him do fear. (Geenna g1067)
Lakini nitawaonya mtakaye mwogopa. Mwogopeni yule ambaye baada ya kuwa ameua, ana mamlaka ya kutupa jehanamu. Ndiyo, nawaambiani ninyi, mwogopeni huyo. (Geenna g1067)
6 Surely five sparrows (are being sold for *N+kO) assarion two? And one of them not is forgotten before God;
Je shomoro watano hawauzwi kwa sarafu mbili? hata hivyo hakuna hata mmoja wao atakayesahaulika mbele za Mungu.
7 But even the hairs of the head of you all have been numbered. Not (therefore *K) do fear; than many sparrows you are more valuable.
Lakini mjue kuwa, nywele za vichwa vyenu vimehesabiwa. Msiogope. Ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.
8 I say now to you; everyone who maybe (may confess *NK+o) in Me myself before the men, also the Son of Man will confess in him before the angels of God;
Ninawaambia, yeyote atakayenikiri Mimi mbele za watu, Mwana wa Adamu atamkiri mbele za malaika wa Mungu.
9 the [one] now having denied Me before men will be denied before the angels of God.
Lakini yeyeyote atakayenikana mbele za watu naye atakanwa mbele ya Malaika wa Mungu.
10 And everyone who will speak a word against the Son of Man, it will be forgiven to him; to the [one] however [who] against the Holy Spirit having blasphemed not will be forgiven.
Yeyote atakayesema neno baya juu ya Mwana wa Adamu, atasamehewa, lakini yeyote atakayemkufuru Roho Mtakatifu, hatasamehewa.
11 When then (they may bring in *N+kO) you before the synagogues and the rulers and the authorities, not (may be anxious *N+kO) how or what you may present a defense or what you may say;
Watakapowapeleka mbele za wakuu wa masinagogi, watawala, na wanye mamlaka, msiogope juu na namna ya kuongea katika kujitetea au nini mtakachosema,
12 the for Holy Spirit will teach you in same the hour what it behooves [you] to say.
kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha namna mtakavyosema kwa wakati huo.”
13 Said then one from the crowd to Him: Teacher, do say to the brother of mine to divide with me the inheritance.
Mtu mmoja katika kusanyiko akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie sehemu ya uruthi wangu.”
14 And He said to him; Man, who Me appointed (a judge *N+kO) or partitioner over you?
Yesu akamjibu, ni nani aliye niweka kuwa mwamuzi na mpatanishi kati yenu?
15 He said then to them; do watch and do keep yourselves from (all *N+kO) covetousness, for not in the abounding to anyone the life (to him *NK+o) is of the possessions (of him. *N+kO)
Ndipo akawaambia, Jihadharini na kila namna ya tamaa, kwa sababu uzima wa mtu hauko katika wingi wa vitu alivyo navyo.”
16 He spoke then a parable to them saying; Of a man certain rich brought forth abundantly the ground.
Yesu akawaambia mfano, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana,
17 And he was reasoning within himself saying; What shall I do for not I have where I will store up the fruits of mine?
na akajiuliza ndani yake, akisema, nitafanyaje kwani sina mahali pa kuhifadhi mazao yangu?
18 And he said; This will I do: I will tear down my barns and greater will build and will store up there all (the grain *N+kO) (of mine *k) and the goods of mine
Akasema, nitafanya hivi. Nitavunja ghala zangu ndogo na kujenga iliyo kubwa, na kuyahifadhi mazao yangu yote na vitu vingine.
19 And I will say to the soul of mine; Soul, you have many good things laid up for years many. do rest yourself do eat, do drink, do be merry.
Nitaiambia nafsi yangu, “Nafsi, umejiwekea akiba ya vitu vingi kwa miaka mingi. Pumzika, ule, unywe na kustarehe.”
20 Said then to him God; Fool! On this night the soul of you (is required *NK+o) of you. what now you did prepare — to whom will [it] be?
Lakini Mungu akamwambia, ewe mtu mpumbavu, usiku wa leo wanahitaji roho kutoka kwako, na vitu vyote ulivyoviandaa vitakuwa vya nini?
21 So [is] the [one] treasuring up for himself and not toward God being rich.
Ndivyo itakavyokuwa kwa kila mtu anayejiwekea mali na si kujitajirisha kwa ajili ya Bwana.
22 He said then to the disciples of Him; Because of this I say to you: not do be anxious for the life (of you *k) what you may eat, nor [be anxious] for the body (of you *o) what you may put on.
Yesu akawaambia wanafunzi wake, Kwa hiyo nawaambia msihofu juu ya maisha yenu ya kuwa mtakula nini au juu ya miili yenu ya kuwa mtavaa nini
23 The (for *no) life more is than the food, and the body than the clothing.
Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.
24 do consider the ravens that not they sow nor they reap to them not there is a storehouse nor [is] barn — and God feeds them; How much more you yourselves are valuable than the birds?
Angalieni ndege wa angani, hawalimi wala hawavuni. Hawana chumba wala ghala ya kuhifadhia, lakini Baba yenu huwalisha. Ninyi si bora zaidi kuliko ndege!
