< Ezra 2 >

1 Now these are the children of the province, that went up out of the captivity of those which had been carried away, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away unto Babylon, and that returned unto Jerusalem and Judah, every one unto his city;
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 which came with Zerubbabel Jeshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum, Baanah. The number of the men of the people of Israel:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3 The children of Parosh, two thousand an hundred seventy and two.
wazao wa Paroshi 2,172
4 The children of Shephatiah, three hundred and seventy two.
wazao wa Shefatia 372
5 The children of Arah, seven hundred seventy and five.
wazao wa Ara 775
6 The children of Pahath-moab, of the children of Jeshua [and] Joab, two thousand eight hundred and twelve.
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
7 The children of Elam, a thousand two hundred fifty and four.
wazao wa Elamu 1,254
8 The children of Zattu, nine hundred forty and five.
wazao wa Zatu 945
9 The children of Zaccai, seven hundred and threescore.
wazao wa Zakai 760
10 The children of Bani, six hundred forty and two.
wazao wa Bani 642
11 The children of Bebai, six hundred twenty and three.
wazao wa Bebai 623
12 The children of Azgad, a thousand two hundred twenty and two.
wazao wa Azgadi 1,222
13 The children of Adonikam six hundred sixty and six.
wazao wa Adonikamu 666
14 The children of Bigvai, two thousand fifty and six.
wazao wa Bigwai 2,056
15 The children of Adin, four hundred fifty and four.
wazao wa Adini 454
16 The children of Ater, of Hezekiah, ninety and eight.
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
17 The children of Bezai, three hundred twenty and three.
wazao wa Besai 323
18 The children of Jorah, an hundred and twelve.
wazao wa Yora 112
19 The children of Hashum, two hundred twenty and three.
wazao wa Hashumu 223
20 The children of Gibbar, ninety and five.
wazao wa Gibari 95
21 The children of Beth-lehem, an hundred twenty and three.
watu wa Bethlehemu 123
22 The men of Netophah, fifty and six.
watu wa Netofa 56
23 The men of Anathoth, an hundred twenty and eight.
watu wa Anathothi 128
24 The children of Azmaveth, forty and two.
watu wa Azmawethi 42
25 The children of Kiriath-arim, Chephirah, and Beeroth, seven hundred and forty and three.
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26 The children of Ramah and Geba, six hundred twenty and one.
wazao wa Rama na Geba 621
27 The men of Michmas, an hundred twenty and two.
watu wa Mikmashi 122
28 The men of Beth-el and Ai, two hundred twenty and three.
watu wa Betheli na Ai 223
29 The children of Nebo, fifty and two.
wazao wa Nebo 52
30 The children of Magbish, an hundred fifty and six.
wazao wa Magbishi 156
31 The children of the other Elam, a thousand two hundred fifty and four.
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
32 The children of Harim, three hundred and twenty.
wazao wa Harimu 320
33 The children of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred twenty and five.
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
34 The children of Jericho, three hundred forty and five.
wazao wa Yeriko 345
35 The children of Senaah, three thousand and six hundred and thirty.
wazao wa Senaa 3,630
36 The priests: the children of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred seventy and three.
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37 The children of Immer, a thousand fifty and two.
wazao wa Imeri 1,052
38 The children of Pashhur, a thousand two hundred forty and seven.
wazao wa Pashuri 1,247
39 The children of Harim, a thousand and seventeen.
wazao wa Harimu 1,017
40 The Levites: the children of Jeshua and Kadmiel, of the children of Hodaviah, seventy and four.
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41 The singers: the children of Asaph, an hundred twenty and eight.
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 The children of the porters: the children of Shallum, the children of Ater, the children of Talmon, the children of Akkub, the children of Hatita, the children of Shobai, in all an hundred thirty and nine.
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 The Nethinim: the children of Ziha, the children of Hasupha, the children of Tabbaoth;
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44 the children of Keros, the children of Siaha, the children of Padon;
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45 the children of Lebanah, the children of Hagabah, the children of Akkub;
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46 the children of Hagab, the children of Shamlai, the children Hanan;
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47 the children of Giddel, the children of Gahar, the children of Reaiah;
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 the children of Rezin, the children of Nekoda, the children of Gazzam;
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49 the children of Uzza, the children of Paseah, the children of Besai;
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50 the children of Asnah, the children of Meunim, the children of Nephisim;
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51 the children of Bakbuk, the children of Hakupha, the children of Harhur;
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52 the children of Bazluth, the children of Mehida, the children of Harsha;
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53 the children of Barkos, the children of Sisera, the children of Temah;
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54 the children of Neziah, the children of Hatipha.
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 The children of Solomon’s servants: the children of Sotai, the children of Hassophereth, the children of Peruda;
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56 the children of Jaalah, the children of Darkon, the children of Giddel;
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 the children of Shephatiah, the children of Hattil, the children of Pochereth-hazzebaim, the children of Ami.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 All the Nethinim, and the children of Solomon’s servants, were three hundred ninety and two.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 And these were they which went up from Tel-melah, Tel-harsha, Cherub, Addan, [and] Immer: but they could not shew their fathers’ houses, and their seed, whether they were of Israel:
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 the children of Delaiah, the children of Tobiah, the children of Nekoda, six hundred fifty and two.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 And of the children of the priests: the children of Habaiah, the children of Hakkoz, the children of Barzillai, which took a wife of the daughters of Barzillai the Gileadite, and was called after their name.
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 These sought their register [among] those that were reckoned by genealogy, but they were not found: therefore were they deemed polluted and put from the priesthood.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 And the Tirshatha said unto them, that they should not eat of the most holy things till there stood up a priest with Urim and with Thummim.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64 The whole congregation together was forty and two thousand three hundred and threescore,
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 beside their menservants and their maidservants, of whom there were seven thousand three hundred thirty and seven: and they had two hundred singing men and singing women.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
66 Their horses were seven hundred thirty and six; their mules, two hundred forty and five;
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
67 their camels, four hundred thirty and five; [their] asses, six thousand seven hundred and twenty.
ngamia 435 na punda 6,720.
68 And some of the heads of fathers’ [houses], when they came to the house of the LORD which is in Jerusalem, offered willingly for the house of God to set it up in its place:
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 they gave after their ability into the treasury of the work threescore and one thousand darics of gold, and five thousand pounds of silver, and one hundred priests’ garments.
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 So the priests, and the Levites, and some of the people, and the singers, and the porters, and the Nethinim, dwelt in their cities, and all Israel in their cities.
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

< Ezra 2 >