< Amos 4 >

1 Hear ye this word, ye heifers of Bashan, that are in the mountain of Samaria, who oppress the poor, who crush the needy, —who say to their lords, Bring in, and let us drink!
Lisikilizeni neno hili, ninyi ng'ombe wa Bashani, ninyi mliomo katika mlima wa Samaria, ninyi mnaowakandamiza maskini, ninyi mnaowaponda wahitaji, ninyi muwaambiao waume zenu, “Tuleteeni vinywaji.”
2 Sworn hath My Lord, Yahweh, by his own holiness, That lo! days, are coming upon you, —when he will take you away with hooks, and your followers with fishhooks;
Bwana Yahwe ameapa kwa utukufu wake, “Tazama, siku zitakuja kwenu wakati watakapowaondoa kwa ndoana, wa mwisho wenu na ndoana za kuvulia samaki.
3 And, through fissures, shall ye go out, every woman, straight before her, —and ye shall be thrust forth towards the castle, Declareth Yahweh.
Mtatoka kupitia mahali palipo bomolewa kwenye kuta za mji, kila mmoja wenu kwenda moja kwa moja kupitia hapo, na mtajitupa mbele ya Harmoni -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.”
4 Enter ye Bethel, and transgress, At Gilgal, cause transgression, to abound, —Yea, carry in, every morning, your sacrifices, every three days, your tithes;
“Nendeni Betheli na uovu, hata Gilgali mkaongeza dhambi, leteni dhabihu zenu kila asubuhi, zaka zenu kila baada ya siku tatu.
5 Yea, burn thou incense, of that which is leavened, as a thank-offering, and proclaim ye freewill-offerings, let them be known, —for, so, ye love [to have it], ye sons of Israel, Declareth My Lord, Yahweh.
Toeni dhabihu za shukurani pamoja na mkate; tangazeni sadaka za hiari; watangazieni, kwa kuwa hii ndiyo iwapendezayo, ninyi watu wa Israeli -hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
6 Moreover also, I, have given you cleanness of teeth throughout all your cities, and want of bread throughout all your dwelling-places, —Yet have ye not returned unto me, Declareth Yahweh.
Nawapatia usafi wa meno katika miji yenu na na kupungukiwa na mkate katika sehemu zenu zote. Bado hamkurudi kwangu -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
7 Moreover also, I, have withholden from you the abundant rain, when yet there were only three mouths to the harvest, Or I might rain upon one city, and, on another city, might not rain, —One portion, would be rained upon, and, the portion whereupon it should not rain, would be dried up;
Pia nimeizuia mvua kutoka kwenu wakati bado kulikuwa na miezi mitatu kwa mavuno. Nikaifanya inyeshe juu ya mji, na kuifanya isinyeshe katika mji mwingine. Kipande kimoja cha nchi ilinyesha, lakini kipande kingine cha nchi ambapo haikunyesha palikuwa pakavu.
8 Then would two or three cities totter to one city to drink water, without being satisfied, —Yet have ye not returned unto me, Declareth Yahweh.
Walizunguka miji miwili au mitatu kwenda mji mwingine kunywa maji, lakini hawakutosheka. Bado hawakunirudia mimi -asema Yahwe.
9 I have smitten you with blight and with mildew, When your gardens and your vineyards and your fig-trees and your olive-trees have increased, the creeping locust would devour them, —Yet have ye not returned unto me, Declareth Yahweh.
Nimewapiga kwa maradhi yanayosababisha kuvu. Wingi wa bustani, mashamba yenu ya zabibu, mitini yenu, na mizaituni-kuteketeza yote. Bado hamkunirudia hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
10 I have sent among you pestilence, in the manner of Egypt, I have slain, with the sword, your young men, and therewith have been taken captive your horses, And I have caused to ascend—the stench of your camps, even into your own nostrils, Yet ye have not returned unto me, Declareth Yahweh.
Nimetuma tauni kwenu kama ya Misri. Nimewaua watoto wenu kwa upanga, kubeba farasi zenu, na kuufanya uvundo wa kambi zenu na kuingiza kwenye pua zenu. Bado hamkunirudia mimi -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.
11 I have made an overthrew among you, like the divine overthrow of Sodom and Gomorrah, and ye have become like a brand snatched out of the burning, —Yet hate ye not returned unto me, Declareth Yahweh.
Nimeiangamiza miji miongoni mwenu, kama wakati Mungu alipoiangamiza Sodoma na Gomora. Mlikuwa kama kijinga kilichonyakuliwa kutoka kwenye moto. Bado hamkunirudia - asema Yahwe.
12 Therefore, thus, will I do unto thee, O Israel, —Because this thing I will do unto thee, Prepare to meet thy God, O Israel.
Kwa hiyo nitafanya jambo baya kwako, Israeli; na kwa sababu nitafanya jambo baya kwako, jiandae kukutana na Mungu, Israeli!
13 For lo! He that fashioned the mountains, and created the wind, and who telleth the son of earth what is his thought, who turneth dawn into darkness, and marcheth upon the high places of the earth, Yahweh, God of hosts, is his name!
Kwa kuwa, tazama, yeye atangenezaye milima pia ndiye aumbaye upepo, humfunulia mawazo yake mwanadamu, hufanya asubuhi kuwa giza, na kupakanyaga mahala pa juu ya dunia. Yahwe, Mungu wa majeshi, ndilo jina lake.”

< Amos 4 >