< Psalms 108 >

1 A Song, a Melody: David’s. Fixed, is my heart, O God, I will sing and touch the strings, even mine honour.
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 Awake, O harp and lyre, I will awaken the dawn!
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 I will thank thee among the peoples, O Yahweh, and will sing praise unto thee, among the tribes of men.
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 For, great, above the heavens, is thy lovingkindness, and, as far as the skies, thy faithfulness.
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 Be thou exalted above the heavens, O God, And, above all the earth, be thy glory.
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 To the end thy beloved ones may be delivered, Oh save thou with thy right hand and answer me!
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 God, hath spoken in his holiness, I will exult! I will apportion Shechem! And, the Vale of Succoth, will I measure out;
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 Mine, is Gilead—mine, Manasseh, but, Ephraim, is the defence of my head, Judah, is my commander’s staff;
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 Moab, is my wash-bowl, Upon Edom, will I throw my shoe, Over Philistia, raise a shout of triumph.
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 Who will conduct me to a fortified city? Who will lead me as far as Edom?
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 Hast not thou, O God, rejected us? and wilt not go forth, O God, with our hosts.
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 Grant us help out of distress, for, vain, is the deliverance of man:
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 In God, shall we do valiantly, He himself, therefore, shall tread down our adversaries.
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.

< Psalms 108 >