< 1 Chronicles 8 >

1 And, Benjamin, begat Bela his firstborn, —Ashbel, the second, and Aharah, the third, —
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nohah, the fourth, and Rapha, the fifth.
Noha, na Rafa.
3 And Bela had sons—Addar, and Gera, and Abihud, —
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 and Abishua, and Naaman, and Ahoah, —
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 and Gera, and Shephuphan, and Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 And, these, are the sons of Ehud, —these, are the ancestral chiefs to the inhabitants of Geba, but they were carried away captive, unto Manahath;
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 and, as for Naaman and Ahijah and Gera, the same, carried them captive, —and he begat Uzza and Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 And, Shaharaim, begat children in the field of Moab, after he had sent away Hushim and Baara his wives.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Then begat he, of Hodesh his wife, —Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcam;
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 and Jeuz, and Sachia, and Mirmah, —these, were his sons, ancestral chiefs.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 And, of Hushim, he begat Abitub, and Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 And, the sons of Elpaal, Eber, and Misham, and Shemed, —he, built Ono, and Lod, and the villages thereof.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 And, as for Beriah and Shema, they, were ancestral chiefs to the inhabitants of Aijalon, —they, put to flight the inhabitants of Gath;
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 and Ahio, Shashak, and Jeremoth, —
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 and Zebadiah, and Arad, and Eder, —
Zebadia, Aradi, Eda,
16 and Michael, and Ishpah, and Joha, sons of Beriah, —
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 and Zebadiah, and Meshullam, and Hizki, and Heber, —
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 and Ishmerai, and Izliah, and Jobab, sons of Elpaal, —
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 and Jakim, and Zichri, and Zabdi—
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 and Elienai, and Zillethai, and Eliel, —
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 and Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, sons of Shimei, —
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 and Ishpan, and Eber, and Eliel, —
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 and Abdon, and Zichri, and Hanan, —
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 and Hananiah, and Elam, and Anthothijah, —
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 and Iphdeiah, and Penuel, sons of Shashak, —
Ifdeia, na Penueli.
26 and Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah, —
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 and Jaareshiah, and Elijah, and Zichri, sons of Jeroham:
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 these, were ancestral chiefs to their generations, chief men, —these, dwelt in Jerusalem;
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 And, in Gibeon, dwelt the father of Gibeon [Jeiel], the name of whose wife, was Maacah, —
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 and his firstborn son, Abdon, and Zur and Kish, and Baal and Ner and Nadab, —
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 and Gedor, and Ahio, and Zecher.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 And, Mikloth, begat Shimeah, —moreover also, they, over against their brethren, did dwell in Jerusalem, with their own brethren.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 So then, Ner, begat Kish, and, Kish, begat Saul, —and, Saul, begat Jonathan, and Malchishua, and Abinadab, and Eshbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 And, the son of Jonathan, was Merib-baal, —and, Merib-baal, begat Micah.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 And, the sons of Micah, were Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 And, Ahaz, begat Jehoaddah, and, Jehoaddah, begat Alemeth, and Azmaveth, and Zimri, —and, Zimri, begat Moza;
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 and, Moza, begat Binea, —Raphah was his son, Eleasah his son, Azel his son.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 And, Azel, had six sons, and, these, were their names—Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obediah, and Hanan and Asah, —all these, were sons of Azel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 And, the sons of Eshek his brother, were Ulam his firstborn, Jeush the second, and Eliphelet the third.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 And the sons of Ulam became men that were heroes of valour, archers, with many sons, and sons’ sons, a hundred and fifty. All these, were of the sons of Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Chronicles 8 >