25 Which now of you being anxious is able to the lifespan of him to add hour (one? *ko)
Ni yupi kati yenu ambaye akijisumbua ataweza kuongeza dhiraa moja katika maisha yake?
26 If then (not even *N+kO) [the] least you are able [to do], why about the rest are you anxious?
Ikiwa basi hamuwezi kufanya hicho kitu kidogo kilicho rahisi kwa nini basi kusumbukia hayo mengine?
27 do consider the lilies how they grow: Not do they labor nor do they spin. I say however to you; not even Solomon in all the glory of him was arrayed as one of these.
Angalieni maua -yanavyomea. Hayafanyi kazi wala hayasokoti. Lakini nawaambia, hata Sulemani katika utukufu wake wote hakuvikwa kama mojawapo ya haya,
28 If however in [the] field the grass being [here] today and tomorrow into [the] furnace being thrown God thus (dresses, *N+kO) how much more you, O [you] of little faith?
Kama Mungu huyavika vizuri majani ya kondeni, ambayo leo yapo, na kesho hutupwa kwenye moto. Je si zaidi atawavika ninyi? enyi wa imani haba!
29 And you yourselves not do seek what you may eat (and *N+kO) what you may drink, and not do worry yourself.
Msisumbukie juu ya kuwa mtakula nini au mtakunywa nini, wala msiwe na hofu.
30 these things for all the nations of the world (seek for; *N+kO) of you now the Father knows that you have need of these.
Kwa kuwa Mataifa yote ya dunia husumbukia mambao yao. Na Baba yenu anajua ya kuwa mnahitaji hayo.
31 But do seek the kingdom (of Him *N+KO) and these things (all things *K) will be added to you.
Lakini tafuteni ufalme wake kwanza, na hayo mengine mtazidishiwa,
32 Not do fear, O little flock, for took delight the Father of you to give you the kingdom.
msiogope, enyi kundi dogo, kwa sababu Baba yenu anafurahia kuwapa ninyi huo ufalme.
33 do sell the possessions of you and do give alms; do make to yourselves purses not growing old, a treasure unfailing in the heavens where thief not does draw near nor moth destroy;
Uzeni mali zenu na mkawape maskini, mjifanyie mifuko isiyoishiwa hazina ya mbinguni isiyokoma, sehemu ambapo wezi hawatakaribia wala nondo haitaweza kuharibu.
34 Where for is the treasure of you, there also the heart of you will be.
Kwa kuwa palipo na hazina yako, ndipo na roho yako itakapokuwepo.
35 should be your waist girded and the lamps burning,
Nguo zenu ndefu ziwe zimefungwa kwa mkanda, na taa zenu zihakikishwe kuwa zinaendelee kuwaka,
36 and you yourselves like to men waiting for the master of themselves whenever (he may return *N+kO) from the wedding feasts, that having come and having knocked immediately they may open to him.
na muwe kama watu wanaomtazamia Bwana wao kutoka kwenye sherehe ya harusi, ili kwamba akija na kupiga hodi, wataweze kumfungulia mlango kwa haraka.
37 Blessed [are] the servants those whom having come the master will find watching; Amen I say to you that he will gird himself and he will make recline them, and having come up he will serve them.
Wamebarikiwa wale watumishi, ambao Bwana atawakuta wako macho. Hakika atafunga nguo yake ndefu kwa mkanda, kisha atawaketisha chini kwa chakula, na kisha kuwahudumia.
38 And if And if (he may come *k) in the second (watch *k) (and if and if *N+kO) in the third watch he may come and he may find [them] thus, blessed are (servants *KO) those!
Kama Bwana atakuja kwa zamu ya pili ya ulinzi ya usiku, au hata zamu ya tatu ya ulinzi, na kuwakuta wakiwa tayari, itakuwa ni heri kwa hao watumishi.
39 This however do know that if had known the master of the house in what hour the thief is coming, not (he watched *KO) (maybe *K) (and *KO) maybe he have allowed (to be broken into *N+kO) the house of him.
Zaidi ya hayo, mjue hili, kama bwana mwenye nyumba angelijua saa ambayo mwivi anakuja, asingeliruhusu nyumba yake ifunjwe.
40 Also you yourselves (therefore *K) do be ready, for in the hour not you expect the Son of Man comes.
Iweni tayari pia kwani hamjui ni wakati gani mwana wa Adamu atarudi.
41 Said then (to him *k) Peter; Lord, to us parable this speak You or also to all?
Petro akasema, “Bwana, watuambia sisi wenyewe hii mifano, au unamwambia kila mtu?
42 (And *no) said (now *k) the Lord; Who then is the faithful manager (the *N+kO) wise whom will set the master over the care [of servants] of him to give [them] in season the measure of food?
Bwana akawaambia, “Ni nani mtumwa mwaminifu au mwenye hekima ambaye bwana wake atamweka juu ya watumishi wengine, ili awagawie chakula chao kwa wakati mwafaka?
