< Psalms 11 >

1 For the Chief Musician. [A Psalm] of David. In the LORD put I my trust: how say ye to my soul, Flee as a bird to your mountain?
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Kwa Bwana ninakimbilia, unawezaje basi kuniambia: “Ruka kama ndege kwenye mlima wako.
2 For, lo, the wicked bend the bow, they make ready their arrow upon the string, that they may shoot in darkness at the upright in heart.
Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao, huweka mishale kwenye uzi wake, wakiwa gizani ili kuwapiga wale wanyofu wa moyo.
3 If the foundations be destroyed, what can the righteous do?
Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”
4 The LORD is in his holy temple, the LORD, his throne is in heaven; his eyes behold, his eyelids try, the children of men.
Bwana yuko ndani ya Hekalu lake takatifu; Bwana yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni. Huwaangalia wana wa watu, macho yake yanawajaribu.
5 The LORD trieth the righteous: but the wicked and him that loveth violence his soul hateth.
Bwana huwajaribu wenye haki, lakini waovu na wanaopenda jeuri, nafsi yake huwachukia.
6 Upon the wicked he shall rain snares; fire and brimstone and burning wind shall be the portion of their cup.
Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali na kiberiti kinachowaka, upepo wenye joto kali ndio fungu lao.
7 For the LORD is righteous; he loveth righteousness: the upright shall behold his face.
Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki, yeye hupenda haki. Wanyofu watauona uso wake.

< Psalms 11 >