< Job 28 >

1 Though there is, for silver, a vein, and a place for the gold they refine;
“Kuna machimbo ya fedha, na mahali dhahabu isafishwapo.
2 Iron, out of the ore, is taken, and, stone, poureth out copper;
Chuma hupatikana ardhini, nayo shaba huyeyushwa kutoka mawe ya madini.
3 An end, hath one set to the darkness, and, into every extremity, is, he, making search, for the stone of darkness and death-shade;
Mwanadamu hukomesha giza; huyatafuta hadi sehemu iliyo mbali, kwa ajili ya kuchimbua mawe yenye madini katika giza jeusi sana.
4 He hath sunken a shaft, away from the inhabitants; Places forsaken by the foot, they hang down, away from men, sway to and fro;
Huchimba shimo jembamba mbali na makao ya watu, mahali paliposahaulika na nyayo za wanadamu; mbali na wanadamu huningʼinia na kupembea kwa kamba.
5 As for the earth, out of it, cometh forth bread, and, under it, is upturned, as it were fire;
Ardhi, ambako chakula hutoka, chini hugeuzwa kwa moto;
6 The place of sapphires, are the stones thereof, and it hath, nuggets of gold: —
yakuti samawi hutoka katika miamba yake, nalo vumbi lake lina vipande vya dhahabu.
7 A path, the vulture hath not discerned, nor hath the eye of the hawk scanned it;
Hakuna ndege awindaye aijuaye njia ile iliyofichika, wala hakuna jicho la mwewe lililoiona.
8 Ravenous beasts have not made a track thereof, neither hath the lion marched thereon:
Wanyama wa porini wanaotamba hawajawahi kupakanyaga, wala simba azungukaye huko.
9 Upon the flint, hath he thrust forth his hand, He hath turned up mountains by the roots;
Mikono ya mwanadamu hushambulia miamba migumu sana, na kuiacha wazi mizizi ya milima.
10 Among the rocks, hath he cut open streams, and, every precious thing, hath his eye seen:
Hutoboa shimo refu la kupenya chini kwa chini kwenye miamba; macho yake huona hazina zake zote.
11 From trickling, he restraineth, rivers, and, some hidden thing, is he bringing out to light.
Hutafuta vyanzo vya mito na kuvileta vitu vilivyofichika katika nuru.
12 Yet where can, Wisdom, be found? And where is the place of understanding?
“Lakini hekima inaweza kupatikana wapi? Ufahamu unakaa wapi?
13 Mortal knoweth not the way thereof, neither can it be found in the land of the living;
Mwanadamu hatambui thamani yake; haiwezi kupatikana katika nchi ya walio hai.
14 The resounding deep, hath said, It is not in me! And, the sea, hath said, It is not with me!
Kilindi husema, ‘Haiko ndani yangu’; bahari nayo husema, ‘Haiko pamoja nami.’
15 Pure gold cannot be given in its stead, neither can silver he weighed as the value thereof;
Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi kuliko zote, wala thamani yake haiwezi kupimwa kwa fedha.
16 It cannot be put into the scales against the gold of Ophir, with costly onyx, or sapphire;
Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu ya Ofiri, kwa shohamu ya thamani kubwa au yakuti samawi ya thamani kubwa.
17 Neither gold nor crystal can compare with it, nor can, the exchange thereof, be a vessel of pure gold,
Dhahabu wala mawe maangavu haviwezi kulinganishwa nayo, wala haiwezi hubadilishwa na vito vya dhahabu.
18 Coral or crystal, cannot be mentioned, Yea, a possession, is wisdom, above red coral;
Marijani na yaspi hazistahili kutajwa; thamani ya hekima ni zaidi ya akiki nyekundu.
19 The topaz of Ethiopia cannot compare with it, Against purest gold, can it not be weighed.
Yakuti manjano ipatikanayo Kushi haiwezi kulinganishwa nayo, wala haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi.
20 Whence then cometh, wisdom? And where is the place of understanding?
“Ni wapi basi hekima itokako? Ufahamu hukaa wapi?
21 Seeing it hath been hid from the eyes of every living thing, and, from the bird of the heavens, hath it been concealed?
Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai, imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.
22 Destruction and death, have said, With our ears, have we heard the report thereof!
Uharibifu na Mauti husema, ‘Ni uvumi wake tu uliotufikia masikioni mwetu.’
23 GOD, understandeth the way thereof, and, he, discerneth the place thereof;
Mungu anaifahamu njia ya kuiendea hekima na ndiye peke yake anayefahamu inakokaa,
24 For, he, unto the ends of the earth, directeth his look, under all the heavens, he seeth;
kwa maana yeye huitazama miisho ya dunia na huona kila kitu chini ya mbingu.
25 Making, for the wind, a weight, and, the waters, he proved by measure,
Alipofanyiza nguvu za upepo na kuyapima maji,
26 When he made, for the rain, a decree, and a way for the lightning of thunders,
alipofanya maagizo kwa ajili ya mvua na njia kwa ajili ya umeme wa radi,
27 Then, saw he it, and declared it, He settled it, yea also he searched it out;
ndipo alipoitazama hekima na kuikadiria thamani yake, akaithibitisha na kuihakikisha.
28 And said to the son of earth, Lo! the reverence of the Lord, that, is wisdom, and, to avoid evil, is understanding.
Naye Mungu akamwambia mwanadamu, ‘Kumcha Bwana: hiyo ndiyo hekima, nako kujitenga na uovu ndio ufahamu.’”

< Job 28 >