< Psalms 100 >

1 A Psalm of thanksgiving. Make a joyful noise unto the LORD, all ye lands.
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2 Serve the LORD with gladness: come before his presence with singing.
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3 Know ye that the LORD he is God: it is he that hath made us, and we are his; we are his people, and the sheep of his pasture.
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
4 Enter into his gates with thanksgiving, and into his courts with praise: give thanks unto him, and bless his name.
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
5 For the LORD is good; his mercy [endureth] for ever; and his faithfulness unto all generations.
Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.

< Psalms 100 >