< Deuteronomy 15 >

1 At the end of seven years, shalt thou make a release.
Kila mwisho wa kila miaka saba, mnapaswa kufuta madeni.
2 And, this, shall be the manner of the release, Every creditor who lendeth aught to his neighbour, his hand shall release it, —he shall not exact it of his neighbour or his brother, because there hath been proclaimed a release unto Yahweh.
Hii ni tabia ya ukombozi. Kila mkopeshaji atafuta kile alichompa jirani yake, hata dai kutoka kwa jirani yake au ndugu yake kwa sababu ufutaji wa madeni wa Yahwe umetangazwa.
3 Of a foreigner, thou mayest exact it, —but, what thou hast with thy brother, thy hand shall release;
Kutoka kwa mgeni mnaweza kudai; lakini kwa chochote chenu kilicho na ndugu yenu mnapaswa mkitoe.
4 save, when there shall be among you no needy person, —for Yahweh will indeed bless, thee, in the land which Yahweh thy God is giving unto thee as an inheritance to possess it:
Hata hivyo, pasiwepo maskini miongoni mwenu (kwa kuwa Yahwe kwa hakika atawabariki kwenye nchi ambayo anawapa kama urithi kumiliki)
5 only if thou do hearken unto the voice of Yahweh thy God, —to observe to do—all this commandment which I am commanding thee to-day.
kama peke yenu mnasikiliza kwa bidii sauti ya Yahwe Mungu wenu, kuzishika amri zote ambazo anawaamuru leo.
6 When, Yahweh thy God, hath blessed thee, as he spake unto thee, then shalt thou lend unto many nations but thou, shalt not borrow, and, thou shalt rule over many nations but over thee, shall they not rule.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu atawabariki, kama alivyowaahidia; mtakopesha mataifa mengi, lakini hamtaazima; mtaongoza juu ya mataifa mengi, lakini hayatawaongoza ninyi.
7 When there cometh to be among you a needy person any one of thy brethren within any one of thy gates, in thy land, which Yahweh thy God is giving unto thee, thou shalt not harden thy heart nor shut thy hand from thy needy brother;
Kama kuna mtu maskini miongoni mwenu, moja wa ndugu zenu, ndani ya malango yenu yoyote kwenye nchi yenu ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, msifanye migumu mioyo yenu wala kufunga mkono wenu toka kwa ndugu yenu,
8 but thou shalt, open, thy hand unto him, —and, lend, him enough to meet the poverty which doth impoverish him.
Lakini mnapaswa hakika kufungua mkono wenu kwake na hakika mkopeshe yeye vya kutosha hitaji lake.
9 Take thou heed to thyself lest there be something near thine abandoned heart, saying—Drawing nigh, is the seventh year the year of release, and so thine eye be evil, against thy needy brother, and thou give not unto him, —and he cry out against thee unto Yahweh, and it become in thee a sin!
Muwe makini kutokuwa na wazo ovu au potovu katika moyo wenu, kusema, “Mwaka wa saba, mwaka wa ukombozi u karibu; ili kwamba msiwe wachoyo kuhusiana na ndugu zenu maskini na haumpi chochote; anaweza kumlilia Yahwe kuhusu nyie, na itakuwa dhambi yenu.
10 Thou shalt, give, unto him, and thy heart shall not be evil when thou givest unto him, —for on account of this very thing, will Yahweh thy God bless thee, in all that thou doest and in all whereunto thou puttest thy hand.
Mnapaswa kwa hakika mmpe, na moyo wenu hampaswi kuhuzunika wakati mnampa, kwa sababu kurudishiwa kwa Yahwe huyu Mungu wenu atawabariki katika kazi zenu zote na katika chochote mnaweka mkono wenu.
11 For the needy will not cease out of the midst of the land—for this cause, am I commanding thee, saying, Thou shalt open, thy hand unto thy brother to thy poor and to thy needy, in thy land.
Kwa kuwa maskini kamwe hatakoma kuishi katika nchi, kwa hiyo nakuamuru wewe na kusema, “Unapaswa kwa hakika ufungue mkono wako kwa ndugu yako, kwa mhitaji wako, na kwa maskini wako katika nchi yako.
