< Psalms 114 >

1 When Israel came forth out of Egypt, The house of Jacob from among a people of strange tongue,
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 Judah became his sanctuary, Israel his realm:
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 The sea, beheld, and fled, The Jordan, turned back;
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 The mountains, started like rams, The hills like the young of the flock?
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 What aileth thee, O sea, that thou fleest? O Jordan, that thou turnest back?
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 Ye mountains, that ye start like rams? Ye hills, like the young of the flock?
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 Before the Lord, be in anguish, O earth, Before the GOD of Jacob:
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 Who turneth The Rock into a pool of water, The Flint into springs of water.
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.

< Psalms 114 >