43 Blessed [is] the servant that [one] whom having come the master of him will find doing thus.
Amebarikiwa mtumishi yule, ambaye bwana wake akija atamkuta akifanya yale aliyoagizwa.
44 Of a truth I say to you that over all the possessions of him he will set him.
Hakika nawaambia ninyi ya kuwa atamweka juu ya mali yake yote.
45 If however shall say the servant that [one] in the heart of him; Delays the master of Me to come, and shall begin to beat the men-servants and the maid-servants to eat also and to drink and to get drunk,
Lakini Mtumishi yule akisema moyoni mwake, “bwana wangu anachelewa kurudi; hivyo akaanza kuwapiga wale watumishi wa kiume na wa kike, kisha akaanza kula, kunywa na kulewa,
46 will come the master of the servant that [one] in a day in which not he does expect and in an hour that not he knows and he will cut in two him and the place of him with the unbelievers will appoint.
bwana wake yule mtumwa atakuja katika siku asiyotegemea na saa asiyoijua, naye atamkata vipande vipande na kumuweka katika sehemu pamoja na wasiokuwawaaminifu'
47 That [very] now servant the [one] having known the will of the master (of him *N+kO) and not having prepared (or *N+kO) having done according to the will of him will be beaten with many [blows].
Mtumishi, anayejua mapenzi ya bwana wake, naye hakujiandaaa wala hakufanya sawa sawa na mapenzi yake, atapigwa viboko vingi.
48 the [one] however not having known having done however [things] worthy of stripes will be beaten with few. Everyone now to whom has been given much, much will be required from him; and to whom has been committed much, more excessive will they ask of him.
Lakini mtumishi asiyejua mapenzi ya bwana wake, lakini akafanya yanayostahili adhabu, atapigwa viboko vichache. Kwa kuwa yeye aliyepewa vingi, vingi hudaiwa kutoka kwake, na yeye aliyeaminiwa kwa vingi, kwake vitadaiwa vingi zaidi.
49 Fire I came to cast (upon *N+kO) the earth and how I wish if already it be kindled!
Nimekuja kuwasha moto duniani, na natamani iwe umekwishawaka,
50 Baptism however I have to be baptized [with] and how I am distressed until (while *N+kO) it may be accomplished!
Lakini nina ubatizo ambao nitabatizwa, na nina huzuni mpaka utkapokamilika!
51 Think you that peace I came to give on the earth? No, I say to you, but rather division.
Je mnafikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani? Hapana, Nawaambieni, badala yake nimeleta mgawanyiko.
52 There will be for from now five in one house divided, three against two and two against three
Tangu sasa na kuendelea kutakuwa na watu watano katika nyumba moja wamegawanyika, na watatu watakuwa kinyume na wawili, na wawili watakuwa kinyume na watatu.
53 (They will be divided *N+kO) father against son and son against father, mother against (daughter *N+kO) and daughter against (mother, *N+kO) mother-in-law against the daughter-in-law of her and daughter-in-law against mother-in-law (of her. *k)
Watagawanyika, baba atakuwa kinyume na mwanae, na mwanae atakuwa kinyume na babaye, mama atakuwa kinyume na binti yake, na binti atakuwa kinyume na mama yake, Mama mkwe atakuwa kinyume na mkwe wake naye mkwe atakuwa kinyume na mama mkwe wake.
54 He was saying now also to the crowds; When you may see a cloud rising up (from *N+kO) [the] west, immediately you say (that *no) A shower is coming, and it happens so.
Yesu akawa anawaambia makutano pia, “Mara muonapo mawingu yakitokea magharibi, mnasema nyakati za mvua zimewadia; na ndivyo inavyo kuwa,
55 And when a south wind is blowing, you say that Heat there will be, and it happens.
Na upepo wa kusini ukivuma, mnasema, Patakuwepo na joto kali, na ndivyo inavyokuwa.
56 Hypocrites! The appearance of the earth and of the sky you know [how] to discern, the time however this how not (do you know *no) (to discern? *N+kO)
Enyi wanafiki, mnaweza kutafsiri mwonekano wa nchi na anga, lakini inakuwaje hamuwezi kuutafsiri wakati uliopo?
57 Why now even for yourselves not judge you what [is] right?
Ni kwa nini kila mmoja wenu asipambanue lililo sahihi kwake kulifanya wakati ambapo angali na nafasi ya kufanya hivyo?
58 As for you are going with the adversary of you before a magistrate, in the way do give earnestness to have been set free from him otherwise otherwise he may drag away you to the judge, and the judge you (will deliver *N+kO) to the officer, and the officer you (will cast *N+k+o) into prison.
Maana mkienda na mshitaki wako mbele ya hakimu, jitahidi kupatana na mshitaki wako mungali bado mko njiani asije akakupeleka kwa hakimu, na hakimu akupeleka kwa ofisa, na ofisa akakutupa gerezani.
59 I say to you; certainly not shall you come out from there until (of which *k) even (the *N+kO) last lepton you may have paid.
Nakuambia, hutatoka huko hadi umelipa mpaka senti ya mwisho.

< Luke 12 >