12 When thy brother a Hebrew man (or a Hebrew woman) selleth himself unto thee, then shall he serve thee six years, —and in the seventh year, shalt thou let him go out free from thee;
Kama ndugu yako, ni mwebrania wa kiume au mwebrania wa kike, ameuzwa kwako na anakutumikia kwa miaka saba, basi katika mwaka wa saba unapaswa umwache aende zake huru.
13 and when thou lettest him go out free, from thee, thou shalt not let him go out empty:
Unapomwacha aende zake huru, usimwache aende mkono mtupu.
14 thou shalt, richly load, him out of thy flock, and out of thy threshing-floor and out of thy wine-vat, —of that wherewith Yahweh thy God hath blessed thee, shalt thou give unto him;
Unapaswa kwa ukarimu hutoe kwake kutoka mifugo yako, kutoka pura iliyo chini, na kinu chako cha mvinyo. Kama Yahwe Mungu wako alivyokubariki, unapaswa umpe yeye.
15 and thou shalt remember that a servant, thou wast in the land of Egypt, and that Yahweh thy God, redeemed thee, —for this cause, am I commanding thee this thing, to-day.
Unapaswa kukumbuka kwamba ulikuwa mtumwa kwenye nchi ya Misri, na kwamba Yahwe Mungu wako alikukomboa; kwa hiyo ninakuamuru leo kufanya hivi.
16 And it shall be, if he shall say unto thee, I will not go away from thee, —because he loveth thee, and thy household, because he is well off with thee,
Itakuwa kwamba kama atasema kwako, “Sitaenda mbali yako; kwa sababu anakupenda na nyumba yako, na kwa sababu ni mzuri kwako,
17 then shalt thou take an awl and thrust it through his ear unto the door, so shall he be thy servant all his life. And unto thine handmaid also, shalt thou do thus.
basi unapaswa kuchukua uma na msukumo kupitia sikio lake kwenye mlango, na atakuwa mtumwa wako milele. Na pia kwa mtumwa wako wa kike utafanya vilevile.
18 It shall not be hard in thine eyes when thou lettest him go out free, from thee; for to the double of the hire of a hireling, hath he served thee six years, —so will Yahweh thy God bless thee, in all that thou doest.
Isionekane kuwa vigumu kwako kumwachia aende zake huru, kwa sababu amekutumikia kwa miaka sita na amekupa mara mbili udhamani wa mtu aliyeajiriwa. Yahwe Mungu wako atakubariki katika yote unayofanya.
19 Every firstling that is brought forth in thy herd and in thy flock that is a male, shalt thou hallow unto Yahweh thy God, —thou shalt not work with a firstling of thine oxen, neither shalt thou shear a firstling of thy flock:
Wazao wote wa kwanza wa kiume katika wanyama na mifugo wako unapaswa uwatenge kwa Yahwe Mungu wako. Hautafanya kazi na mzao wa kwanza wa wanyama wako wala kumnyoa mzao wa kwanza wa mfugo wako.
20 before Yahweh thy God, shalt thou eat it year by year, in the place which Yahweh shall choose, —thou, and thy household.
Unapaswa umle mzaliwa wa kwanza mbele ya Yahwe Mungu wako kila mwaka katika eneo ambalo Yahwe atachagua, wewe na nyumba yako.
21 But, when there is in it any blemish, lameness or blindness, any ill blemish, thou shalt not sacrifice it unto Yahweh thy God:
Kama ina kasoro yoyote- kwa mfano, kama ni kilema au kipofu, au ana kasoro yoyote- haupaswi kumtoa dhabihu kwa Yahwe Mungu wako.
22 within thine own gates, mayest thou eat it, —the unclean of you and the clean alike, as the gazelle and as the hart.
Utamla ndani ya malango yako; mtu asiye najisi na aliye najisi ni sawa unapaswa kula, kama ungekula paa au kulungu.
23 Only the blood thereof, shalt thou not eat, —on the earth, shalt thou pour it out like water.
Pekee haupaswi kunywa damu yake; unapaswa kuimwanga damu yake juu ya ardhi kama maji.

< Deuteronomy 15 >