< 2 Corinthians 2 >

1 I judged (for *N+kO) within myself this not again in grief to you to come.
Kwa eyo niamwile kw sehemu yangi mwene panga niise kwaa kae kwinu katika hali ya uchunhu.
2 If for I myself grieve you again who (is *k) the [one] gladdening me except not the [one] being grieved by me?
Mana natiasababishia mwenga matamwe, ni nyai ywanipuraisha nenga, lakini ni yolo ywabile ywaumizwa ni nenga?
3 And I wrote (to you *k) this same thing, so that not having come grief (I may have *N+kO) from [those] of whom it was necessary me to rejoice having trusted in all you that my joy of all of you is.
Niandikile kati ya nipangite ili panga wakati waniisa kwinu niweze kwaa umizwa na balo babile panipangite nipuraike. Nibile na ujasiri kuhusu mwenga mwabote panga furaha yango yeyelo mubile nayo mwenga mwabote.
4 Out of for much affliction and anguish of heart I wrote to you through many tears, not that you may be grieved, but the love that you may know that I have more abundantly toward you.
Kwa kuwa naandikya mwenga lingana na mateso makolo, na dhiki ya mwoyo, na kwa machozi yanyansima. Nipala kwaa kuwasababishia mwenga matamwe. Badala yake, nipala muutange upendo wanyansima wanibile nao kwa ajili yinu.
5 If however anyone has caused grief, not me myself has he grieved but in part — that not I may burden all you.
Mana kwabile ni yeyote ywasababisha matamwe, asababisha kwaa kwango kae, lakini kwa kiwango pulani bila beka ukale muno-kwinu mwenga mwabote.
6 Sufficient to such a one [is] the punishment this which [is] by the majority,
Ayee nga adhabu ya mundu yoo kwa baingi yatosha.
7 so that on the contrary rather for you to forgive and to comfort [him], lest perhaps by more excessive sorrow may be overwhelmed such a one.
Kwa eyo nambeambe badala ya adhabu, mpalikwa kumsamee ni kumfariji. Mupange nyoo ili panga aweze kwaa shindwa na huzunu yanyansima.
8 Therefore I exhort you to confirm toward him love.
Kwa eyo naatia mwoyo kuthibitisha upendo winu hadharani kwa ajili yaywembe.
9 For this indeed also did I write, so that I may know the proof of you, whether to everything obedient you are.
Ayee nga sababu niandikile, ili panga niweze kuajaribu na kuyowa kuwa mana ni batii katika kila kilebe.
10 To whomever now anything you forgive, I also myself; I also myself; and for I myself (to whom *N+kO) I have forgiven, if anything I have forgiven, [it is] for you in [the] presence of Christ,
Mana mwaweza msamiya yeyote, ni nenga namsamiya mundu yoo. Chelo chanikisamiya-kati nakisamiya chochote-kisameelwa kwa faida yinu katika uwepo wa Kristo.
11 so that not we may be outwitted by Satan; not for of his schemes we are ignorant.
Ayee nga panga nchela aise kwaa kutupangia ubocho. Kwa kuwa twenga twaalalo kwaa kwa mipango yake.
12 Having come now to Troas for the gospel of Christ also a door to me having been opened in [the] Lord,
Nnango utiyongoliwa kwango ni Ngwana paniisile katika mji wa Troa hubiri injili ya Kristo palyo.
13 not I have had rest in the spirit of mine in the not finding my Titus the brother of mine, instead having taken leave of them I went out to Macedonia.
Hata nyoo, nibile kwaa na amani ya mwoyo, kwa sababu nikwembine kwaa ni nongo bango Tito kolyo. Nga nyoo nialekite na kelebuka Makedonia.
14 However to God [be] thanks to the [One] always leading in triumph us in Christ and the fragrance of the knowledge of Him making manifest through us in every place,
Lakini ashukuriwe Nnongo, ywabile katika Kristo mara yote utuongoza twenga katika ushindi. Pitya twenga sambaza harufu inoite ya maarifa gake mahali pote.
15 For of Christ a sweet perfume we are to God in those being saved and in those perishing,
Kwa mana twenga kwa Nnongo, ni harufu inoite ya Kristo, bote kwati ya balo babile lopolelwa na kati ya balo baangamia.
16 to one indeed an odor (from *no) death to death, to one however a fragrance (from *no) life to life. And for these things who [is] sufficient?
Kwa bandu baangamia, ni harufu boka mu'kiwo mpaka kiwo. Kwa balo balopolwa, ni harufu inoite boka ukoto mpaka ukoto. Ywa nyai ywastahili ilebe yee?
17 Not for we are like the (many *NK+O) peddling the word of God, but as of sincerity, but as of God, (before *N+kO) God in Christ we speak.
Kwa mana twenga twabile kwaa kati bandu banyansima bapemeya neno lya Nnongo kwa faida. Badala yake, kwa usapi wa nia, twabaya katika Kristo, kati ya tutumilwe boka kwa Nnongo, nnongi ya Nnongo.

< 2 Corinthians 2 >