< Psalms 124 >

1 A Song of Ascents. David’s. If it had not been, Yahweh, who was on our side, oh might Israel say:
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
2 If it had not been, Yahweh, who was on our side, when men rose up against us,
kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
3 Then, alive, had they swallowed us up, in the glow of their anger against us;
wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
4 Then, the waters, had whelmed us, the torrent, gone over our soul;
mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,
5 Then, had gone over our soul the waters so proud!
maji yaendayo kasi yangalituchukua.
6 Blessed, be Yahweh, who gave us not as prey to their teeth.
Bwana asifiwe, yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.
7 Our soul, as a bird, hath escaped from the snare of the fowlers, The snare, is broken, and, we, are escaped:
Tumeponyoka kama ndege kutoka mtego wa mwindaji; mtego umevunjika, nasi tukaokoka.
8 Our help, is in the Name of Yahweh, who made heaven and earth.
Msaada wetu ni katika jina la Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.

< Psalms 124 >