< 1 Chronicles 1 >

1 Adam, Seth, Enosh:
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Jared:
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoch, Methuselah, Lamech:
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noah, Shem, Ham, and Japheth.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 The sons of Japheth, Gomer, and Magog, and Madai, and Javan, and Tubal, and Meshech and Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 And, the sons of Gomer, Ashkenaz, and Diphath, and Togarmah.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 And, the sons of Javan, Elishah, and Tarshish, —Kittim, and Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 The sons of Ham, Cush, and Mizraim, Put, and Canaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 And, the sons of Cush, Seba, and Havilah, and Sabta, and Raama, and Sabteca. And, the sons of Raamah, Sheba, and Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 And, Cush, begat Nimrod, —he, began to be a mighty one in the earth.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 And, Mizraim, begat Ludim, and Anamim, and Lehabim, and Naphtuhim,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 and Pathrusim, and Casluhim—whence went forth the Philistines, and Caphtorim.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 And, Canaan, begat Zidon his firstborn, and Heth;
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 and the Jebusite, and the Amorite, and the Girgashite;
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 and the Hivite, and the Arkite, and the Sinite;
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 and the Arvadite, and the Zemarite, and the Hamathite.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 The sons of Shem, Elam, and Asshur, and Arpachshad, and Lud, and Aram, —and Uz, and Hul, and Gethur, and Meshech.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 And, Arpachshad, begat Shelah, —and, Shelah, begat Eber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 And, unto Eber, were born two sons, —the name of the one, was Peleg, for, in his days, was the earth divided, and, the name of his brother, was Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 And, Joktan, begat Almodad, and Sheleph, —and Hazarmaveth, and Jerah;
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 and Hadoram, and Uzal, and Diklah;
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 and Ebal, and Abimael, and Sheba;
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 and Ophir, and Havilah, and Jobab. All these, were the sons of Joktan.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Shem, Arpachshad, Shelah;
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eber, Peleg, Reu;
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Terah;
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram—the same, is Abraham.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 The sons of Abraham, Isaac and Ishmael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 These, are their generations, —the firstborn of Ishmael, Nebaioth, then Kedar, and Adbeel, and Mibsam;
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Mishma, and Dumah, Massa, Hadad, and Tema;
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Naphish, and Kedemah. These, are the sons of Ishmael.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 And, the sons of Keturah, the concubine of Abraham, she bare Zimran, and Jokshan, and Medan, and Midian, and Ishbak, and Shuah, —and, the sons of Jokshan, Sheba, and Dedan;
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 and, the sons of Midian, Ephah, and Epher, and Hanoch, and Abida, and Eldaah. All these, were the sons of Keturah.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 So then Abraham begat Isaac, —the sons of Isaac, were Esau and Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 the sons of Esau, Eliphaz, Reuel, and Jeush, and Jalam, and Korah.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 The sons of Eliphaz, Teman, and Omar, Zephi, and Gatam, Kenaz, and Timna, and Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 The sons of Reuel, Nahath, Zerah, Shammah, and Mizzah.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 And, the sons of Seir, Lotan, and Shobal, and Zibeon, and Anah, —and Dishon, and Ezer, and Dishan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 And, the sons of Lotan, Hori, and Homam, —and, Lotan’s sister, was Timna.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 The sons of Shobal, Alian, and Manahath, and Ebal, Shephi and Onam. And, the sons of Zibeon, Aiah and Anah.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 The sons of Anah, Dishon, —and, the sons of Dishon, Hamran, and Eshban, and Ithran, and Cheran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 The sons of Ezer, Bilhan, and Zaavan, Jaakan. The sons of Dishan, Uz and Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Now, these, are the kings, who reigned in the land of Edom, before there reigned a king of the sons of Israel, —Bela the son of Beor, and, the name of his city, was Dinhabah.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 And Bela died, —and there reigned in his stead, Jobab son of Zerah, of Bozrah.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 And Jobab died, —and there reigned in his stead, Husham, of the land of the Temanites.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 And Husham died, —and there reigned in his stead, Hadad the son of Bedad, who smote Midian in the field of Moab, and, the name of his city, was Avith.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 And Hadad died, —and there reigned in his stead, Samlah of Masrekah.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 And Samlah died, —and there reigned in his stead, Shaul, of Rehoboth by the River.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 And Shaul died, —and there reigned in his stead, Baal-hanan, the son of Achbor.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 And Baal-hanan died, —and there reigned in his stead, Hadad, and, the name of his city, was Pai, —and, the name of his wife, was Mehetabel, daughter of Matred, daughter of Mezahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 And Hadad died. And there were chiefs of Edom: chief Timna, chief Aliah, chief Jetheth;
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 chief Oholibamah, chief Elah, chief Pinon;
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 chief Kenaz, chief Teman, chief Mibzar;
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 chief Magdiel, chief Iram. These, were the chiefs of Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Chronicles 1 >